Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Jumamosi wanandoa wengi husingizia kwenda kuhudhuria sherehe za ndoa Kitchen party na birthday party.
Huko wanakoenda kuhudhuria hujikuta wanafanya mambo ya ajabu na aibu kabisa.
Hata wanapoenda gengeni tuKwa hiyo sasa tufanyeje mkuu? Tuwakataze hiyo Jumamosi wasitoke? Mtu mzima na akili zake huwezi kumkataza kufanya alilodhamiria moyoni mwake (iwe Jumamosi au siku nyingine).
#KuchapiwaHakuepukiki
Hata wanapoenda gengeni tu
Gengeni? Hata hapo hapo home mtu unafikiri anakoga huko bafuni kiusiku kimeingia kumbe kainamishwa na mabaharia anapelekewa moto [emoji16]Hata wanapoenda gengeni tu
Mkuu yamekukuta? Pole sanaJumamosi wanandoa wengi husingizia kwenda kuhudhuria sherehe za ndoa Kitchen party na birthday party.
Huko wanakoenda kuhudhuria hujikuta wanafanya mambo ya ajabu na aibu kabisa.
Haina kipolo!Kisa cha kuhangaika na mtu mzima ni nini?
Afterall kwani jnaisha ile???
Na haiachi alama ujue...
AlaaChooni pia hupigwa cha faster na shamba boi.Ivo hatuchungiki
Lazima moyo ufurahiTufanyeje sasa no way!
Kuchapiwa kunaepushwa na mchapwaji mwenyewe akiamua.......Kwa hiyo sasa tufanyeje mkuu? Tuwakataze hiyo Jumamosi wasitoke? Mtu mzima na akili zake huwezi kumkataza kufanya alilodhamiria moyoni mwake (iwe Jumamosi au siku nyingine).
#KuchapiwaHakuepukiki
Ndiyo mkuuAlaa