Wananchi wamewapuuza wapinzani wa Samia. 2025 hata CCM wasipofanya kampeni Samia atashinda kwa kishindo

Wananchi wamewapuuza wapinzani wa Samia. 2025 hata CCM wasipofanya kampeni Samia atashinda kwa kishindo

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Eleweni hili na ikiwezekana msipoteze muda kuweka Wagombea akina Lissu na Msigwa sijui na yule wa Tarime au Mbowe mwenyewe.

Labda mkatafute mgombea kutoka CCM, tutawaazima hata yeyote mnaemtaka ili angalau mthubutu lakini kwa wapinzani hawa nao wajua majina yao hakuna mwenye uwezo wa kushika dola.

Pambanieni Ubunge nako mtatapigwa sana labda mtaweza kushinda Jimbo Moja au mawili. Msipoteze muda kupambana na huyu mama hata muungane mia Moja hamuwezi kuifikia hekima yake.
 
Eleweni hili na ikiwezekana msipoteze muda kuweka wagombea akina lissu na msigwa sijui na yule wa tarime au mbowe mwenyewe! Labda mkatafute mgombea kutoka ccm ,tutawaazima hata yeyote mnaemtaka ili angalau mthubutu lakini Kwa wapinzani Hawa nao wajua majina Yao hakuna mwenye uwezo wa kushika dola! Pambanieni ubunge nako mtatapigwa sana labda mtaweza kushinda Jimbo Moja au mawili ,msipoteze muda kupambana na huyu mama hata muungane mia Moja hamuwezi kuifikia hekima yake
Sasa 2015 ilishapita.

Mkuu Naona unampamba Mgombea
 
Eleweni hili na ikiwezekana msipoteze muda kuweka wagombea akina lissu na msigwa sijui na yule wa tarime au mbowe mwenyewe.

Labda mkatafute mgombea kutoka CCM, tutawaazima hata yeyote mnaemtaka ili angalau mthubutu lakini Kwa wapinzani Hawa nao wajua majina Yao hakuna mwenye uwezo wa kushika dola.

Pambanieni ubunge nako mtatapigwa sana labda mtaweza kushinda Jimbo Moja au mawili ,msipoteze muda kupambana na huyu mama hata muungane mia Moja hamuwezi kuifikia hekima yake.
Mjinga pekee ndiyo anaweza kuchagua mama wa kufikia!
 
Eleweni hili na ikiwezekana msipoteze muda kuweka Wagombea akina Lissu na Msigwa sijui na yule wa Tarime au Mbowe mwenyewe.

Labda mkatafute mgombea kutoka CCM, tutawaazima hata yeyote mnaemtaka ili angalau mthubutu lakini kwa wapinzani hawa nao wajua majina yao hakuna mwenye uwezo wa kushika dola.

Pambanieni Ubunge nako mtatapigwa sana labda mtaweza kushinda Jimbo Moja au mawili. Msipoteze muda kupambana na huyu mama hata muungane mia Moja hamuwezi kuifikia hekima yake.
Saa hii tuko na Bandari hilo la 2025 hatuna habari nalo kwa sasa.
 
Bora tisa chukua kuliko 10 nenda rudi, watu walipitia pagumu mno.
 
Eleweni hili na ikiwezekana msipoteze muda kuweka Wagombea akina Lissu na Msigwa sijui na yule wa Tarime au Mbowe mwenyewe.

Labda mkatafute mgombea kutoka CCM, tutawaazima hata yeyote mnaemtaka ili angalau mthubutu lakini kwa wapinzani hawa nao wajua majina yao hakuna mwenye uwezo wa kushika dola.

Pambanieni Ubunge nako mtatapigwa sana labda mtaweza kushinda Jimbo Moja au mawili. Msipoteze muda kupambana na huyu mama hata muungane mia Moja hamuwezi kuifikia hekima yake.
Mkuu sijajua unamaanisha nini, maana heading na content ni vitu viwili tofauti. Ungeweka hoja vizuri labda tungekusaidia kuidadavua. Lakini kwa hapa itoshe tu kusema wewe ni chawa malaya malaya. Period.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Eleweni hili na ikiwezekana msipoteze muda kuweka Wagombea akina Lissu na Msigwa sijui na yule wa Tarime au Mbowe mwenyewe.

Labda mkatafute mgombea kutoka CCM, tutawaazima hata yeyote mnaemtaka ili angalau mthubutu lakini kwa wapinzani hawa nao wajua majina yao hakuna mwenye uwezo wa kushika dola.

Pambanieni Ubunge nako mtatapigwa sana labda mtaweza kushinda Jimbo Moja au mawili. Msipoteze muda kupambana na huyu mama hata muungane mia Moja hamuwezi kuifikia hekima yake.
Hongera zake
 
Eleweni hili na ikiwezekana msipoteze muda kuweka Wagombea akina Lissu na Msigwa sijui na yule wa Tarime au Mbowe mwenyewe.

Labda mkatafute mgombea kutoka CCM, tutawaazima hata yeyote mnaemtaka ili angalau mthubutu lakini kwa wapinzani hawa nao wajua majina yao hakuna mwenye uwezo wa kushika dola.

Pambanieni Ubunge nako mtatapigwa sana labda mtaweza kushinda Jimbo Moja au mawili. Msipoteze muda kupambana na huyu mama hata muungane mia Moja hamuwezi kuifikia hekima yake.
Umekunywa uji au togwa?
 
Al
Eleweni hili na ikiwezekana msipoteze muda kuweka Wagombea akina Lissu na Msigwa sijui na yule wa Tarime au Mbowe mwenyewe.

Labda mkatafute mgombea kutoka CCM, tutawaazima hata yeyote mnaemtaka ili angalau mthubutu lakini kwa wapinzani hawa nao wajua majina yao hakuna mwenye uwezo wa kushika dola.

Pambanieni Ubunge nako mtatapigwa sana labda mtaweza kushinda Jimbo Moja au mawili. Msipoteze muda kupambana na huyu mama hata muungane mia Moja hamuwezi kuifikia hekima yake.
alishawahi kusema huko nyuma kuwa atakama tusipowachua wao ila wao watashinda! watashindaje? hiyo ni siri yao.
 
Mama anafanya kweli, Reforms na Rebuilding zake si za kitoto.

Mtanzania leo anagaiwa mpaka eka 10 na serikali na anawezeshwa mwanzo mpaka mwisho, ni kama ndoto vile.

Mashirika ya umma yamekuwa ya umma kiukweli.

Hii ndiyo Reform Ambayo hakuna aliyeweza kuifikiria au hata kuiota Tanzania.

Mama apokee maua yake.
 
Eleweni hili na ikiwezekana msipoteze muda kuweka Wagombea akina Lissu na Msigwa sijui na yule wa Tarime au Mbowe mwenyewe.

Labda mkatafute mgombea kutoka CCM, tutawaazima hata yeyote mnaemtaka ili angalau mthubutu lakini kwa wapinzani hawa nao wajua majina yao hakuna mwenye uwezo wa kushika dola.

Pambanieni Ubunge nako mtatapigwa sana labda mtaweza kushinda Jimbo Moja au mawili. Msipoteze muda kupambana na huyu mama hata muungane mia Moja hamuwezi kuifikia hekima yake.
Very gayish
 
Mama anafanya kweli, Reforms na Rebuilding zake si za kitoto.

Mtanzanianleo anagaiww mpakw eka 10 na serikali na anawezeshwa mwanzo mpaka mwisho, ni kama ndoto vile.


Mashirikanya umma yamekuwa ya umma kiukweli.

Hii ndiyo Reform Ambayo hakuna aliyeweza.kuifikiria au hata kuiota Tanzania.
Wakuu, tusomeshe watoto.
 
Back
Top Bottom