Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #481
Kaka capone unatoa hoja kisomi na kwa weledi wa hali ya juu kisiasa!!!Nakuelewa kakaMkuu mimi ni muislamu na silazimiki kujieleza kwanini nimeamua niseme na silazimiki kukuaminisha kivyovyote
Uislam wangu si kwaajili yako wewe Sol de Mayo , Uislamu wangu ni kwaajili ya Mungu yeye ndiye mwenye kujua kweli ya nafsi zetu mkuu
Ninasapoti Mapinduzi matukufu ya Zanzibar yaliyong’oa tawala dhalimu ya sultan mkuu
Allah atuongoze sote mkuu
Pamoja mkuuKaka capone unatoa hoja kisomi na kwa weledi wa hali ya juu kisiasa!!!Nakuelewa kaka
Upo sahii kakaPamoja mkuu
Tatizo ninaloliona kwa ndugu zangu ni kwamba wanaota
Hawayaangalii mambo kama yalivyo ila wanayaangalia namna wanavyotaka kuwa
Hapo ndipo wanapovuruga wanabaki na nadharia ambazo hazina uhalisia hata kidogo
Mzee wangu nahisi unanizungumzia mimi😂Sultan...
Niruhusu nizungumze na wewe kuhusu shida lakini kwa kitu kingine baadae nitakujibu In Shaa Allah kuhusu mapinduzi.
Kuna mtu kaniuliza kwa nini simjibu mtu fulani (kataja identify yake) ilhali yeye akimsoma na akinitazama mimi hana makamo yoyote.
Nikamwambia nimemjibu, "Ahsante."
Akaniambia hilo si jibu umemshukuru.
Nikamwambia naam nimemshukuru na hiyo shukurani yangu kwake ndiyo jibu langu.
Nikamwambia kuwa ningemjibu kwa kumjibu maneno yake ningemuongezea ghadhabu na hili ni vizuri kuliepuka.
Huyu ndugu yetu moyo wake umejaa hasad na husda ni sumu inayokula kiwiliwili na ni kitu hatari.
Nikamwambia huyu ndugu yangu tupitie pamoja yote aliyoniandikia nami nikakaamua kuwa kimya na nikamshukuru.
Tukafanya hivyo.
Nikamuuliza nini alichokiona.
Jibu alilonipa kasema hakika huyu ni hasid.
Nikamuuliza kwa nini unamwita hivyo akasema, "Yote uliyotueleza na kutuonyesha kwa nia nzuri tuelewe na jibu ulilompa la kuwa si kila kitu unaweza kupata yakini yake ijaza yake ni kukutolea fedhuli?
Mbona yeye hatuwekei aliyofanya katika medani ya usomi?"
Sasa nikamjibu huyu ndugu yangu kuwa na hasad ndani ya moyo wake imefunika yote ambayo kwayo mimi yameniweka juu kileleni.
Husda yake inamuonyesha kile kitu kidogo kisichokuwa na maana yoyote.
Akaona ijaza yangu ni hayo maneno ya kejeli kwa sababu kaumizwa na kile ambacho yeye hana Allah bado hajampa.
Husda inamfanya aamini kuwa yeye hawezi kupata nilichopewa mie.
Kama kawaida ya mahasidi
wote hakuweza kustahamili akakitapika kile kinachomchoma - kuhadhiri kwangu Vyuo Vikuu, Afrika, Ulaya na Marekani na mengineyo.
Kuandika vitabu na kuchapwa na wachapaji wa sifa duniani.
Si kila mwandishi kazi yake inachapwa na Oxford University Press.
Si kila kitabu kinapewa nafasi ndani ya Cambridge Journal of African History.
Walimu wangu walionisomesha mimi hawajaingia ndani ya majarida ya kimataifa.
Anasema yeye haya kuwanayo mimi hayamshughulishi.
Lakini ukweli ni kuwa yote anayoyaona kwangu kwa ushahidi wenye ithibati yanamchoma.
Kashindwa kustahamili.
Alikuwa kimya lakini kapata upenyo kaona autumie kutema nyongo yake.
Vitabu vyote na "paper" zote nilizoweka hapa basi ziwe si lolote kwa kumdokolea tafiti moja tu ya kimya?
Turudi kwenye mapinduzi.
Zanzibar imetulia na In Shaa Allah itavuka huu mtihani.
Wazanzibari wamekubaliana kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK).
Agenda ya Wazanzibari ni kukubaliana kuwa na uchaguzi huru na wa haki.
Hawako mbali kufikia lengo hili.
(Ndugu yangu uliyeniomba nitoe jibu nimefanya kama ulivyosisitiza nifanye).
Amin,Ahsante sheikh wangu, Allah akulipe na akuongoze inshaallah
Hii ni Qur'an.Mzee wangu nahisi unanizungumzia mimi😂
Na kama si mimi niambie nikae chonjo😂
Ila kama ni mimi ninayo ya kukuambia
Kwenye falsafa kuna fallacy katika kutengeneza hoja tunaiita appeal to authority fallacy
Hapa ni mtu anajenga hoja akijibasibisha na ufahamu wake au uzoefu ktk kada fulani
Sasa hapa kuna ka loophole, mtu huyu anaweza tumia uchochoro huu kuwalisha matangopori watu wengine ati kisa ni alifanya hili na lile
Mimi ninataka tuifikie kweli ya kweli ndiyo maana vitabu na majarida yako nimeyaweka kando ninadeal na hoja zako tu
Sasa nilipotoa majarida yako na historia yako nikakuacha na hoja pekee katika hoja zako mpaka sasa sijaona jambo lolote la maana
1. Umeshindwa jibu swali la msingi
Kulikuwa na haki kati ya matabaka yote enzi za sultan?
Hujajibu badala yake unauliza swali
Nikakupa njia kuwa nitajibu swali lako endapo utajibu langu lkn bado hujajibu
Sasa nikawaza majarida vitabu na wasifu unaosema unao unafaa nini kama unashindwa kujibu swali jepesi kama hilo?
Nikaona ya nini nibabaike na wasifu wako ikiwa huwezi jibu swali jepesi sana kama hili?
Ndipo nikaona aidha unalipwa na kufanya propaganda za kimakusudi kuturudisha enzi za utumwa wa sultan au wasifu wako si chochote ila uzushi, mpaka sasa sijapata jibu sahihi kati ya hayo mawili,
Mzee wangu nahisi unanizungumzia mimi😂
Na kama si mimi niambie nikae chonjo😂
Ila kama ni mimi ninayo ya kukuambia
Kwenye falsafa kuna fallacy katika kutengeneza hoja tunaiita appeal to authority fallacy
Hapa ni mtu anajenga hoja akijibasibisha na ufahamu wake au uzoefu ktk kada fulani
Sasa hapa kuna ka loophole, mtu huyu anaweza tumia uchochoro huu kuwalisha matangopori watu wengine ati kisa ni alifanya hili na lile
Mimi ninataka tuifikie kweli ya kweli ndiyo maana vitabu na majarida yako nimeyaweka kando ninadeal na hoja zako tu
Sasa nilipotoa majarida yako na historia yako nikakuacha na hoja pekee katika hoja zako mpaka sasa sijaona jambo lolote la maana
1. Umeshindwa jibu swali la msingi
Kulikuwa na haki kati ya matabaka yote enzi za sultan?
Hujajibu badala yake unauliza swali
Nikakupa njia kuwa nitajibu swali lako endapo utajibu langu lkn bado hujajibu
Sasa nikawaza majarida vitabu na wasifu unaosema unao unafaa nini kama unashindwa kujibu swali jepesi kama hilo?
Nikaona ya nini nibabaike na wasifu wako ikiwa huwezi jibu swali jepesi sana kama hili?
Ndipo nikaona aidha unalipwa na kufanya propaganda za kimakusudi kuturudisha enzi za utumwa wa sultan au wasifu wako si chochote ila uzushi, mpaka sasa sijapata jibu sahihi kati ya hayo mawili,
Mzee said waga anakwepa maswali haya!!!!Yeye anaamini sultan alikua anagawa maziwa na asali na kwa sababu ya udini hataki kutambua udhalimu wa walowezi wa kiarabu kwa ndugu zetu wa kibantuMzee wangu nahisi unanizungumzia mimi😂
Na kama si mimi niambie nikae chonjo😂
Ila kama ni mimi ninayo ya kukuambia
Kwenye falsafa kuna fallacy katika kutengeneza hoja tunaiita appeal to authority fallacy
Hapa ni mtu anajenga hoja akijibasibisha na ufahamu wake au uzoefu ktk kada fulani
Sasa hapa kuna ka loophole, mtu huyu anaweza tumia uchochoro huu kuwalisha matangopori watu wengine ati kisa ni alifanya hili na lile
Mimi ninataka tuifikie kweli ya kweli ndiyo maana vitabu na majarida yako nimeyaweka kando ninadeal na hoja zako tu
Sasa nilipotoa majarida yako na historia yako nikakuacha na hoja pekee katika hoja zako mpaka sasa sijaona jambo lolote la maana
1. Umeshindwa jibu swali la msingi
Kulikuwa na haki kati ya matabaka yote enzi za sultan?
Hujajibu badala yake unauliza swali
Nikakupa njia kuwa nitajibu swali lako endapo utajibu langu lkn bado hujajibu
Sasa nikawaza majarida vitabu na wasifu unaosema unao unafaa nini kama unashindwa kujibu swali jepesi kama hilo?
Nikaona ya nini nibabaike na wasifu wako ikiwa huwezi jibu swali jepesi sana kama hili?
Ndipo nikaona aidha unalipwa na kufanya propaganda za kimakusudi kuturudisha enzi za utumwa wa sultan au wasifu wako si chochote ila uzushi, mpaka sasa sijapata jibu sahihi kati ya hayo mawili,
Abu Ghifar ktk hadithi sahih alisema aliwahi msikia Mtume (saw) akisema akisema “sema ukweli hata kama mchungu”Hii ni Qur'an.
Amerehemewa yule atakaejiepusha na ubishi hata kama atakuwa kwenye haki.
Mkuu binafsi sina shida naeMzee said waga anakwepa maswali haya!!!!Yeye anaamini sultan alikua anagawa maziwa na asali na kwa sababu ya udini hataki kutambua udhalimu wa walowezi wa kiarabu kwa ndugu zetu wa kibantu
Nelson...Mzee said waga anakwepa maswali haya!!!!Yeye anaamini sultan alikua anagawa maziwa na asali na kwa sababu ya udini hataki kutambua udhalimu wa walowezi wa kiarabu kwa ndugu zetu wa kibantu
Umeongea kiufasaha zaidi Mkuu!!Mkuu binafsi sina shida nae
Alete madai yote atakayo ila athibitishe tu
Yakithibitika kuwa ni kweli nitaungana nae ktk kupigia chapuo usultan Zanzibar 😂
Hizi asilimia ni kwa mujibu wa tafiti gani ?Count...
Tanzania Wakristo wanahodhi serikali kwa 80% na 20% ni Waislam.
Unasemaje kuhusu hili.
Huu ni ukandamuzaji systematically?
Sasa hapo ndipoNelson...
Basi wewe ndiyo wa kunihoji mimi kwa historia usioijua?
Wewe unakuja kwangu kusoma siyo kuhoji.
Una chochote cha kuonyesha kuwa unajua unachohoji kwangu?
Aah mkuu umemhoji mzee?😂Hizi asilimia ni kwa mujibu wa tafiti gani ?
Ebu muulize wewe labda atakujibu maana mimi waga anakwepa hili swaliHizi asilimia ni kwa mujibu wa tafiti gani ?
Kaka capone unatoa hoja kisomi na kwa weledi wa hali ya juu kisiasa!!!Nakuelewa kaka
Nelson...Hizi asilimia ni kwa mujibu wa tafiti gani ?
Upo sahii mzee wangu Said mohamed hapendi kuhojiwa kabisa ila anapenda kuzungimza tu upande wa mitazamo yake ya kisiasa na kiimaniAah mkuu umemhoji mzee?😂
Yeye anataka kufundisha hataki kuhojiwa hapo unatafuta ugomvi mkuu
Ni kweli mkuu kuna post yake humu kamjibu mtu eti anadai “wewe ndio wa kunihoji?”Upo sahii mzee wangu Said mohamed hapendi kuhojiwa kabisa ila anapenda kuzungimza tu upande wa mitazamo yake ya kisiasa na kiimani
Sasa nitauamini vipi waraka huu wakati umeanza salamu tu kwa mrengo flani wa kiafidhina upande wa itikadi za kisiasa na kiimani!!!Napata shida kidogo kuamini huu ni waraka wa mawazo na maoni huru yasiyo ns chembechembe za kiitikadi za kisiasa na kiimani?????Nelson...
Waraka huo hapo chini:
Uchaguzi 2020 - Waraka wa Uchaguzi wa Shura ya Maimamu Tanzania
Bismillahir Rahmanir Rahiim SHURA YA MAIMAMU TANZANIA WARAKA [MWONGOZO] UCHAGUZI MKUU WA TAIFA OKTOBA 2020 TANZANIA Umetolewa leo Tarehe 09. 07. 2020. UTANGULIZI Ugonjwa wa Korona – COVID-19 Sote Tunafahamu kuwa nchini mwetu na Dunia kwa ujumla kumekuwepo na taharuki kubwa ya Ugonjwa wa...www.jamiiforums.com
Hata mimi kaniambia siwezi kumuhoji kuhusu zanzbar sababu yeye kazaliwa kkoo na ana ubini wa kindugu na kiimani na wafuasi wa hizbuNi kweli mkuu kuna post yake humu kamjibu mtu eti anadai “wewe ndio wa kunihoji?”
Binafsi nimeshtuka sana nikahisi
Amekosea
Ni msomi gani zama hizi anathubutu kukataa kuhojiwa?
Yani inachekesha inanitia mashaka ana agenda gani mzee wetu
Na wanafunzi wake wanawezaje kusoma bila kuhoji yani wanaelewaje sasa aaargh
Nimesikia kero sana leo
Msomi hutaki kuhojiwa??
Kuna kitu tunaita intellectual honesty sasa bila kuhoji tutakipata wapi kwa mzee wetu?