Wanandoa wanawezaje kuishi pamoja kwa muda mrefu?


Mimi na weza na na enjoy sana asipokuwepo siku mbili tu sina raha na kula vizuri siwezi tumezoea sana tumekua marafiki mno kuliko rafiki zetu wengine huko..
KIUFUPI SIJUTII
 
We kaa tu mwenyewe, sie wengine hatuwezi... Natamani hata kazini asiende akae tu ndani nimuone
Mie Siku zote napenda space. Tunakuwa pamoja popote ila kama hatuhitajiani utakuta kila mwanandoa yupo roomuni kwake.

Moja wetu Akijisikia anaruhisiwa kucross over na yakimalizika yaliyojili anarudi kwenye comfort zone yake.

Napenda maisha haya na ni 21yrs Sasa.
 
Yap hii mwenyewe nimeipenda ss upate mwelewa ss
 
Asee umenikumbusha kitu baada ya mechi ya igenini nikalala huko huko asubuhi nilikuja kibabe sana mwisho mida ya 4 nikaomba shoo nikanyimwaa nyimwaa badae nikapewa nikapiga kibabe
Sio lazima uolewe, tafuta mwanaume, akuzalishe watoto unaotaka ila kila mtu awe anakaa kwake.

Mambo ya kukaa pamoja hayana umuhimu sana kama wote mtakubali kuwa responsible kwa watoto wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…