MKARASINGA
Senior Member
- Jun 9, 2018
- 135
- 222
Nyumba si inaonekana lengo lake ni kuondoa hofu kwa wengine maana mwingine hapo angeongeza Sifuri za kutosha tuu...
Umeelewa kama mimi watu waliojenga wanawatishia sana wasiokua na nyumba kauli zao zinaogofya
“
Unafikiri kujenga ni mchezo, huwezi jenga kwa kazi hii uliyonayo “
Nasema hivi tusitishane
Kufikia mwakani lazma nilale kwangu