Wanaofanya mazoezi ya mbio (jogging) hayana faida kiafya, ni matokeo ya matangazo ya biashara ya Nike

Wanaofanya mazoezi ya mbio (jogging) hayana faida kiafya, ni matokeo ya matangazo ya biashara ya Nike

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani. Unaweza kukuta mmoja mmoja au kikundi.

Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.

Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.

Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.

Wengi wa joggeres waliokubuhu wanasura za Kichovu, kizee na zisizo na nuru. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.

Haijengi afya, inaua afya.

Ni hayo tu.
Ushauri:
The safiest exercise in the world is Walking.
 
Mie msukumo wa damu ulikuwa 140/90, daktari akanihoji je nina stress, nkasema hapana.. Nkaendelea fwatilia kwa wiki mbili bado ikawa inacheza 135/136/137/141 kwa 86/88/90

Meanza mazoezi ya kutembea km 3 hadi 5 kwa siku
now msukumo wa damu unasoma 125/127/130 kwa 78/80/83

Mazoezi inategemea unafanya ya namna gani na kwa malengo gani (sio wamaliza mazoez unaenda piga nyama choma na ....
 
Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani.
Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.

Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.

Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.

Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.

Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.

Haijengi afya, inaua afya.

Ni hayo tu.
Boss,Jogging haiui afya ya mtu isipokuwa kwenye point ya kuzeeka mapema kwa wale excessive joggers naweza kukubaliana nae kwasababu ya kukaza kwa mara kwa mara kwa misuri;Hali hii huwa naiona sana kwa baadhi ya watu wanaofanya mazoezi kupita kiasi,hali hii kwa Wanawake wanariadha huharibu hata muonekano wao wa uanawake yaani Feminity.But otherwise jogging ni mazoezi mazuri sana kwa kujenga afya mimi pia ni mpenzi wa jogging.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani.
Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.

Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.

Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.

Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.

Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.

Haijengi afya, inaua afya.

Ni hayo tu.
Kwa hiyo akili zako zinakubaliana na huyo mzungu

Wazungu wanavyosapoti ushoga, wewe unakubaliana nao??

Yaani mtu apate madhara kisa anafanya jogging??


Ficha ujinga wako
 
Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani.
Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.

Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.

Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.

Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.

Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.

Haijengi afya, inaua afya.

Ni hayo tu.
Kwahiyo mzungu ndio amekwambia kwamba hayana faida?
 
Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani.
Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.

Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.

Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.

Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.

Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.

Haijengi afya, inaua afya.

Ni hayo tu.
Hata kuna doctor mmoja kule USA alisema breakfast ni scam iliwekwa na wauza soseji na madaktari lakini anasema kiafya hakuna madhara yoyote ku skip breakfast wazungu wanajua waafrika mazuzu wanaiga kila kitu.
 
Mazoezi ni Afya endeleeni kuwasikiliza wanaotaka msifanye mazoezi...iwe kutembea, Kukimbia au kucheza mpira yote hayo yanasaidia sana kuwa na afya bora hasa kwa kipindi hiki chenye vyakula vyenye aina nyingi za sumu kwa ajili ya Utunzaji visiharibike...
 
Boss,Jogging haiui afya ya mtu isipokuwa kwenye point ya kuzeeka mapema kwa wale excessive joggers naweza kukubaliana nae kwasababu ya kukaza kwa mara kwa mara kwa misuri;Hali hii huwa naiona sana kwa baadhi ya watu wanaofanya mazoezi kupita kiasi,hali hii kwa Wanawake wanariadha huharibu hata muonekano wao wa uanawake yaani Feminity.But otherwise jogging ni mazoezi mazuri sana kwa kujenga afya mimi pia ni mpenzi wa jogging.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Kuna mwanangu yuko BOA ameanza huo mchezo sasa ana mwaka wa 3 ila sura yake ukiifananisha na umri wake kimsingi mwana hana tofauti na mstaafu. Kipindi tunamaliza chuo alikuwa kijana mtanashati sana na kitambi cha kufutia simu kilikuwepo.

I do think he is overdoing it, maana unakimbia kilometre 15 kwa siku thats too much. Mi nafanya lifting kwa kiasi chake na kutembea tembea ndio sana. Thats enough for me as long as natoka jasho.
 
Hata kuna doctor mmoja kule USA alisema breakfast ni scam iliwekwa na wauza soseji na madaktari lakini anasema kiafya hakuna madhara yoyote ku skip breakfast wazungu wanajua waafrika mazuzu wanaiga kila kitu.
Kitu kama hicho hata mimi namuunga mkono ila sio kwenye swala la mazoezi. Chai hata mimi mara nyingi sinywi ila mazoezi nikifanya naona faida zake kwangu na sio kwa kuambiwa.
 
Kuna mwanangu yuko BOA ameanza huo mchezo sasa ana mwaka wa 3 ila sura yake ukiifananisha na umri wake kimsingi mwana hana tofauti na mstaafu. Kipindi tunamaliza chuo alikuwa kijana mtanashati sana na kitambi cha kufutia simu kilikuwepo.

I do think he is overdoing it, maana unakimbia kilometre 15 kwa siku thats too much. Mi nafanya lifting kwa kiasi chake na kutembea tembea ndio sana. Thats enough for me as long as natoka jasho.
ukizidisha unazeeka
 
Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani.
Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.

Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.

Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.

Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.

Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.

Haijengi afya, inaua afya.

Ni hayo tu.
Siku hizi nimekuwa mtu mzima sipendi kabisa kuwakwaza watu. But lazima niseme uelewa wako ni finyu sana kwenye hili swala
 
Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani.
Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.

Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.

Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.

Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.

Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.

Haijengi afya, inaua afya.

Ni hayo tu.
Haya ya 2 imemaliza kila kitu.
 
Kama shughuli zako tayari ni za kukimbizana barabarani na kugombania daladala kama Mimi,basi waweza usifanye jogging

Kama ndio wale wazee wa kupigwa viyoyozi na kuzunguka na viti ofisini , my friend nenda kafanye mazoezi.
 
Back
Top Bottom