Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
[emoji23][emoji23]Hotel yako ya nyota 5 bado unayo au uliuza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Hotel yako ya nyota 5 bado unayo au uliuza
Erythrocyte usisikilize majibu mepesi ya maccm.Kwamba hawatumii sukari sana , sidhani
Huyu Lucas msambwanda wa chadema hotel aitoe wapi?Hotel yako ya nyota 5 bado unayo au uliuza
Haya malalamiko yenu kuhusu Uhaba wa sukari , Kyela hayapo kwa vile sukari ya bei chee kutoka Malawi inatosheleza .[emoji24][emoji24][emoji24]Nchi ndogo ya Malawi iliyojaa akili nyingi kwa miaka mingi haijawahi kukumbwa na Uhaba wa sukari , Balo mara zote inazidiwa na sukari kiasi cha kuruhusu ivushwe Tanzania ili kuokoa Uhaba wa sukari wa nchi hiyo duni .
Haya malalamiko yenu kuhusu Uhaba wa sukari , Kyela hayapo kwa vile sukari ya bei chee kutoka Malawi inatosheleza .
Mungu ibariki Malawi .
Mbona huko Kyela inakuja sasa? Au Kyela siyo Tanzania?Muulize Sauli kilichomkuta miaka ile , Mamlaka za Tanzania zinaona wivu mno sukari ya malawi ikija Tz
Ameandika asiyoyajua huyo.Nadhani hata enzi za juzi tu za Power No.1 hakuwepo duniani.Hakuna visungura bongo kushinda vyao
Ni aibu kutamba na vitu vya watu.Tutambe na vyetu.Huku Kagera tunatamba na sukari ya Uganda
Kwa kyela hilo halijawahigi kuwa tatizoNchi ndogo ya Malawi iliyojaa akili nyingi kwa miaka mingi haijawahi kukumbwa na Uhaba wa sukari , Balo mara zote inazidiwa na sukari kiasi cha kuruhusu ivushwe Tanzania ili kuokoa Uhaba wa sukari wa nchi hiyo duni .
Haya malalamiko yenu kuhusu Uhaba wa sukari , Kyela hayapo kwa vile sukari ya bei chee kutoka Malawi inatosheleza .
Mungu ibariki Malawi .
wanavipenda zaidi visungura vya bondo kama vile wabongo wanavyo penda sukari yao ya bei chee za kibongo 🐒Hakuna visungura bongo kushinda vyao
zambia wala malawi sukari haijawahi kua juu mbele ya powerful currency ya Tz 🐒Mafisadi wameidhibiti biashara Sukari Tanzania ndio maana majirani karibia Wote bei ipo chini
Nchi ndogo ya Malawi iliyojaa akili nyingi kwa miaka mingi
Kabisa,hata sisi wa Tunduma tunaitumia sana tu!Kiwanda cha sukari cha Malawi ni cha kampuni ya Illovo pacha wa kampuni ya Illovo Kilombero.
Tanzania matajiri wa madini na maliasili za kila aina lakini tunashindwa na vinchi vidogo vingi.Uwe unajipa muda kufanya research....
Akili nyingi halafu wawe maskini wa kutupwa Afrika?
Biashara ya consumables kati ya Kyela na maeneo jirani ya Malawi ipo miaka mingi, na wafanyabiashara wengi wakati huo wameliwa na mamba kwa sababu ya kuvusha magendo yakiwemo sukari kupitia mto, kukwepa ushuru wa Kasumulo...
Kwa mkoa wa Mbeya na sasa Songwe na Mbeya vitu kama sukari, mafuta ya kupaka, viberiti n.k kwa miaka ya zamani niliyopata kuishi huko ilikuwa ni rahisi kutokea Zambia na Malawi na sio Dar es Salaam...
Ndiyo mmetengenezwa na kufanywaInawezekana hawatumii sukari sana; kuna nchi nyingine sukari siyo kitu cha muhimu kabisa. Tatizo la sukari Tanzania ni tatizo sugu sana tangu hata mimi ningali mtoto hadi leo nazeek sukari ni hadimu muda wote. Dawa ni kuongeza uzalishaji wa ndani. Wakati wa utoto wetu sukari ilikuwa inazaliswa Kilombero tu; Nyerere akaongeza viwanda vya Mtibwa na Kagera mwanzoni mwa miaka ya sabai; nadhani mwaka 1975 au 1976 hivi. Mpaka Bakhresa anafungua kiwanda kingine Bagamoyo hakujawahi kuwepo kwa juhudi za kujenga viwanda vinginbe licha ya kuwepo walaji wengi.
Halafu ikawaje nyie mnakosa sukari na Malawi imejaa ?Kiwanda cha sukari cha Malawi ni cha kampuni ya Illovo pacha wa kampuni ya Illovo Kilombero.
Kuna watu wanaitwa NJEMUKE , hao hawasikilizi hotuba za viongozi wenuMbona huko Kyela inakuja sasa? Au Kyela siyo Tanzania?
Sasa unanipinga au unaniunga mkono ? utafiti wanafanya wasiojua , mimi niliyezaliwa na kukulia maeneo hayo natafiti kipi tena ?Uwe unajipa muda kufanya research....
Akili nyingi halafu wawe maskini wa kutupwa Afrika?
Biashara ya consumables kati ya Kyela na maeneo jirani ya Malawi ipo miaka mingi, na wafanyabiashara wengi wakati huo wameliwa na mamba kwa sababu ya kuvusha magendo yakiwemo sukari kupitia mto, kukwepa ushuru wa Kasumulo...
Kwa mkoa wa Mbeya na sasa Songwe na Mbeya vitu kama sukari, mafuta ya kupaka, viberiti n.k kwa miaka ya zamani niliyopata kuishi huko ilikuwa ni rahisi kutokea Zambia na Malawi na sio Dar es Salaam...