Wananchi wawashambulia wabunge kufuatia adhabu kwa Askofu Gwajima na Silaa

Wananchi wawashambulia wabunge kufuatia adhabu kwa Askofu Gwajima na Silaa

Kwahiyo watz watakuwa wengi sana ni wapumbavu?

Yani katika watu milion 60 hakuna werevu walau milion 1 wa kwenda kushambulia zile chanjo chap?

Yani hata wasomi wetu wa vyuo vikuu, madaktari, manesi, na watumishi wengine wa umma?

Chadema ina wafuasi manasema zaidi ya milion 7, nao siyo werevu kiasi cha kwenda kushambulia zile chanjo milion 1 chap ziishe?
Hilo ndo wajiulize kwamba zaidi ya mwezi chanjo zimedoda pamoja na kuzindua kwa mbwembwe Ina maana hoja za Gwajima zimeshinda.

Matukio ya watoto wa shule za misingi kukimbia shule wakikwepa chanjo yameongezeka hi inatoa ujumbe mzito kwa watawala.
 
Unasema wanachi ni wapumabavu!

Je nyie chadema ina maana siyo werevu pia? Mbona chanjo bado zipo na zilikuja milion 1 tu?

Ina maana nyie hamfiki milioni hapa nchini?
Hata hao wabunge watuambie wamechanjwa wangapi?mbona wanakwepa?Kama wamechanjwa wote Bungeni barakoa za nini?
 
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa wananchi wengi hawakubaliani na serikali kwenye suala la chanjo za korona.

Huhitaji kufanya utafiti wa kina kujua ukweli wake kwa sababu utapata maoni ya wananchi kwenye video za YouTube katika channel kama Millard Ayo ambazo hazifungamani kisiasa katika kutoa habari.

Kama ukitaka kujua mawazo ya wananchi wengi angalia sehemu ya maoni hasa kama wachangiaji wamekuwa zaidi ya 800.

Wabunge waliochangia maazimio ya Kamati ya bunge ambao waliwashambulia Askofu Gwajima na Jerry Silaa wameshambulia sana na wananchi kwenye sehemu ya maoni.

Kwa taasisi yenye watu mwenye akili timamu na ambao wanatumia fikra timamu katika kuchambua maswala mbali mbali watayachukua maoni ya wananchi kama picha na kiakisi kwa yale wanayofanya kama bunge na serikali.

Mfano ni hii video ya YouTube ambayo baadhi ya wabunge walikuwa wanawashambulia kina Askofu Gwajima na Jerry Silaa ambayo imepata wachangiaji zaidi ya 1000. Soma maoni ya wachangiaji utagundua kinachoendelea katika fikra za watanzania wengi.

VIDEO:


Kwa maoni haya ya wananchi ni lazima Bunge na Serikali wajitathimini kwa yale wanayoyafanya kwa sababu inaonekana hayana maslahi kwa wananchi wengi!

Bunge na serikali wanatakiwa wajue Askofu Gwajima na Jerry Silaa ni sauti ya watanzania wengi walioko “nyikani”.

Serikali na bunge waache “kushupaza shingo” kama hawataki kuvunjika kwa sababu kwenye siasa hakuna watu wajinga na wasio wajinga bali kuna watu wanakubaliana na serikali au hawakubaliani na serikali.

Mmarekani aitwaye George Carlin aliwahi kusema, “Never underestimate the power of stupid people in large groups.”

Muda ni mwalimu wa kweli!


Sukuma gang mkalime furu kwenu mlituharibia sana nchi shwainii
 
Swala la chanjo Gwajima kapata uungaji mkono kwa wananchi wengi kwasababu kuu moja ni Legacy ya upumbavu wa Mwendazake kuwaongopea wananchi na kuwashawishi wananchi kuwa chanjo ni feki na kutumia kivuli Cha dini
Kumbe mwendazake alikuwa na wafuasi wengi, yaani waliompinga hawafiki hata milioni moja, wamalizane na hizo chanjo! Kweli nazidi kuamini kweli JPM alikuwa kipenzi Cha watanzania
 
Hongera kwa kuchanjwa!

Bila shaka sasa hilo barakoa utalitupa! Uko save! Hutakufa kwa corona tena!!
Ni maoni ya kitoto haya, kifo hakihusiani na Korona, Yesu alikufa lakini si kwa Korona na wapo wengi walikufa kabla yake. Ni mjinga tu atamshauri mwenzie kuwa hata ukiweka milango kwenye nyumba yako wezi wataiba tu usijingize gharama za kijinga!
 
Ni maoni ya kitoto haya, kifo hakihusiani na Korona, Yesu alikufa lakini si kwa Korona na wapo wengi walikufa kabla yake. Ni mjinga tu atamshauri mwenzie kuwa hata ukiweka milango kwenye nyumba yako wezi wataiba tu usijingize gharama za kijinga!
Si ndio maana nikakwambia utakufa lakini si kwa corona?
 
Sukuma gang mkalime furu kwenu mlituharibia sana nchi shwainii
Unaonaje sukuma gang wanavyokomeshwa na mama?

Mama anafungua nchi,

Mama anaupiga mwingi

Mama anawakomesha mataga sukuma gang na kufuta legacy

Mama anarudisha hela mtaani ili sisi mabavicha tuwe tunaziokota

Chanjo milion 1 zimeisha na wanachi wana haha kuzitafuta zingine zije haraka

Magaidi sasa yanakamatwa yako jela

Bashiru na polepole wanakiona cha moto

Uchumi juu
.
Bidhaa bei chini

Kodi chini

Sukuma gang wakome kabisa
 
Gwajima ni mtovu wa nidhamu...na ana dharau kwa wanawake. Maneno ya hovyo hovyo anayoongea sasaiv asingemwambia magufuli
 
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa wananchi wengi hawakubaliani na serikali kwenye suala la chanjo za korona.

Huhitaji kufanya utafiti wa kina kujua ukweli wake kwa sababu utapata maoni ya wananchi kwenye video za YouTube katika channel kama Millard Ayo ambazo hazifungamani kisiasa katika kutoa habari.

Kama ukitaka kujua mawazo ya wananchi wengi angalia sehemu ya maoni hasa kama wachangiaji wamekuwa zaidi ya 800.

Wabunge waliochangia maazimio ya Kamati ya bunge ambao waliwashambulia Askofu Gwajima na Jerry Silaa wameshambulia sana na wananchi kwenye sehemu ya maoni.

Kwa taasisi yenye watu mwenye akili timamu na ambao wanatumia fikra timamu katika kuchambua maswala mbali mbali watayachukua maoni ya wananchi kama picha na kiakisi kwa yale wanayofanya kama bunge na serikali.

Mfano ni hii video ya YouTube ambayo baadhi ya wabunge walikuwa wanawashambulia kina Askofu Gwajima na Jerry Silaa ambayo imepata wachangiaji zaidi ya 1000. Soma maoni ya wachangiaji utagundua kinachoendelea katika fikra za watanzania wengi.

VIDEO:


Kwa maoni haya ya wananchi ni lazima Bunge na Serikali wajitathimini kwa yale wanayoyafanya kwa sababu inaonekana hayana maslahi kwa wananchi wengi!

Bunge na serikali wanatakiwa wajue Askofu Gwajima na Jerry Silaa ni sauti ya watanzania wengi walioko “nyikani”.

Serikali na bunge waache “kushupaza shingo” kama hawataki kuvunjika kwa sababu kwenye siasa hakuna watu wajinga na wasio wajinga bali kuna watu wanakubaliana na serikali au hawakubaliani na serikali.

Mmarekani aitwaye George Carlin aliwahi kusema, “Never underestimate the power of stupid people in large groups.”

Muda ni mwalimu wa kweli!

Mama keshastuka maana Ndugai anataka kumgombanisha akose kura 2025.
 
Yaani legacy ya upumbavu halafu inaungwa mkono na wananchi wengi!

Una maana taifa lina wapumbavu wengi!

Kuita watu wengi ni wapumbavu ndio upumbavu wenyewe!

Hoja yako haina mantiki yoyote!
Ni ukweli mchungu, lakini hakika Taifa lina wapumb.avu wengi kuliko werevu.

Hata marehemu, alifaidika sana na upumbavu wa walio wengi. Aliwadanganya wananchi kuwa ukuuaji wa uchumi ulikuwa umeongezeka wakati ulikuwa umeanguka. Ukweli ni kwamba ukuuaji wa uchumi ulikuwa unaanguka, ukuaaji wa uwekezaji ulikuwa unaanguka, ukuuaji wa utalii ulikuwa unazidi kuanguka, lakini wapumb.avu waliamini kuwa ukuaji wa uchumi ulikuwa unapaa.
 
Kwa hiyo unakubali kwamba mwendazake alikuwa na wafuasi wengi sana?
Wajinga wengi walimwamini. Alizuia kila chombo chenye uwezo wa kuwaelimisha wananchi ili aendelee kuwahadaa.
 
Muulize hiyo chanjo ukichanjwa huwezi ugua corona au ndo bado lazima uvae mibarakoa km kawa na kuugua corona kuko palepale .Mtu yeyote anae kimbilia kutukana huwa hana hoja.
Chanjo zipo miaka mingi. Hakuna wanaougua surua? Hakuna wanaougua kifua kikuu? Hakuna wanaougua tetekuwanga? Kwa wajinga wanaona Gwajina ana hoja sana. Lakini kwa wenye kuelewa, hoja za Gwajima ni upuuzi mtupu.
 
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa wananchi wengi hawakubaliani na serikali kwenye suala la chanjo za korona.

Huhitaji kufanya utafiti wa kina kujua ukweli wake kwa sababu utapata maoni ya wananchi kwenye video za YouTube katika channel kama Millard Ayo ambazo hazifungamani kisiasa katika kutoa habari.

Kama ukitaka kujua mawazo ya wananchi wengi angalia sehemu ya maoni hasa kama wachangiaji wamekuwa zaidi ya 800.

Wabunge waliochangia maazimio ya Kamati ya bunge ambao waliwashambulia Askofu Gwajima na Jerry Silaa wameshambulia sana na wananchi kwenye sehemu ya maoni.

Kwa taasisi yenye watu mwenye akili timamu na ambao wanatumia fikra timamu katika kuchambua maswala mbali mbali watayachukua maoni ya wananchi kama picha na kiakisi kwa yale wanayofanya kama bunge na serikali.

Mfano ni hii video ya YouTube ambayo baadhi ya wabunge walikuwa wanawashambulia kina Askofu Gwajima na Jerry Silaa ambayo imepata wachangiaji zaidi ya 1000. Soma maoni ya wachangiaji utagundua kinachoendelea katika fikra za watanzania wengi
Kwa maoni haya ya wananchi ni lazima Bunge na Serikali wajitathimini kwa yale wanayoyafanya kwa sababu inaonekana hayana maslahi kwa wananchi wengi!

Bunge na serikali wanatakiwa wajue Askofu Gwajima na Jerry Silaa ni sauti ya watanzania wengi walioko “nyikani”.

Serikali na bunge waache “kushupaza shingo” kama hawataki kuvunjika kwa sababu kwenye siasa hakuna watu wajinga na wasio wajinga bali kuna watu wanakubaliana na serikali au hawakubaliani na serikali.

Mmarekani aitwaye George Carlin aliwahi kusema, “Never underestimate the power of stupid people in large groups.”

Muda ni mwalimu wa kweli!
unachitaka kutuambia ni kuwa lile shinikizo la wanaharakati na wapinzani, la kudai serikali iwaokoe wananchi wake kwa kuleta chanjo, lilikuwa haliakisi matwakwa ya wananchi walio wengi????
 
Kwahiyo watz watakuwa wengi sana ni wapumbavu?

Yani katika watu milion 60 hakuna werevu walau milion 1 wa kwenda kushambulia zile chanjo chap?

Yani hata wasomi wetu wa vyuo vikuu, madaktari, manesi, na watumishi wengine wa umma?

Chadema ina wafuasi manasema zaidi ya milion 7, nao siyo werevu kiasi cha kwenda kushambulia zile chanjo milion 1 chap ziishe?
Kwani mpaka sasa unajua kuwa zimetumika kiasi gani? Ufahamu kuwa zaidi ya zile milioni 1 kuna nyingine milioni 17.
 
Nyinyi wenye akili hebu tujibuni ukichanjwa chanjo huumwi corona na je nchi zinazo chanja mbona vifo bado viko vingi n wamechanjwa sasa kuna maana gani ya kuchanjwa kama bado nikichanjwa lazima nijikinge.
Acha uwongo.

Nchi gani iliyo na idadi kubwa ya waliochanjwa, halafu idadi ya vifo haijapungua? Maambukizi yapo lakini vifo vimepungua sana.

Msiwe mnamezeshwa ujinga, halafu nanyi mnaubeba kama ulivyo.
 
Back
Top Bottom