Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni nini msingi wa huu msimamo?Hii ni kauli ya warembo wengi hapa mjini ...hivyo Basi wale wazee walio jibebea masingo maza wakae mkao wa kula.
Msiseme hamkuambiwa .
Kama vile Job amaefunga mwaka hahaHuu mwaka hata hauendi!!
Ndio yalokufanya uzae?Tatizo ni malezi yako .
Ama kweli dunia yaenda kasi[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]Yalio kufanya udhani wanaume wabazaa
Tuliitisha kikao cha dharura tukahairisha baada ya mimi mwenyekiti kutendwa na single mmama!,hivyo tuliazimia mwendo ni mperampera..😁Si mlisema mwaka huu mnawapumzisha single Mamas?
🙄🙄🙄🙄🙄Tuliitisha kikao cha dharura tukahairisha baada ya mimi mwenyekiti kutendwa na single mmama!,hivyo tuliazimia mwendo ni mperampera..😁
Mtu kaamua kuzaa na mtu mmoja mnauliza msingi wake.. akizaa na wanaume tofauti mnawaita malaya. Binadamu hana jema.Hivi ni nini msingi wa huu msimamo?
Binafsi pia nimewasikia wengi wakitamka hii kauli, na ni masingo Mama. Tena wengine wamezaa na waume za watu...
Mwenyekiti nilichukua maamuzi haraka ili kuepusha jahazi lisizame,!.. Leo nimepata msala mwengine siwezi andika sahivi nahasira asubuhi tawaletea muone muuza CD alivyonikosesha tunda mjinga yule kenge ya brown iliyokosa nyonyo🙄🙄🙄🙄🙄
Na utatendwa unyooke Kenzy.
Nimeona li like lako la kunicheka!Mtu kaamua kuzaa na mtu mmoja mnauliza msingi wake.. akizaa na wanaume tofauti mnawaita malaya. Binadamu hana jema.