Na wewe nawe eti sasa umeibuka hujulikani ni CCM au ni mpinzani, alipokuwa rais Magufuli mkristo ukaingia mitini kaja muislamu umeibuka, patheticMama anafanya kweli, Reforms na Rebuilding zake si za kitoto.
Mtanzanianleo anagaiww mpakw eka 10 na serikali na anawezeshwa mwanzo mpaka mwisho, ni kama ndoto vile.
Mashirikanya umma yamekuwa ya umma kiukweli.
Hii ndiyo Reform Ambayo hakuna aliyeweza.kuifikiria au hata kuiota Tanzania.