Wanandoa wanatakiwa wafanye tendo la ndoa mara ngap kwa siku?

Wanandoa wanatakiwa wafanye tendo la ndoa mara ngap kwa siku?

Hoja za kimaskini hizi matajiri kwa mwezi mara moja lkn maskini kwa siku mara kumi hana Cha kumuwazisha yy natumia kichwa cha chini kuwaza na sio cha juu
Hongera chama tawala

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli
Wenzetu wanaumiza vichwa wagundue vitu gani vya kuleta maendeleo sisi tunawaza kudindishana na kukojoleana mara ngapi utasema ni dozi [emoji16][emoji16][emoji16] mara kulana kimasikhara!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom