inawezekana kama Kiwanja kilikua cha urithi, bati ulipewa zawadi kwenye harusi, mbao uliiba kwenye ajali ya semi trailer za njombe, shimo la choo hukuchimba uliunganishia kwa jirani, cement uliiba kwenye mradi wa kijiji, mchanga ulikwangua kwangua ufukweni ukabeba na ndoo had saiti , hiyo 6M ukanunulia matofali na hela ya kumlipa fundi tu