Wananchi wamewapuuza wapinzani wa Samia. 2025 hata CCM wasipofanya kampeni Samia atashinda kwa kishindo

Wananchi wamewapuuza wapinzani wa Samia. 2025 hata CCM wasipofanya kampeni Samia atashinda kwa kishindo

Mama anafanya kweli, Reforms na Rebuilding zake si za kitoto.

Mtanzania leo anagaiwa mpaka eka 10 na serikali na anawezeshwa mwanzo mpaka mwisho, ni kama ndoto vile.

Mashirika ya umma yamekuwa ya umma kiukweli.

Hii ndiyo Reform Ambayo hakuna aliyeweza kuifikiria au hata kuiota Tanzania.

Mama apokee maua yake.
Mayalla amelike
 
Baada ya kusoma heading tu nimeona sina haja ya kusoma uzi mzima..nimepata wazo kwamba yawezekana mtoa mada haupo Tanzania,wew ni diaspora ila nakushauri tu si vibaya uitembelee Tanzania,karibu sana!
 
Eleweni hili na ikiwezekana msipoteze muda kuweka Wagombea akina Lissu na Msigwa sijui na yule wa Tarime au Mbowe mwenyewe.

Labda mkatafute mgombea kutoka CCM, tutawaazima hata yeyote mnaemtaka ili angalau mthubutu lakini kwa wapinzani hawa nao wajua majina yao hakuna mwenye uwezo wa kushika dola.

Pambanieni Ubunge nako mtatapigwa sana labda mtaweza kushinda Jimbo Moja au mawili. Msipoteze muda kupambana na huyu mama hata muungane mia Moja hamuwezi kuifikia hekima yake.
.
IMG_20230824_023301.jpg
 
Back
Top Bottom