Wanandoa wengi huchepuka siku ya Jumamosi wanapohudhuria sherehe

Wanandoa wengi huchepuka siku ya Jumamosi wanapohudhuria sherehe

.....wanandoa hasa wake za watu ni wepesi sana kufyatuliwa. Hii inaendana na mazingira yake.

~kuna wanaofyatuliwa na shamba boys, wauza genge, wapaka rangi kucha, Bodaboda, na sababu mkubwa ni kupenda mtelemko.

~ Wewe mnunulie gari, lkn atafyatuliwa na mziba pancha au fundi makanika aliyemkwamulia gari au aliyemnunulia petrol ya elfu ishirini.

~mlipie ada ya chuo, atafyatuliwa na dogo atakayemsaidia group studies au lecturer na mengine yanayofanana na hayo!
 
Lunch time, knock off time, unadanganya umepata dharura mida ya saa tisa, unapata masaa mawili ya kula utam, hadi ikifika saa 12 umekuwa mwepesi unarudi home, tena mapema sana.
 
Wanaume tusipofikia maamuzi kuwa sehem za siri za mke ni mali yake halali na haiamishiki umiliki kupitia ndoa tutapata shida sana.

Wanaume tusipoamua kukubali kidhat kuwa hata wanawake wanahitaji kubadilisha mlo wa dudu kupata flavour tofaut bas tutaumia sana.

Wanaume tusipoamua kuamin kuwa sheria za kutungwa na mtu kama kujimilikisha mke na viungo vyake vya siri hazina nguvu kuliko sheria za asili, tutaendelea kuziba mkondo kwa kiganja na kujiumiza.

Wanaume tusipochagua namna bora ya data za kuweka akilin dhid ya wanawake kwamba bora humwamini afanye kinyume lakin ukae at peace. kuliko kutomwamini, hata asipofanya hutamwamini!

Wanaume tusipoamin kuwa muungano wa mke na mme au familia ni zaid ya suala la sex (na hasa kulifanya dogo zaid), tutapata tabu kwa kushughulika na jambo dogo ukilinganisha na upana wa neno FAMILIA. Usioe kwa sabab ya ngono.
HITIMISHO:
mme: mpende mke wako.
Mke: mtii mme wako.
Nyote: Live/Love responsibly!
ONYO: MARRIAGE WAS NOT MEANT FOR EVERYONE.
 
Mtu akiamua kutimiza lengo lake hata ikiwa jtatu au jumapili litatimia tu, so tuangalie jinsi gani ya kuzuia wake za watu kuliwa siku yoyote tu, ushauri wangu ni kwamba wewe me ukiona ni mke wa mtu basi chonde jitahidi kukaa naye mbali, hata akikuletea papuchi ikatae katu. Kwa kufanya hivo watatulia na ndoa zao huko. Je mtaweza kukataa sasa🤪
 
Mtu akiamua kutimiza lengo lake hata ikiwa jtatu au jumapili litatimia tu, so tuangalie jinsi gani ya kuzuia wake za watu kuliwa siku yoyote tu, ushauri wangu ni kwamba wewe me ukiona ni mke wa mtu basi chonde jitahidi kukaa naye mbali, hata akikuletea papuchi ikatae katu. Kwa kufanya hivo watatulia na ndoa zao huko. Je mtaweza kukataa sasa🤪
Sema haki ya Mungu tena...
 
Katikati ya wiki ndio safii.. Tengeneza vipindi na story kwamba job kazi tight sana.. Mzigo umeongezeka haswaa..

Then dei moja Sema Kuna overtime emergency kazi ya dharura. Kachakatee.. Rudi nyumbani. Kwa uchovuu oga lala.. Halafu mwambie asikuguse maana ofisi imekutumia sana.

Just kiss her and wish a good night to her.
 
Mtu akiamua kutimiza lengo lake hata ikiwa jtatu au jumapili litatimia tu, so tuangalie jinsi gani ya kuzuia wake za watu kuliwa siku yoyote tu, ushauri wangu ni kwamba wewe me ukiona ni mke wa mtu basi chonde jitahidi kukaa naye mbali, hata akikuletea papuchi ikatae katu. Kwa kufanya hivo watatulia na ndoa zao huko. Je mtaweza kukataa sasa[emoji2957]
Shida moja kumtambua ni mke wa mtu inakuwa ngumu.
Akitupiwa ndoano yenye chambo kinono anakimeza.
Eti "mke wa mtu akikuletea papuchi uikatae", nani kakwambia? Papuchi unaanzaje kuikataa? Una hatari sana weye!
 
Katikati ya wiki ndio safii.. Tengeneza vipindi na story kwamba job kazi tight sana.. Mzigo umeongezeka haswaa..

Then dei moja Sema Kuna overtime emergency kazi ya dharura. Kachakatee.. Rudi nyumbani. Kwa uchovuu oga lala.. Halafu mwambie asikuguse maana ofisi imekutumia sana.

Just kiss her and wish a good night to her.
Wewe umesema, Hakuna mwenye hati miliki ya Papuchi zaidi ya mwenyewe. Kuigawa au kuibana ni yeye mwenyewe!
 
hahahhaaha,hii ina ukweli 70% ,kwangu nimepangwa sana ktk wanawake 3 ,waili walitumia kigezo hiki....kisha wanaliwa
 
Back
Top Bottom