Wananchi wafunga Barabara ya Babati/Singida wakipinga kuuza mazao yao katika mfumo wa stakabadhi ghalani

Wananchi wafunga Barabara ya Babati/Singida wakipinga kuuza mazao yao katika mfumo wa stakabadhi ghalani

Sawa lakini tatizo liko wapi wakiuza kwa jinsi wanavyotaka wao kuliko kuwalazimisha mfumo wenu utumike, kama mfumo wenu ni mzuri watautumia, na acheni mifumo mingi itumike, choice is everything
Mfumo wanaoutaka una kasoro nyingi kwanza mkulima mdogo anaonewa, serikali kukosa mapato , lakini pia lengo hasa ni kuimarisha ushirika ambao ni msaada mkubwa kwa wakulima. Msikilize waziri wa kilimo Bashe ameliongeleaa sana hili
 
Back
Top Bottom