Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Kujenga sio kugumu Mkuu watu wasingejenga...hicho kibanda sio cha kukijadili..Hakuna anaye mtisha mtu bali tunaongea uhalisia nyumba hiyo kwa milion 6, ni hakuna hata mtoto hawezi kubaliana na uongo huo labda kama aliijenga mwaka 2008 au 2010.
Ni bora kuwaambia watu ukweli ili wajue ugumu wa kitu ili akiamuwa kukianza awe amejipanga kuliko kumpotosha alafu aingie kichwa kichwa imtoe barabarani.
Kwa makadirio ya chini hii nyumba mpaka sasa imesha kula si chini ya million 11mpaka 13.