Wanandoa wanatakiwa wafanye tendo la ndoa mara ngap kwa siku?

Wanandoa wanatakiwa wafanye tendo la ndoa mara ngap kwa siku?

Inashauriwa kila baada ya siku 3 au mara mbili kwa wiki. Ila utapaojiskia naye hana dharura ni kadri muwezavyo
 
hakikisha wote mnaridhishana....baaaas......hiyo sijui bao ngapi.....utatoa povu mkuu......nyege huwa zinatulia tuu, haziishi.
 
Vijana waoenda mitaa ya kati kununua ambao akikojoa kamoja tu anambiwa tayali ukimwambia wana ndoa wanaweza kukaa wiki bila tupiga show akuelewi kabisa

Vijana ngono ni starehe nzuri sana sasa ukiwa kwenye ndoa alafu unafamilia yale majukumu nk basi unaweza maliza wiki huwazi ngono kabisa unawaza jinsi majukumu utayatatuaje kwaiyo unalala tu tena hata wiki mbili mnalala tu hapa nazungumzia ndoa kongwe zenye watoto hata watatu au waili wanaoenda shule siku mkishikana na mama yoyo mziki wake mnamaliza nyege zote na mnakuwa safi

MY TAKE
Kama kijana umeanzisha mahusiano au ndio ndoa changa onyesha uwezo wako ipige kisawa sawa yani ikiwezekana usiku iombe ipige, asubuhi iombe ipige nenda kazini mchana ukirudi si hamna familia bwana nyumba ipo huru rudi zuga zuga iombe ipige yani ipige mpaka mkeo akikuona aanze sema njoo na detto nimechubuka aah naumia yani ajue uwezo unao

Kwaninu badae mtapata familia majukumu yataongezeka hutaipiga kisawa sawa sasa ukiipiga kibrothet men beby pole ooh nini atakutana na wahuni wataifumua kiwango ambacho ujawahi kifikia so atakudharau

Ipige hiyo akisema naumia ipige jombaa huwa hawaumii ni utamu ule siyo unasikia naumia unatoa shauri yako
 
Back
Top Bottom