INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeleta picha bila maelezo ya ukubwa wa nyumba tukueleweje?
Itakua Lindi
Ingekuwa mabati ya msouth kwa lindi huo tungesema millioni 10Itakua Lindi
Nipo mkoa wa pwani kisemvule
Hapana ni mkoa wa pwaniItakua Lindi
Uongo mkubwa huo.
Mabati ya mouth ni gharama mnoIngekuwa mabati ya msouth kwa lindi huo tungesema millioni 10
Kama uongo sikulazimishiUongo mkubwa huo.
Nyumba si inaonekana lengo lake ni kuondoa hofu kwa wengine maana mwingine hapo angeongeza Sifuri za kutosha tuu...Umeleta picha bila maelezo ya ukubwa wa nyumba tukueleweje?
Materials ulipewa bure?
Na wewe usitulazimishe uongo, structure tu ya hiyo nyumba kabla ya finishing 6m hela inakuwa imekata.Kama uongo sikulazimishi
Mm sijaielewa hiyo nyumba ukubwa wake.Nyumba si inaonekana lengo lake ni kuondoa hofu kwa wengine maana mwingine hapo angeongeza Sifuri za kutosha tuu...
Kwani hapo kimefanyika nini zaidi ya mawe msingi,kujenga nyumba yenyewe,madirisha na kupiga plasta pamoja na hizo nondo za madirishani ndio wewe hayo madirisha wanakwambia milioni tatu na hela unatoa...Uongo mkubwa huo.
Ukiwa unafanya kitu na huna hela ya kutosha kisimamie vizur utajua tatizo wewe unapga gharama mpaka za mtu kukusimamia jitambue broo usibishe kwenye vitu hujawahi fanyaNa wewe usitulazimishe uongo, structure tu hiyo nyumba kabla ya pas hela inakuwa imekata 6m.
Tofali ngapi?