Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataishia kupigwaIringaa
Song each
Mbeya
Moshi
Dodoma
Rukwa
Hawawaa woteeee wanalalamikaaaaaaa
Kaeni mjipange kana hakuna hela ya malipo msitafute laana acheni waty wauze
Unachosema ni kweli kabisa, pia kuna changamoto ya wizi, mizani inachezewa kupita kiasi na hakuna usimamizi.Mfumo wa stakabadhi ghalani ni mzuri na unaondoa walanguzi tatizo hao vyama vya msingi waliopewa jukumu la kuuza hayo mazao Wana weka urasimu mwingi mkulima anacheleweshewa malipo yake.
Uzuri gani wakati wakulima wenyewe hawautaki mpaka wanafunga barabara, acheni kujifanya mna akili kuliko wakulima wenyewe wanaouza mazao yaoMfumo wa stakabadhi ghalani ni mzuri na unaondoa walanguzi tatizo hao vyama vya msingi waliopewa jukumu la kuuza hayo mazao Wana weka urasimu mwingi mkulima anacheleweshewa malipo yake.
Wakulima wanadai kucheleweshewa malipo hiyo ni changamoto ambayo serikali inatakiwa kuitatua haraka .lakini mfumo kama mfumo wa uuzaji hauna shida. Zamani mkulima alikua anauza kwa bei amayopangiwa na madalali na watu wa kati ambao si wakulima.Uzuri gani wakati wakulima wenyewe hawautaki mpaka wanafunga barabara, acheni kujifanya mna akili kuliko wakulima wenyewe wanaouza mazao yao
Serikali hainunui ila imeweka mfumo wa uuzaji ambao utaiimarisha vyama vya ushirika na wakulima waweze kupata bei mzuriKwani lazima kuwauzia serikali? Si wawaachie wapambane wenyewe kutafuta soko.!
Matajiri ndio wanaupiga vita kwa sababu wamezoea kuwalalia wakulima.Mfumo ni mzuri,kunahitajika usimamizi wa kutosha ili kuondoa hizo changamoto,ukumbuke huu mfumo kuna matajiri hawautaki kwahiyo mpambano wako sio wa kitoto...
sasa wamefunga barabara na kuwatetea hao mnaowaita watu wa kati muyaachie malori yao, acheni excuses kuna shidaWakulima wanadai kucheleweshewa malipo hiyo ni changamoto ambayo serikali inatakiwa kuitatua haraka .lakini mfumo kama mfumo wa uuzaji hauna shida. Zamani mkulima alikua anauza kwa bei amayopangiwa na madalali na watu wa kati ambao si wakulima.
Hao wanaolia na kufunga barabara sio matajiri, ni hao wakulima mnaodai kuwalinda na kuwasaidia lakini wameukataa mfumo wenu inaonekanaMatajiri ndio wanaupiga vita kwa sababu wamezoea kuwalalia wakulima.
Hebu fikria, unazalisha bidhaa yako,mnunuzi unamuona, lakini kenge wa CCM wanakuja wanakuambia hapana huwezi, kuuza moja kwa moja, leta kwetu tukuuzie, harafu utatulipa kiasi kwenye kila kilo,Wananchi Wakulima na Wafanyabiashara wa Kata Masakata Wilayani Hanang mkoani Manyara, wamefunga barabara ya Babati /Singida na kusababisha msongamano mkubwa wa magari kwa saa moja, huku wakipinga kuuza mazao yao katika mfumo wa stakabadhi ghalani, kwa madai ya kucheleweshewa malipo yao kwa muda mrefu, pamoja na kushinikiza serikali kuyaachia magari yaliyokamatwa, yakidaiwa kutorosha mazao ya dengu na mbaazi.
Changamoto zipo na zinatakiwa kufanyiwa kazi. Kusini Lindi , mtwara na ruvuma mfumo unaotumika ni huu kwa miaka yote na wakulima wameshauzoea na wanaufurahia . Hu ukanda wa kaskazini inaonekana ndio wanaanza kuzoeshwa kwahiyo changamoto ndogo ndogo haikosekani zinatakiwa kurekebishwa mapema ili wakulima wapate fedha zao.sasa wamefunga barabara na kuwatetea hao mnaowaita watu wa kati muyaachie malori yao, acheni excuses kuna shida
Sawa lakini tatizo liko wapi wakiuza kwa jinsi wanavyotaka wao kuliko kuwalazimisha mfumo wenu utumike, kama mfumo wenu ni mzuri watautumia, na acheni mifumo mingi itumike, choice is everythingChangamoto zipo na zinatakiwa kufanyiwa kazi. Kusini Lindi , mtwara na ruvuma mfumo unaotumika ni huu kwa miaka yote na wakulima wameshauzoea na wanaufurahia . Hu ukanda wa kaskazini inaonekana ndio wanaanza kuzoeshwa kwahiyo changamoto ndogo ndogo haikosekani zinatakiwa kurekebishwa mapema ili wakulima wapate fedha zao.