Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Wapo watu wana hofu na wakiambiwa kujenga wanaamini lazima uwe na hela nyingi kumbe ukiamua lofoten hata kwa kidogo kinawezekana...hajafanya finishing hapo kwa hiyo gharama huyu Mchumi yupo sawa..Mm sijaielewa hiyo nyumba ukubwa wake.
Mwanaume/mwanaume unakuwaje na hofu na suala la ujenzi wakati unajenga polepole.?