kigole
Member
- Jul 2, 2019
- 36
- 17
Kwanini ujio wa treni hii umekuumiza kiasi hiki? wakati mwingine hata kama jambo halita kidhi uhitaji wako kunawapo wakuhitaji hicho kwahiyo kama mtanzania panapo chembe ya muamko wa maendeleo yaliyo fifia kwa muda mrefu na kuwaathiri watu wa chini jaribu kunesha hata dalili za shukrani ndugu kwa ukombozi huu
Wyatt Mathewson,
Wyatt Mathewson,