Wanangu msiogope kujenga, hapa nimetumia 6M

Wanangu msiogope kujenga, hapa nimetumia 6M

Nipo mkoa wa pwani kisemvule
Bandiko lako ni zuri nadhani ungetoa ufafanuzi mpana zaidi ili liweze kunafaisha watu wengi

Nyumba ina ukubwa gani?

Material ulinunua kutoka wapi na kwa mfumo gani mpaka umeweza kubana matumizi hivyo?

Mafundi umewatoa wapi na umewalipaje?

Je ubora wa jengo lako umeuonaje ukilinganisha na majengo mengine?

Wengine watajazia

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Kwani hapo kimefanyika nini zaidi ya mawe msingi,kujenga nyumba yenyewe,madirisha na kupiga plasta pamoja na hizo nondo za madirishani ndio wewe hayo madirisha wanakwambia milioni tatu na hela unatoa...
Tuifanye roughly estimation kwa bei ya material hapa nilipo
1. Tofali pc1500 @1000=1500000
2. Cement bg 50@15000=750000
3. Nondo mm10pc12@18000=216000
4. Nondo mm6@12000=72000
5.binding wire kg5@3000=15000
6. Mchanga lori5@150000=750000
6.Jabali(mawe)lori7@120000=840000
7.kokoto Lori2@300000=600000
8. Milango chuma2@190000=380000
9.dirisha chumba pc5@150000=750000
10.bati gg30 pc60@25000=1500000
11. Mbao za kench na bodi pc150@8000=1200000
12. Misumari ya mbao kg15@3000=45000
13. Misumari bati kg8@6000=48000
Mzee hapo unapeleka watu Chaka labda ilikuwa nyuma ya 2014
 
Mimi 6m naona katumia nyingi kwa hiyo nyumba nyi mnaona chache daah...kupanga matofali mabichi na plaster na madirisha ya nondo mlango nimeona ni wa kawaida mnataka kusema pana 50m hapo madarali bhana...hiyo nyumba bila finishing
Tuifanye roughly estimation kwa bei ya material hapa nilipo
1. Tofali pc1500 @1000=1500000
2. Cement bg 50@15000=750000
3. Nondo mm10pc12@18000=216000
4. Nondo mm6@12000=72000
5.binding wire kg5@3000=15000
6. Mchanga lori5@150000=750000
6.Jabali(mawe)lori7@120000=840000
7.kokoto Lori2@300000=600000
8. Milango chuma2@190000=380000
9.dirisha chumba pc5@150000=750000
10.bati gg30 pc60@25000=1500000
11. Mbao za kench na bodi pc150@8000=1200000
12. Misumari ya mbao kg15@3000=45000
13. Misumari bati kg8@6000=48000
Mzee hapo unapeleka watu Chaka labda ilikuwa nyuma ya 2014
Daah kwa hiyo wote tunanunua bei yako hiyo ya Materials...
 
inawezekana kama Kiwanja kilikua cha urithi, bati ulipewa zawadi kwenye harusi, mbao uliiba kwenye ajali ya semi trailer za njombe, shimo la choo hukuchimba uliunganishia kwa jirani, cement uliiba kwenye mradi wa kijiji, mchanga ulikwangua kwangua ufukweni ukabeba na ndoo had saiti , hiyo 6M ukanunulia matofali na hela ya kumlipa fundi tu
 
Tuifanye roughly estimation kwa bei ya material hapa nilipo
1. Tofali pc1500 @1000=1500000
2. Cement bg 50@15000=750000
3. Nondo mm10pc12@18000=216000
4. Nondo mm6@12000=72000
5.binding wire kg5@3000=15000
6. Mchanga lori5@150000=750000
6.Jabali(mawe)lori7@120000=840000
7.kokoto Lori2@300000=600000
8. Milango chuma2@190000=380000
9.dirisha chumba pc5@150000=750000
10.bati gg30 pc60@25000=1500000
11. Mbao za kench na bodi pc150@8000=1200000
12. Misumari ya mbao kg15@3000=45000
13. Misumari bati kg8@6000=48000
Mzee hapo unapeleka watu Chaka labda ilikuwa nyuma ya 2014
Chaka kubwa sana nilishamwambia, hata hiyo estimate yako umemfavour sana.
 
Shida wengi husubiri mpaka wakamate hiyo 6M cash ndiyo waanze kujenga.

Ila mikoa mingine hutoboi kwa 6M kwa hiyo ramani labda boma tu au ujengee tofali za choma tena uchapie yaani ujengee moram.

Nyati cement ipo 22K/mfuko.

Mabati utumie gauge 32 na mbao iwe mirunda au mihama na "lenta" nondo moja tena 8mm.😁😁
 
Tuifanye roughly estimation kwa bei ya material hapa nilipo
1. Tofali pc1500 @1000=1500000
2. Cement bg 50@15000=750000
3. Nondo mm10pc12@18000=216000
4. Nondo mm6@12000=72000
5.binding wire kg5@3000=15000
6. Mchanga lori5@150000=750000
6.Jabali(mawe)lori7@120000=840000
7.kokoto Lori2@300000=600000
8. Milango chuma2@190000=380000
9.dirisha chumba pc5@150000=750000
10.bati gg30 pc60@25000=1500000
11. Mbao za kench na bodi pc150@8000=1200000
12. Misumari ya mbao kg15@3000=45000
13. Misumari bati kg8@6000=48000
Mzee hapo unapeleka watu Chaka

Mimi 6m naona katumia nyingi kwa hiyo nyumba nyi mnaona chache daah...kupanga matofali mabichi na plaster na madirisha ya nondo mlango nimeona ni wa kawaida mnataka kusema pana 50m hapo madarali bhana...hiyo nyumba bila finishing

Daah kwa hiyo wote tunanunua bei yako hiyo ya Materials...
Uzuri ni kwamba ujenzi najua sana ingawaje si fundi na nyumba si chini ya nne nimepewa nisimamie ujenzi wake. Haijalishi upo mkoa gani ila kwa hizo gharama hata kama ni fundi Bado haitoshi labda uwe hanja
(Mwizi wa material
 
Back
Top Bottom