Wanandoa wanawezaje kuishi pamoja kwa muda mrefu?

Wanandoa wanawezaje kuishi pamoja kwa muda mrefu?

Nyie mlioko kwenye ndoa miaka kwa miaka mnawezaje kuishi pamoja? Mimi naona kama kazi sana kuishi pamoja kushare kitanda na mtu kila siku. Ukitoka asubuhi unamuona ukirudi nyumbani upo nae weekend upo nae siku nzima. Hivi hamchoki kweli?

Kuna muda mtu unakuwa unataka ukae pekee yako bila usumbufu, mood ya kuongea inakuwa haipo, unakua hutaki hata kumuona kiumbe chochote na simu unazima unatulia chumbani kimya unawaza mambo yako au kurelax na kuangalia yanayoendelea duniani. Kwa watu walioko kwenye ndoa wanapata kweli muda wa kuwa alone?

Mimi nadhani hapa duaniani kila mtu anahitaji muda wa kuwa alone lakini kwa walioko kwenye ndoa inaonekana kama ngumu kupata muda huu. Mnawezaje? Nikifikiria hili tu nachoka kabisa.

Bro nmekuelewa. Ila yawezekana ukimpata mtu sahihi mambo yakawa fresh

Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
 
Mie Siku zote napenda space. Tunakuwa pamoja popote ila kama hatuhitajiani utakuta kila mwanandoa yupo roomuni kwake. Moja wetu Akijisikia anaruhisiwa kucross over na yakimalizika yaliyojili anarudi kwenye comfort zone yake. Napenda maisha haya na ni 21yrs Sasa.
Hongera sana kwa hili, mko vizuri sana.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Sio lazima uolewe, tafuta mwanaume, akuzalishe watoto unaotaka ila kila mtu awe anakaa kwake.

Mambo ya kukaa pamoja hayana umuhimu sana kama wote mtakubali kuwa responsible kwa watoto wenu.
Si mpaka awe responsible
 
Yaani kula papuchi moya [emoji28]miaka mitano mfululizo inachosha kinoma yaani hadi unatamani umwambie baby kwanini usiniletee rafiki yako mlioshibana nipige hata kimoya [emoji28]kubadilisha ladha,ila yote kwa yote uvumilivu ni ushujaa
Ni kweli. Na yeye ukute anachoshwa na dushe moja anatamani dushe la rafiki yako au jirani yako...mkiduu anavuta hisia kwa yule kaka anayeflirt nae kazini. Loh ndoa hizi nyoko sana
 
Nyie mlioko kwenye ndoa miaka kwa miaka mnawezaje kuishi pamoja? Mimi naona kama kazi sana kuishi pamoja kushare kitanda na mtu kila siku.

Ukitoka asubuhi unamuona ukirudi nyumbani upo nae weekend upo nae siku nzima. Hivi hamchoki kweli?

Kuna muda mtu unakuwa unataka ukae pekee yako bila usumbufu, mood ya kuongea inakuwa haipo, unakua hutaki hata kumuona kiumbe chochote na simu unazima unatulia chumbani kimya unawaza mambo yako au kurelax na kuangalia yanayoendelea duniani.

Kwa watu walioko kwenye ndoa wanapata kweli muda wa kuwa alone?

Mimi nadhani hapa duaniani kila mtu anahitaji muda wa kuwa alone lakini kwa walioko kwenye ndoa inaonekana kama ngumu kupata muda huu.

Mnawezaje?

Nikifikiria hili tu nachoka kabisa.

Una mapepo. Njoo tukuombee.
 
Athari za mgast hizo aka nyeto, acha mchezo wa kujichua mara 1 au piga kwa afya mara 1 kwa mwezi usifanye kama chakula....
 
Nyie mlioko kwenye ndoa miaka kwa miaka mnawezaje kuishi pamoja? Mimi naona kama kazi sana kuishi pamoja kushare kitanda na mtu kila siku.

Ukitoka asubuhi unamuona ukirudi nyumbani upo nae weekend upo nae siku nzima. Hivi hamchoki kweli?

Kuna muda mtu unakuwa unataka ukae pekee yako bila usumbufu, mood ya kuongea inakuwa haipo, unakua hutaki hata kumuona kiumbe chochote na simu unazima unatulia chumbani kimya unawaza mambo yako au kurelax na kuangalia yanayoendelea duniani.

Kwa watu walioko kwenye ndoa wanapata kweli muda wa kuwa alone?

Mimi nadhani hapa duaniani kila mtu anahitaji muda wa kuwa alone lakini kwa walioko kwenye ndoa inaonekana kama ngumu kupata muda huu.

Mnawezaje?

Nikifikiria hili tu nachoka kabisa.

Kwa mtu unayempenda utaweza tu kuishi nae muda wowote na kwa nyakati zote .
 
Mimi na weza na na enjoy sana asipokuwepo siku mbili tu sina raha na kula vizuri siwezi tumezoea sana tumekua marafiki mno kuliko rafiki zetu wengine huko..
KIUFUPI SIJUTII
Hongera
 
Back
Top Bottom