Wanandoa wanawezaje kuishi pamoja kwa muda mrefu?

Wanandoa wanawezaje kuishi pamoja kwa muda mrefu?

Ndoa ni taasisi ya wito maalumu kwa watu maalumu.
 
Yaani kula papuchi moya [emoji28]miaka mitano mfululizo inachosha kinoma yaani hadi unatamani umwambie baby kwanini usiniletee rafiki yako mlioshibana nipige hata kimoya [emoji28]kubadilisha ladha,ila yote kwa yote uvumilivu ni ushujaa
Wasiochepuka wana moyo mgumu Sana kwakweli[emoji4]
 
Michepuko inadumisha ndoa,

Tukichepuka Tunapata muda na nafas za kuburudisha nyoyo zetu uko nje tukirudi ndani kiroho Safi kabisa upigizani kelele na mtu[emoji4]
 
Nyie mlioko kwenye ndoa miaka kwa miaka mnawezaje kuishi pamoja? Mimi naona kama kazi sana kuishi pamoja kushare kitanda na mtu kila siku.

Ukitoka asubuhi unamuona ukirudi nyumbani upo nae weekend upo nae siku nzima. Hivi hamchoki kweli?

Kuna muda mtu unakuwa unataka ukae pekee yako bila usumbufu, mood ya kuongea inakuwa haipo, unakua hutaki hata kumuona kiumbe chochote na simu unazima unatulia chumbani kimya unawaza mambo yako au kurelax na kuangalia yanayoendelea duniani.

Kwa watu walioko kwenye ndoa wanapata kweli muda wa kuwa alone?

Mimi nadhani hapa duaniani kila mtu anahitaji muda wa kuwa alone lakini kwa walioko kwenye ndoa inaonekana kama ngumu kupata muda huu.

Mnawezaje?

Nikifikiria hili tu nachoka kabisa.

Ukishakuwa kwenye ndoa hayo yanazoeleka.
 
Nyie mlioko kwenye ndoa miaka kwa miaka mnawezaje kuishi pamoja? Mimi naona kama kazi sana kuishi pamoja kushare kitanda na mtu kila siku.

Ukitoka asubuhi unamuona ukirudi nyumbani upo nae weekend upo nae siku nzima. Hivi hamchoki kweli?

Kuna muda mtu unakuwa unataka ukae pekee yako bila usumbufu, mood ya kuongea inakuwa haipo, unakua hutaki hata kumuona kiumbe chochote na simu unazima unatulia chumbani kimya unawaza mambo yako au kurelax na kuangalia yanayoendelea duniani.

Kwa watu walioko kwenye ndoa wanapata kweli muda wa kuwa alone?

Mimi nadhani hapa duaniani kila mtu anahitaji muda wa kuwa alone lakini kwa walioko kwenye ndoa inaonekana kama ngumu kupata muda huu.

Mnawezaje?

Nikifikiria hili tu nachoka kabisa.


Maisha ya ndoa ni maisha ya wenzi wa2 na ilo unalijua!!!! Kwaiyo kama haupo tayri kwa maisha ya wawili au kuwa na familia basi endelea kukaa peke ako.... Ila huku kwenye ndoa mkuu maisha ya peke yako hayapo maybe kama hamna watoto utapata nafasi yakuwa eke ako
 
Sio lazima uolewe, tafuta mwanaume, akuzalishe watoto unaotaka ila kila mtu awe anakaa kwake.

Mambo ya kukaa pamoja hayana umuhimu sana kama wote mtakubali kuwa responsible kwa watoto wenu.
Hao watoto si nao watakaa naye? Au atawapeleka kwa Bibi yao
 
Niliwahi kuwaza hilo pia aisee, ni vipi labda kwa wale wenye visirani ama msioendana.

Mnalala mnaamka pamoja, we huna mood yeye anayo yani tafrani tupu.
 
Back
Top Bottom