Wananchi wa tanzania wanampenda na kumuamini sana Rais samia, mataifa duniani yanamkubali mno

Mbali na kukomenti mwenyewe sioni kama huyo uliemtaja anakubalika kama ulivyoandika. Muda utaleta majibu hii kusifia sifia hata yeye mwenyewe anajua kwamba hawezi uongozi
kuwa huru kutaja mbadala haina shida ,
usiogope huenda anafaa usimfiche wala kuona haya...
 
Umekunywa gongo yako huko umevembewa unajikuta umekua msemaji wa watanzania unaanza kuandika upumbavu 😑😑, shenziiiiiiiiiiii kabisa 😑😑
 
Umekunywa gongo yako huko umevembewa unajikuta umekua msemaji wa watanzania unaanza kuandika upumbavu 😑😑, shenziiiiiiiiiiii kabisa 😑😑
kisungura hakijawahi muacha kijana salama....
Akili lazima iwaze uchafu na vidole viwe vyepesi kutype na kuyaporomosha kama hivyo yaani....
acha iyo kitu ni mbyaa aisee
 
Unaongea nadharia isiyo kweli na hautaki kuifanyia uhakikiπŸ˜…
unaweza kuweka huo uhalisia wewe, si lazima iwe mimi.

mie na hakika huyu mama akigombea 2025 ushindi ni lazima, wa uhakika na wakishindo...
 
kuwa huru kutaja mbadala haina shida ,
usiogope huenda anafaa usimfiche wala kuona haya...
Acha nyege kuna sehemu nimeandika kuhusu mbadala? Endelea kujaza comment kwenye uzi wako hilo na NYEGE ndio vitu unaweza
 
Acha nyege kuna sehemu nimeandika kuhusu mbadala? Endelea kujaza comment kwenye uzi wako hilo na NYEGE ndio vitu unaweza
sasa kumbe hata huelewe unataka nini hutaki nini upoupo tu....
 
Kabisa niliona siku Ile amepanda Boti kutoka Zenj jinsi abiria walikuwa wanamfhrahia na kutaka kusalimiana nae.

Ila machadomo yatabisha 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…