Wanandoa kununiana mwisho inatakiwa kuwa siku ngapi?

Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
Mwisho ni pale mmoja anapochoka kununa au kununiwa. Hivyo, kama umechoka kununiwa anza kusema naye.
 
Mawazo mufu
 
Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
Kwa mwanamke kumnunia mumewe ni siku mbili na mwanamme kumnunia mkewe hata mwaka ili uwe na kisingizio cha kuchapa nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…