Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
"Mtu yeyote"...Mimi kwa siku nahitaji kua peke yangu kama masaa matatu ivi. Siku nyingine nakua sijisikii ata kuongea na mtu yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Mtu yeyote"...Mimi kwa siku nahitaji kua peke yangu kama masaa matatu ivi. Siku nyingine nakua sijisikii ata kuongea na mtu yoyote
We nae kujua kwako Kiswahili kizuri kimekupeleka wapi au unafikiri utapata kazi ya utafsiri umoja mataifa 😂"Mtu yeyote"...
ndoa ni wito sio lazima kila mtu aitike....We tudanganye tu
Ungekua madhara yake usingeandika juu upuuziSio lazima uolewe, tafta mwanaume, akuzalishe watoto unaotaka ila kila mtu awe anakaa kwake.
Mambo ya kukaa pamoja hayana umuhimu sana kama wote mtakubali kua responsible kwa watoto wenu.
Hahahahahahah uwage unamla nyama mda wote tu😅we kaa tu mwenyewe, sie wengine hatuwezi...
natamani hata kazini asiende akae tu ndani nimuone
Wewe mburu kenge unajua madhara gani ambayo mimi siyajui?Ungekua madhara yake usingeandika juu upuuzi
Nyie mlioko kwenye ndoa miaka kwa miaka mnawezaje kuishi pamoja? Mm naona kama kazi sna kuishi pamoja kushare kitanda na mtu kla siku. Ukitoka asubuhi unamuona ukirudi nyumbani upo nae weekend upo nae siku nzima. Ivi hamchoki kweli?
Kuna mda mtu unakua unataka ukae pekee yko bila usumbufu, mood ya kuongea inakua haipo, unakua hutaki ata kumuona kiumbe chochote na simu unazima unatulia chumbani kimya unawaza mambo yko au kurelax na kuangalia yanayoendelea duniani. Kwa watu walioko kwenye ndoa wnapata kweli mda wa kua alone? Mi nadhani hapa duaniani kla mtu anahitaji mda wa kua alone lakn kwa walioko kwenye ndoa inaonekana kama ngumu kupata mda huu. Mnawezaje? Nilifikiria hili tu nachoka kabisa
hamna niwe namcheki cheki tu mkaka mzuri....Hahahahahahah uwage unamla nyama mda wote tu😅
Hahahah mkaka mzuri mpaka pale atapoota One Pack😅hamna niwe namcheki cheki tu mkaka mzuri....
Mie Siku zote napenda space. Tunakuwa pamoja popote ila kama hatuhitajiani utakuta kila mwanandoa yupo roomuni kwake.We kaa tu mwenyewe, sie wengine hatuwezi... Natamani hata kazini asiende akae tu ndani nimuone
Ha ha haaa umeona ukivyoshindwa kuficha ujinga wako?Wewe mburu kenge unajua madhara gani ambayo mimi siyajui?
Yap hii mwenyewe nimeipenda ss upate mwelewa ssMie Siku zote napenda space. Tunakuwa pamoja popote ila kama hatuhitajiani utakuta kila mwanandoa yupo roomuni kwake. Moja wetu Akijisikia anaruhisiwa kucross over na yakimalizika yaliyojili anarudi kwenye comfort zone yake. Napenda maisha haya na ni 21yrs Sasa.
Sio lazima uolewe, tafuta mwanaume, akuzalishe watoto unaotaka ila kila mtu awe anakaa kwake.
Mambo ya kukaa pamoja hayana umuhimu sana kama wote mtakubali kuwa responsible kwa watoto wenu.
Hiv kweli Unaweza kukaa kwenye ndoa na mtu kwa miaka mingi ambaye humpendi?Inachosha kwa usiyempenda
Hivi kweli Unaweza kuishi na mwanaume ambaye humpendi?Ata unaempenda kuna mda unamchoka uhitaji uwe pekee utulie