Wanavyotukana makabila mengine humu mbona hujawahi kuuliza hilo swali kwao?
Ccm Hoyee
Chama Dola!!
Apigwe Kesi Ya Uhujumu Uchumi Utakatishaji PesaHivi aliyeua safari za treni miaka ishirini iliyopita ni nani?!
Apigwe Kesi Ya Uhujumu Uchumi Utakatishaji Pesa
Kwanini ujio wa treni hii umekuumiza kiasi hiki? wakati mwingine hata kama jambo halita kidhi uhitaji wako kunawapo wakuhitaji hicho kwahiyo kama mtanzania panapo chembe ya muamko wa maendeleo yaliyo fifia kwa muda mrefu na kuwaathiri watu wa chini jaribu kunesha hata dalili za shukrani ndugu kwa ukombozi huu
Yaani Miaka Tele Kimya Hadi Awamu Hii Ya TanoKweli kabisa mkuu. Aliwasababishia shida sana wananchi wa Kilimanjaro.
June 14, 2002 bado naikumbuka sana. Wasimamizi wa hiyo treni muwe makini sana, uadilifu na utendaji kazi makini/professionalism ya hali ya juu.
I remember, 400 people just perished, they perished in that fatal train accident.
Kila la heri na sikukuu njema wote mnaosafiri this Christmas season.
Magufulli ni moto chini kama sugu.Dah we jamaa huu mwandiko sipati picha ukiwa unaongea nadhani maneno yanakuwa kama mlio wa magurudum ya treni tunayoiongelea hapa
Unapakia ndizi na maparachichi mengi kwa bei nafuu hadi Dar.Mm mchaga, naishi moshi, wengi watu wa moshi tumeifurahia sana, itarahisisha sana biashara. Mkajipange.
Hivi kumbe matukio ya 2002 unayakumbuka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji39]Umenikumbusha walifariki wasabato wengi sn aise!hasa wanawake! Rip
Hivi kumbe matukio ya 2002 unayakumbuka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji39]
Hata ukikaa kimya wakati mwingine tutajua una HEKIMA japo ni zero brain, kuliko kuongea takataka na kutaja kabila la mtu.Hao watakuwa Wasambaa wa Hedaru. Mchagga au Mpare hawezi kushobokea treni ya mwaka 1906. Wenye ushamba wa hivyo ni Wasukuma tu wanaopenda ile 3rd class ya Mwanza Dsm ambako wanajazana kama ng'ombe
Namchukia jiwe na watu wake ila kwa hili naongelea kibiashara na jinsi navyojua hii njia!
Tayari umeonyesha wewe ni mtu wa aina gano.
YATOSHA