Wanangu msiogope kujenga, hapa nimetumia 6M

Wanangu msiogope kujenga, hapa nimetumia 6M

Hakuna anaye mtisha mtu bali tunaongea uhalisia nyumba hiyo kwa milion 6, ni hakuna hata mtoto hawezi kubaliana na uongo huo labda kama aliijenga mwaka 2008 au 2010.

Ni bora kuwaambia watu ukweli ili wajue ugumu wa kitu ili akiamuwa kukianza awe amejipanga kuliko kumpotosha alafu aingie kichwa kichwa imtoe barabarani.

Kwa makadirio ya chini hii nyumba mpaka sasa imesha kula si chini ya million 11mpaka 13.
Kujenga sio kugumu Mkuu watu wasingejenga...hicho kibanda sio cha kukijadili..
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😪😪😥😥😥😥😥


Lete chaiii tuuu

Ukizani things is easy
 
Huyu kapiga picha karusha sidhani kama nyumba ni yake!
Huenda ni ya shemeji yake (mume wa dada yake)
 
Haifiki tofali 2000 hio. Labda 1,400 hivi. Nyumba inaonekana ni ya vyumba viwili vya kulala,sebule,jiko dogo na Choo. 6m kiugumu anaweza kutoboa.
Duu hivo vyumba vyote vinaenea kwenye hiyo nyumba?
 
Hiyo nyumba ni ndogo, na pia haijaisha kwa 100%. Ila kuijenga mpaka hapo ilipofikia kwa milioni 6 pekee, aisee inahitaji uwe na moyo mwepesi sana kuamini.
Screenshot_20221220-073521_Instagram.jpg
 
Ukiwa unafanya kitu na huna hela ya kutosha kisimamie vizur utajua tatizo wewe unapga gharama mpaka za mtu kukusimamia jitambue broo usibishe kwenye vitu hujawahi fanya
Kwani huyo jamaa wa insta alitumia sh ngapi?
 
Tofali ngapi?
Bati ngapi?
Saruji mifuko mingapi?
Mchanga je?
Ngoja tuongeze;
Nondo ngapi?
Mbao ngapi?


Lakini tunaweza kumpinga mtoa mada kumbe Fundi alikuwa mwenyewe na mbao kwa kuwa amesema yupo Pwani huenda ametumia mbao za Minazi ya nyumbani kwao.

Though kila la kheri Mkuu, hapo ujipange kufanya finishing ya kiwango kuanzia tiles, kufunga vioo (Aluminums) na Rangi then mtu akijitokeza unampiga Milioni zako 45 unamuuzia.
 
Kwani huyo jamaa wa insta alitumia sh ngapi?
Hahaha........... Mkuu Glenn kwahiyo jamaa anatupiga fix hapa tuingie kujenga kichwa kichwa kwa milioni 6 aliyosema alafu tuje tufe kwa Presha ya nyumba kuishia kwenye lantor 😂😂
 
Back
Top Bottom