Wananchi wa tanzania wanampenda na kumuamini sana Rais samia, mataifa duniani yanamkubali mno

Panya road tu wamemshinda, Tanesco yake wanakata umeme usiku na kuacha mitaa giza kama tupo jehanamu
hapo mtaani acheni wizi mafuta ya transformer.

Pole sana,
Hebu njoo kituo cha polisi na taarifa za sahihi za hao wadudu tunashughulika nao kuwadhibiti kwa haraka sana...
 
Hayo mataifa yanamkubali kwa kuwa kavaa miwani ya mbao haoni wanavyotuibia na mikataba ya hovyo
 
Hayo mataifa yanamkubali kwa kuwa kavaa miwani ya mbao haoni wanavyotuibia na mikataba ya hovyo
Labda utakua mkataba wako binafsi umeibiwa peke ako na mwenye nyumba.

Mikataba yote ya nchi na mataifa na makampuni mbalimba chini ya Dr SSH ina faida na maslahi mapana ya nchi. Hakuna wizi wala udanganyifu...
 
hapo mtaani acheni wizi mafuta ya transformer.

Pole sana,
Hebu njoo kituo cha polisi na taarifa za sahihi za hao wadudu tunashughulika nao kuwadhibiti kwa haraka sana...
Nimecheka sana yaani unavyojibu mambo mhimu kiutani utani hivi

Ipo siku CCM mtapata akili
 
Weka kura ya maoni hapa jukwaani ili tuujueukweli

Usirushe ngumi tu
 
Labda utakua mkataba wako binafsi umeibiwa peke ako na mwenye nyumba.

Mikataba yote ya nchi na mataifa na makampuni mbalimba chini ya Dr SSH ina faida na maslahi mapana ya nchi. Hakuna wizi wala udanganyifu...
Mkataba tu wa bandari ulikuwa kama wa enzi za kina chief Mangungo!

Bila Baraza la Maaskofu Tanzania kuingilia kati mlikuwa mshaingia cha kike

Samia kama atawekwa tena na usalama wa taifa kwa kushirikiana na hii tume mbovu ya uchaguzi ni kweli atarudi 2025 lakini kwa kura za wananchi sahau kitu kama hicho
 
Nimecheka sana yaani unavyojibu mambo mhimu kiutani utani hivi

Ipo siku CCM mtapata akili
Majibu ya utani???
sasa unaona au unafanyiwa uhalifu na wadudu nakuelekeza jambo muhimu la kufanya unaibeza CCM.
sasa ntakusaidiaje tena...
 
Mbali na kukomenti mwenyewe sioni kama huyo uliemtaja anakubalika kama ulivyoandika. Muda utaleta majibu hii kusifia sifia hata yeye mwenyewe anajua kwamba hawezi uongozi
 
Majibu ya utani???
sasa unaona au unafanyiwa uhalifu na wadudu nakuelekeza jambo muhimu la kufanya unaibeza CCM.
sasa ntakusaidiaje tena...
Mpaka hao wadudu wanaingia mitaani na kusumbua watu ni dalili hakuna polisi wala usalama wa raia

Tunalala na kuamka kwa neema tu za mwenyezi Mungu huku police wakichukua mishahara na Rushwa Bure

Nchi inayo makaa ya mawe, inayo gesi, inayo madini ya uranium lakini bado mnategemea umeme wa maji na kugawa umeme kwa mgao, mnakata umeme usiku na kuacha mitaa giza bila polisi wala jeshi, wananchi wanaishi kama kuku

Nyie CCM ni vichaa msiojitambua
 
Weka kura ya maoni hapa jukwaani ili tuujueukweli

Usirushe ngumi tu
Maoni unayapata hapo kwenye comment mpaka sijaona mtu aliemsifia huyo kiongozi wake zaidi ya yeye kujibu tu cooment za watu kiufupi anafosi...... Angalia nyuzi za watu wengine haihitaji nguvu kubwa watu wanapita na kumwaga mawazo yao ila uzi huu inabidi ujijibu mwenyewe ili kauzi kasogee
 
Tunaposema CCM ni Chama makini na viongozi wake ni sikivu ndio muelewe ni kweli kabisa.....

kulikua na changamoto kidogo , wananchi wakatoa maoni yao na sauti za waTanzania zikaskizwa na kuzingatiwa kwenye mikataba.

Na mikataba ikasahihishwa na tayari baadhi imesainiwa na mambo ni bam bam yanasonga vizuri sana....
 
Na wewe unalea familia kabisa
 
Unajijibu mwenyewe
 
Na ukikaa kimya hao wadudu watakutafuna haswaaa...

Police sio malaika ni binadamu, yafaa wapewe taarifa sahihi na mapema na wadudu hao watakua slowed down mara moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…