Wanaochukia mapinduzi matukufu ya Zanzibar 1964 wana ajenda gani nyuma ya pazia?

Wanaochukia mapinduzi matukufu ya Zanzibar 1964 wana ajenda gani nyuma ya pazia?

Mkuu mimi ni muislamu na silazimiki kujieleza kwanini nimeamua niseme na silazimiki kukuaminisha kivyovyote

Uislam wangu si kwaajili yako wewe Sol de Mayo , Uislamu wangu ni kwaajili ya Mungu yeye ndiye mwenye kujua kweli ya nafsi zetu mkuu

Ninasapoti Mapinduzi matukufu ya Zanzibar yaliyong’oa tawala dhalimu ya sultan mkuu

Allah atuongoze sote mkuu
Kaka capone unatoa hoja kisomi na kwa weledi wa hali ya juu kisiasa!!!Nakuelewa kaka
 
Sultan...
Niruhusu nizungumze na wewe kuhusu shida lakini kwa kitu kingine baadae nitakujibu In Shaa Allah kuhusu mapinduzi.

Kuna mtu kaniuliza kwa nini simjibu mtu fulani (kataja identify yake) ilhali yeye akimsoma na akinitazama mimi hana makamo yoyote.

Nikamwambia nimemjibu, "Ahsante."

Akaniambia hilo si jibu umemshukuru.

Nikamwambia naam nimemshukuru na hiyo shukurani yangu kwake ndiyo jibu langu.

Nikamwambia kuwa ningemjibu kwa kumjibu maneno yake ningemuongezea ghadhabu na hili ni vizuri kuliepuka.

Huyu ndugu yetu moyo wake umejaa hasad na husda ni sumu inayokula kiwiliwili na ni kitu hatari.

Nikamwambia huyu ndugu yangu tupitie pamoja yote aliyoniandikia nami nikakaamua kuwa kimya na nikamshukuru.

Tukafanya hivyo.
Nikamuuliza nini alichokiona.

Jibu alilonipa kasema hakika huyu ni hasid.

Nikamuuliza kwa nini unamwita hivyo akasema, "Yote uliyotueleza na kutuonyesha kwa nia nzuri tuelewe na jibu ulilompa la kuwa si kila kitu unaweza kupata yakini yake ijaza yake ni kukutolea fedhuli?

Mbona yeye hatuwekei aliyofanya katika medani ya usomi?"

Sasa nikamjibu huyu ndugu yangu kuwa na hasad ndani ya moyo wake imefunika yote ambayo kwayo mimi yameniweka juu kileleni.

Husda yake inamuonyesha kile kitu kidogo kisichokuwa na maana yoyote.

Akaona ijaza yangu ni hayo maneno ya kejeli kwa sababu kaumizwa na kile ambacho yeye hana Allah bado hajampa.

Husda inamfanya aamini kuwa yeye hawezi kupata nilichopewa mie.

Kama kawaida ya mahasidi
wote hakuweza kustahamili akakitapika kile kinachomchoma - kuhadhiri kwangu Vyuo Vikuu, Afrika, Ulaya na Marekani na mengineyo.

Kuandika vitabu na kuchapwa na wachapaji wa sifa duniani.

Si kila mwandishi kazi yake inachapwa na Oxford University Press.

Si kila kitabu kinapewa nafasi ndani ya Cambridge Journal of African History.

Walimu wangu walionisomesha mimi hawajaingia ndani ya majarida ya kimataifa.

Anasema yeye haya kuwanayo mimi hayamshughulishi.

Lakini ukweli ni kuwa yote anayoyaona kwangu kwa ushahidi wenye ithibati yanamchoma.

Kashindwa kustahamili.

Alikuwa kimya lakini kapata upenyo kaona autumie kutema nyongo yake.

Vitabu vyote na "paper" zote nilizoweka hapa basi ziwe si lolote kwa kumdokolea tafiti moja tu ya kimya?

Turudi kwenye mapinduzi.

Zanzibar imetulia na In Shaa Allah itavuka huu mtihani.

Wazanzibari wamekubaliana kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK).

Agenda ya Wazanzibari ni kukubaliana kuwa na uchaguzi huru na wa haki.

Hawako mbali kufikia lengo hili.

(Ndugu yangu uliyeniomba nitoe jibu nimefanya kama ulivyosisitiza nifanye).
Mzee wangu nahisi unanizungumzia mimi😂
Na kama si mimi niambie nikae chonjo😂

Ila kama ni mimi ninayo ya kukuambia

Kwenye falsafa kuna fallacy katika kutengeneza hoja tunaiita appeal to authority fallacy

Hapa ni mtu anajenga hoja akijibasibisha na ufahamu wake au uzoefu ktk kada fulani

Sasa hapa kuna ka loophole, mtu huyu anaweza tumia uchochoro huu kuwalisha matangopori watu wengine ati kisa ni alifanya hili na lile

Mimi ninataka tuifikie kweli ya kweli ndiyo maana vitabu na majarida yako nimeyaweka kando ninadeal na hoja zako tu

Sasa nilipotoa majarida yako na historia yako nikakuacha na hoja pekee katika hoja zako mpaka sasa sijaona jambo lolote la maana

1. Umeshindwa jibu swali la msingi
Kulikuwa na haki kati ya matabaka yote enzi za sultan?

Hujajibu badala yake unauliza swali

Nikakupa njia kuwa nitajibu swali lako endapo utajibu langu lkn bado hujajibu

Sasa nikawaza majarida vitabu na wasifu unaosema unao unafaa nini kama unashindwa kujibu swali jepesi kama hilo?

Nikaona ya nini nibabaike na wasifu wako ikiwa huwezi jibu swali jepesi sana kama hili?

Ndipo nikaona aidha unalipwa na kufanya propaganda za kimakusudi kuturudisha enzi za utumwa wa sultan au wasifu wako si chochote ila uzushi, mpaka sasa sijapata jibu sahihi kati ya hayo mawili,
 
Mzee wangu nahisi unanizungumzia mimi😂
Na kama si mimi niambie nikae chonjo😂

Ila kama ni mimi ninayo ya kukuambia

Kwenye falsafa kuna fallacy katika kutengeneza hoja tunaiita appeal to authority fallacy

Hapa ni mtu anajenga hoja akijibasibisha na ufahamu wake au uzoefu ktk kada fulani

Sasa hapa kuna ka loophole, mtu huyu anaweza tumia uchochoro huu kuwalisha matangopori watu wengine ati kisa ni alifanya hili na lile

Mimi ninataka tuifikie kweli ya kweli ndiyo maana vitabu na majarida yako nimeyaweka kando ninadeal na hoja zako tu

Sasa nilipotoa majarida yako na historia yako nikakuacha na hoja pekee katika hoja zako mpaka sasa sijaona jambo lolote la maana

1. Umeshindwa jibu swali la msingi
Kulikuwa na haki kati ya matabaka yote enzi za sultan?

Hujajibu badala yake unauliza swali

Nikakupa njia kuwa nitajibu swali lako endapo utajibu langu lkn bado hujajibu

Sasa nikawaza majarida vitabu na wasifu unaosema unao unafaa nini kama unashindwa kujibu swali jepesi kama hilo?

Nikaona ya nini nibabaike na wasifu wako ikiwa huwezi jibu swali jepesi sana kama hili?

Ndipo nikaona aidha unalipwa na kufanya propaganda za kimakusudi kuturudisha enzi za utumwa wa sultan au wasifu wako si chochote ila uzushi, mpaka sasa sijapata jibu sahihi kati ya hayo mawili,
Hii ni Qur'an.
Amerehemewa yule atakaejiepusha na ubishi hata kama atakuwa kwenye haki.
 
Mzee wangu nahisi unanizungumzia mimi😂
Na kama si mimi niambie nikae chonjo😂

Ila kama ni mimi ninayo ya kukuambia

Kwenye falsafa kuna fallacy katika kutengeneza hoja tunaiita appeal to authority fallacy

Hapa ni mtu anajenga hoja akijibasibisha na ufahamu wake au uzoefu ktk kada fulani

Sasa hapa kuna ka loophole, mtu huyu anaweza tumia uchochoro huu kuwalisha matangopori watu wengine ati kisa ni alifanya hili na lile

Mimi ninataka tuifikie kweli ya kweli ndiyo maana vitabu na majarida yako nimeyaweka kando ninadeal na hoja zako tu

Sasa nilipotoa majarida yako na historia yako nikakuacha na hoja pekee katika hoja zako mpaka sasa sijaona jambo lolote la maana

1. Umeshindwa jibu swali la msingi
Kulikuwa na haki kati ya matabaka yote enzi za sultan?

Hujajibu badala yake unauliza swali

Nikakupa njia kuwa nitajibu swali lako endapo utajibu langu lkn bado hujajibu

Sasa nikawaza majarida vitabu na wasifu unaosema unao unafaa nini kama unashindwa kujibu swali jepesi kama hilo?

Nikaona ya nini nibabaike na wasifu wako ikiwa huwezi jibu swali jepesi sana kama hili?

Ndipo nikaona aidha unalipwa na kufanya propaganda za kimakusudi kuturudisha enzi za utumwa wa sultan au wasifu wako si chochote ila uzushi, mpaka sasa sijapata jibu sahihi kati ya hayo mawili,

Mzee wangu nahisi unanizungumzia mimi😂
Na kama si mimi niambie nikae chonjo😂

Ila kama ni mimi ninayo ya kukuambia

Kwenye falsafa kuna fallacy katika kutengeneza hoja tunaiita appeal to authority fallacy

Hapa ni mtu anajenga hoja akijibasibisha na ufahamu wake au uzoefu ktk kada fulani

Sasa hapa kuna ka loophole, mtu huyu anaweza tumia uchochoro huu kuwalisha matangopori watu wengine ati kisa ni alifanya hili na lile

Mimi ninataka tuifikie kweli ya kweli ndiyo maana vitabu na majarida yako nimeyaweka kando ninadeal na hoja zako tu

Sasa nilipotoa majarida yako na historia yako nikakuacha na hoja pekee katika hoja zako mpaka sasa sijaona jambo lolote la maana

1. Umeshindwa jibu swali la msingi
Kulikuwa na haki kati ya matabaka yote enzi za sultan?

Hujajibu badala yake unauliza swali

Nikakupa njia kuwa nitajibu swali lako endapo utajibu langu lkn bado hujajibu

Sasa nikawaza majarida vitabu na wasifu unaosema unao unafaa nini kama unashindwa kujibu swali jepesi kama hilo?

Nikaona ya nini nibabaike na wasifu wako ikiwa huwezi jibu swali jepesi sana kama hili?

Ndipo nikaona aidha unalipwa na kufanya propaganda za kimakusudi kuturudisha enzi za utumwa wa sultan au wasifu wako si chochote ila uzushi, mpaka sasa sijapata jibu sahihi kati ya hayo mawili,
Mzee said waga anakwepa maswali haya!!!!Yeye anaamini sultan alikua anagawa maziwa na asali na kwa sababu ya udini hataki kutambua udhalimu wa walowezi wa kiarabu kwa ndugu zetu wa kibantu
 
Hii ni Qur'an.
Amerehemewa yule atakaejiepusha na ubishi hata kama atakuwa kwenye haki.
Abu Ghifar ktk hadithi sahih alisema aliwahi msikia Mtume (saw) akisema akisema “sema ukweli hata kama mchungu”

Na pia Abuu said al khudree amepokea hadith sahih toka kwa mtume isemayo tunapoona uovu na tuuondoe kwa mikono yetu, ikiwa hatuwezi, tuukemee kwa vinywa vyetu na ikiwa hatuwezi basi tukae kimya na tuuchukie kwa mioyo yetu na Mtume (saw) anasema kukaa kimya ni udhaifu katika imaan

Yote inaonesha Uislam si kichaka cha kuficha uovu hata afanye nani
 
Mzee said waga anakwepa maswali haya!!!!Yeye anaamini sultan alikua anagawa maziwa na asali na kwa sababu ya udini hataki kutambua udhalimu wa walowezi wa kiarabu kwa ndugu zetu wa kibantu
Mkuu binafsi sina shida nae

Alete madai yote atakayo ila athibitishe tu

Yakithibitika kuwa ni kweli nitaungana nae ktk kupigia chapuo usultan Zanzibar 😂
 
Mzee said waga anakwepa maswali haya!!!!Yeye anaamini sultan alikua anagawa maziwa na asali na kwa sababu ya udini hataki kutambua udhalimu wa walowezi wa kiarabu kwa ndugu zetu wa kibantu
Nelson...
Unafurahisha kwa namna yako ya pekee kabisa.
 
Nelson...
Basi wewe ndiyo wa kunihoji mimi kwa historia usioijua?
Wewe unakuja kwangu kusoma siyo kuhoji.

Una chochote cha kuonyesha kuwa unajua unachohoji kwangu?
Sasa hapo ndipo
Unapokosea mzee wetu😂

Kwanini usitake kuhojiwa?
Mitume ilihojiwa kwanini watu waje kwako kusoma kibubusa?

Chuoni tunahoji tena sana kwanini utake kufundisha watu bila
Kuhoji??
Unakimbia nini mzee?

Ninavyojuq msomi haogopi kuhojiwa na akihojiwa hachukulii vitu personal anajibu hoja kama ilivyoulizwa msomi hajivuni eti hahojiwi na nini hapana

Wasomi wanakaribisha hoja wanataka kuhojiwa nakumbuka nilipokuwa UDSM kuna Profesa wetu wa Public Administration alikuwa ni Prof. Malya alikua akituhamasisha tumhoji tusikae kae tu kukubali kila tunachoambiwa mzee

Kama unachosema ni kweli kubali kuhojiwa na unapohojiwa jibu hoja kwa hoja usikimbie hoja kwa kutuonesha picha na kuhama mada mzee wetu
 
Kaka capone unatoa hoja kisomi na kwa weledi wa hali ya juu kisiasa!!!Nakuelewa kaka
Hizi asilimia ni kwa mujibu wa tafiti gani ?
Nelson...
Waraka huo hapo chini:

 
Upo sahii mzee wangu Said mohamed hapendi kuhojiwa kabisa ila anapenda kuzungimza tu upande wa mitazamo yake ya kisiasa na kiimani
Ni kweli mkuu kuna post yake humu kamjibu mtu eti anadai “wewe ndio wa kunihoji?”

Binafsi nimeshtuka sana nikahisi
Amekosea

Ni msomi gani zama hizi anathubutu kukataa kuhojiwa?
Yani inachekesha inanitia mashaka ana agenda gani mzee wetu

Na wanafunzi wake wanawezaje kusoma bila kuhoji yani wanaelewaje sasa aaargh

Nimesikia kero sana leo

Msomi hutaki kuhojiwa??

Kuna kitu tunaita intellectual honesty sasa bila kuhoji tutakipata wapi kwa mzee wetu?
 
Nelson...
Waraka huo hapo chini:

Sasa nitauamini vipi waraka huu wakati umeanza salamu tu kwa mrengo flani wa kiafidhina upande wa itikadi za kisiasa na kiimani!!!Napata shida kidogo kuamini huu ni waraka wa mawazo na maoni huru yasiyo ns chembechembe za kiitikadi za kisiasa na kiimani?????
 
Ni kweli mkuu kuna post yake humu kamjibu mtu eti anadai “wewe ndio wa kunihoji?”

Binafsi nimeshtuka sana nikahisi
Amekosea

Ni msomi gani zama hizi anathubutu kukataa kuhojiwa?
Yani inachekesha inanitia mashaka ana agenda gani mzee wetu

Na wanafunzi wake wanawezaje kusoma bila kuhoji yani wanaelewaje sasa aaargh

Nimesikia kero sana leo

Msomi hutaki kuhojiwa??

Kuna kitu tunaita intellectual honesty sasa bila kuhoji tutakipata wapi kwa mzee wetu?
Hata mimi kaniambia siwezi kumuhoji kuhusu zanzbar sababu yeye kazaliwa kkoo na ana ubini wa kindugu na kiimani na wafuasi wa hizbu
 
Back
Top Bottom