Wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro wamemshukuru Rais Magufuli kwa kuwarejeshea usafiri wa treni kwa nauli nafuu ya sh 16,000 tu

Wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro wamemshukuru Rais Magufuli kwa kuwarejeshea usafiri wa treni kwa nauli nafuu ya sh 16,000 tu

Mkuu unaweza kukosoa bila kuingiza makabila ya watu, umoja wetu wa kitaifa upo hatarini, usichochee chuki tafadhali
Ninahisi kama kuna kundi la watu wanataka kulazimisha uadui wa haya makabila kisa ni siasa yaani iwe kama ilivo kenya halafu baadaye wanasiasa kutoka makabila haya wawe wanatafuta uungwaji mkono wa kikanda ,kikabila hii ni njia rahisi iliyosalia kuelekea mgawanyiko mkuu hatimaye ikibidi vita kati yetu huwa sioini sababu mtu kuingiza ukabila sehemu ambapo hauhitajiki na ninahisi wengi wala si wachaga au wachaga wako under attack indirectly ili waonekane ni watu wenye ukabila yaani mtu anjifanya mchaga kutukana kabila jingine ni wazi watu wa kabila jingine hata wasipojibu wanakuwa wanawachukulia tofauti
 
Rais wako ndo kayaanzisha haua yote..hapa tunafata nyayo zake tu mkuu
NI sawa lakini tutaumia wadogo wakubwa wao hupatana mezani wakapeana mkono wakakenua meno wakiita handshake wakanywa milkshake pamoja yakaisha, maumivu na kupoteza yanabaki kwetu.
Vipi kama ndio misheni yake ndio hii, hapo si ndio tunamuunga mkono aifanikishe au?
 
NI sawa lakini tutaumia wadogo wakubwa wao hupatana mezani wakapeana mkono wakakenua meno wakiita handshake wakanywa milkshake pamoja yakaisha, maumivu na kupoteza yanabaki kwetu.
Vipi kama ndio misheni yake ndio hii, hapo si ndio tunamuunga mkono aifanikishe au?


Sema kashafanikisha...!acha yaendelee tu
 
Majibu yako yanaonyesha wewe ni mtu wa aina gani.
YATOSHA.
Mzee
Sasa siruhusiwi kumchukia mtu yeyote hapa duniani?
Unaempenda wewe si lazima wengine wampende!

Unanichekesha sana unapo grade watu eti wapo grade ya chini sababu tu wanamchukia mtu ambae wewe unampenda!
Usilete theocracy hapa!

Naruhusiwa kumpenda au kumchukia yeyeote hapa duniani kama wewe ulivyo na uhuru huo!
Kwahiyo fvck what’chu think!
 
Majibu yako yanaonyesha wewe ni mtu wa aina gani.
YATOSHA.

Na wewe ni mtu wa aina gani pia!

Mimi nina aina yangu na wewe una aina yako!

Yanini unanifatafata na aina yangu?

Ni aina yangu,wewe deal na aina yako!

Acha usnitch!
 
Wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro wameishukuru serikali ya awamu ya 5 hususani mh Rais Magufuli kwa kuwarejeshea Huduma ya usafiri wa treni uliosimama kwa zaidi ya miaka 20.

Wananchi hao wamesema sasa wana uhakika wa kwenda kula Krismas na mwaka mpya huko Moshi kwa sababu NAULI ya sh 16,000 kwa safari ni rafiki.

Wananchi hao wameishukuru pia CCM kwa kuhakikisha Ilani ya uchaguzi inatekelezwa kwa 100% mkoani Kilimanjaro.

Naye mwenezi wa CCM ndugu Polepole amewaahidi wakazi hao wa Kilimanjaro kuwa CCM itaendelea kuwafanyia mambo makubwa zaidi kama wataendelea kutoa ushirikiano kama wanavyofanya sasa.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Kila kitu shukurani kwa Magufuli. Kawa Mungu mtu.
Utafikiri ni vitu ambavyo havijawahi kufanywa na ma Rais waliotangulia. Tumelogwa kweli.
 
Hivi hii train inatumia masaa mangapi toka Dsm to Moshi?
 
Hakuna mwenyeji wa Kilimanjaro anayeweza kushabikia huo uchafu wewe,ni kwamba mumewachukua walevi mukawaweka kwenye camera ili kutuzuga.

Mchagga aache kupanda private car from Dar to Moshi aashobokee hayo matakataka yenu..???
Eti wamepata uhakika wa kwenda Moshi kula Xmas mwaka huu...kwani walikuwa hawana uhakika..???mnachekesha walionuna nyie mafala.

Kilimanjaro imeendelea kabla ya Uhuru kwa taarifa yenu sasa.
Kwani wachaga wote wana private car? wanapandaga mpaka mafuso na magari ya magazeti sembuse train
 
Hakuna mwenyeji wa Kilimanjaro anayeweza kushabikia huo uchafu wewe,ni kwamba mumewachukua walevi mukawaweka kwenye camera ili kutuzuga.

Mchagga aache kupanda private car from Dar to Moshi aashobokee hayo matakataka yenu..???
Eti wamepata uhakika wa kwenda Moshi kula Xmas mwaka huu...kwani walikuwa hawana uhakika..???mnachekesha walionuna nyie mafala.

Kilimanjaro imeendelea kabla ya Uhuru kwa taarifa yenu sasa.
Kwani wachaga wote wana private car? wanapandaga mpaka mafuso na magari ya magazeti sembuse train
 
Mchagga aache kupanda private car from Dar to Moshi aashobokee hayo matakataka yenu..???
Ndugu, nadhani Umekuwa mbinafsi sana wa Mawazo; Ni imani yangu katikika jamii zetu watu tunatofautiana Mtazamo, uchumi, Maarifa, Uelewa na vitu vingine kedekede.
Usafiri wa Treni hauna suala la Daraja la mtu kimaisha, isipokuwa sababu ndiyo itakayomfanya Mtu aamue Kuchagua Treni kama usafiri wake.
Kusema kwamba Watu wa Kilimanjaro Hawawezi Kuchagua treni, badala yake watatumia Gari zao binafsi huo ni Ubinafsi wa kimawazo; kwani Kila mtu pamoja na mambo yote anao utashi wake kwenye maamuzi, huku akisukumwa na Sababu za kufanya maamuzi hayo.
Nimezungumza hili si kwa kutaka kukukosoa, no, Mchango wako ni mzuri isipokuwa umejaa na (Umimi) Ubinafsi; All in all Comment iko sawa.
 
Back
Top Bottom