Wananchi wawashambulia wabunge kufuatia adhabu kwa Askofu Gwajima na Silaa


Tena wakome na watokomee mbali

Masukuma hayana tofauti na manyama tu

Hata atawale kichaa au mlevi ni sawa kwangu kuliko kupata mnyama tena

Viva Samia kazi iendelee
 
Tena wakome na watokomee mbali

Masukuma hayana tofauti na manyama tu

Hata atawale kichaa au mlevi ni sawa kwangu kuliko kupata mnyama tena

Viva Samia kazi iendelee
Pumbavu umekosa point unaanza kupuyanga mbwa wewe!
 
Enzi za mwendazake walikuwepo watanzania wenzetu waliohitaji chanjo kiasi cha kuingia kwenye vita na marehemu Magufuri...Mama kaamua kuileta chanjo baada ya kusikia kilio chao na kuifanya kuwa hiari ili kila ajisikiaye kuchanja akachanje na wale wasiohitaji wasichanje...HII IKO CLEAR HAIHITAJI MJADALA

Jerry Slaa suala lake ni rahisi, anapingaje dhambi ambayo na yeye anaitenda?....toka amejiunga na bunge mshahara wake hachukui? kwanini asijiuzuri Ubunge aachane na hizo posho/mshahara au asimame atuambie hadharani posho na mshahara wake wote hauchukui unakwenda kulisha yatima au kujenga shule jimboni kwake.
 
Yaani legacy ya upumbavu halafu inaungwa mkono na wananchi wengi!

Una maana taifa lina wapumbavu wengi!

Kuita watu wengi ni wapumbavu ndio upumbavu wenyewe!

Hoja yako haina mantiki yoyote!

..Tatizo la Gwajima sio kupinga chanjo, tatizo lake ni kutoa shutuma za uongo dhidi ya viongozi na chanjo.

..Na kibaya zaidi anatoa shutuma na uongo ktk nyumba ya ibada, ambako anaowashutumu hawana nafasi ys kumjibu.

..Baadhi ya shutuma alizotoa Gwajima ni hizi hapa:--
1. Viongozi wamepokea hongo ili waruhusu chanjo ziingie Tz.

2. Viongozi wamedungwa feki, ili kuwavuta wananchi wadungwe yenye madhara.

3. Anadai chanjo ina magnetic chip ambayo itakuwepo ndani ya aliyechanjwa.

4. Anadai chanjo ina nguvu ya umeme, na pale mtu alipodungwa pakiwekwa balbu inawaka.

...Gwajima anatakiwa apinge chanjo kwa hoja za kweli, siyo kwa kuwadanganya wananchi na kuzusha dhidi ya viongozi wa serikali na chama chake.
 
Kwa hiyo unakubali kwamba mwendazake alikuwa na wafuasi wengi sana?

Yaani wanajichanganya sana kwenye hoja zao.

Hii inaonyesha hawajui mantiki ya hoja wanazozitoa.

Unakuta mtu anatoa hoja akidhani anapingana na hoja yako lakini hajui mantiki ya hoja yake inakubaliana na hoja yako!
 
Yaani wanajichanganya sana kwenye hoja zao.

Hii inaonyesha hawajui mantiki ya hoja wanazozitoa.

Unakuta mtu anatoa hoja akidhani anapingana na hoja yako lakini hajui mantiki ya hoja yake inakubaliana na hoja yako!
Na mimi huwa nawasokola mule mule!

Kiufupi hakuna mbwa yeyote toka ufipa ataniambia kitu nimuelewe!
.
Siasa za tangu Jk, Magu na sasa Samia zimenifundisha mambo mengi sana kuhusu machadema.
 
Wewe kuandika tu kiswahili ni majanga, unadhani unaweza kujua na kuchambua vizuri hoja za Askofu Gwajima kama “sauti ya nyikani” na kinachoendelea nchini!
Hili jamaa umelipa nakoz za uso za kutosha haswa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Swala la chanjo Gwajima kapata uungaji mkono kwa wananchi wengi kwasababu kuu moja ni Legacy ya upumbavu wa Mwendazake kuwaongopea wananchi na kuwashawishi wananchi kuwa chanjo ni feki na kutumia kivuli Cha dini
Wewe na mama yako ni misukule
 
Swala la chanjo Gwajima kapata uungaji mkono kwa wananchi wengi kwasababu kuu moja ni Legacy ya upumbavu wa Mwendazake kuwaongopea wananchi na kuwashawishi wananchi kuwa chanjo ni feki na kutumia kivuli Cha dini
Nawewe jitahidi mkuu kuwa hamasisha watu wachanje sio kazi rahisi ki hivyo
 
Swala la chanjo Gwajima kapata uungaji mkono kwa wananchi wengi kwasababu kuu moja ni Legacy ya upumbavu wa Mwendazake kuwaongopea wananchi na kuwashawishi wananchi kuwa chanjo ni feki na kutumia kivuli Cha dini
wewe ni utakuwa roboti, huna maana na kichwani ni 0
 
Gwajima sauti ya mtanzania gani? Labda mtanzania mjinga mjinga! Mbona kipindi Cha raisi aliyepita alikuwa athubutu kuzungumza? Gwajima ni mpiga dili tu! Samia ni number one
Mbona unateseka sana big?
 
Muulize hiyo chanjo ukichanjwa huwezi ugua corona au ndo bado lazima uvae mibarakoa km kawa na kuugua corona kuko palepale .Mtu yeyote anae kimbilia kutukana huwa hana hoja.

Hana majibu sana sana ataanza kutoa matusi kama ndio majibu!
 
Wewe kuandika tu kiswahili ni majanga, unadhani unaweza kujua na kuchambua vizuri hoja za Askofu Gwajima kama “sauti ya nyikani” na kinachoendelea nchini!
Huyo mwandishi! amefupisha! sasa unaposema ''Majanga'' yako wapi hapo?

Unayajua majanga? kwanza kabla ya yote
majanga ya small letter ni nini?
tofauti yake na capital letter ni nini?
kwa nini hukuitumia hiyo kapitali letter? na..
kama ungeitumia ni kwa nini?
tuanzie hapo kwanza? au unasemaje mkuu/Mkuu?

na je hilo neno lako hilo limetumika, mahali na muda sahihi? unaangalia usahihi wa wenzako tuuu!!? wewe je?
au ndo ushabiki wa gwajima umekuzidi mzee wa mapambio!!
 
Kweli umemjibu Kama alivyo, hiyo ni hekima.
 
Ww mwenye akili hebu tuambie ukichanjwa huumwi corona ama huwezi ambukizwa korona ukijibu hilo basi nitaenda kuchanjwa
Hawa ndiyo ndondocha wa Gwajima. Wamekariri anayosema. Chanjo yoyote (siyo ya korona tu) siyo kinga ya asilimia 100. Ukichanjwa chanjo ya korona unaweza kuambukizwa korona lakini uwezekano wa kuambukizwa unakuwa mdogo kuliko mtu ambaye hajachanjwa. Na ukiambukizwa uwezokano wa kuugua sana au kupoteza maisha ni mdogo kuliko mtu ambaye hajachanjwa.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Du! Kweli JF ni kubwa na ina watu wa kila aina. Huu ndiyo uzuri wa forum ya Internet. Unakutanisha kuanzia ma-houseboy wasio na elimu yoyote mpaka ma-CO wa makampuni makubwa kabisa.
 

Bunge na serikali waache kutumia nguvu kukabiliana na fikra za wananchi wengi kweli hili suala la kinga za korona.
 
Thats also what I think...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…