Wanaofanya mazoezi ya mbio (jogging) hayana faida kiafya, ni matokeo ya matangazo ya biashara ya Nike

Wanaofanya mazoezi ya mbio (jogging) hayana faida kiafya, ni matokeo ya matangazo ya biashara ya Nike

Read btn lines unaweza kuelewa alichomaanisha.Mimi ni mtu wa Jogging kuna point yupo sawa na kuna point hayupo sahihi.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Kila kitu kinaweza kuwa na - impacts and + impacts, sikatai

Jogging ni mazoezi yenye faida zaid (hamna kiungo cha mwili hakihusiki) kuliko negative impacts zake, hasa kipindi hiki ambapo ulaji wetu wa vyakula ni artificial.

Sasa ukiona jambo linafaida zaid kuliko hasara, huwezi kuzungumzia hasara zake ili kudunisha
 
Uko sahihi..nilikumbushia tu..kuna watu hawalijui hili huwa wanalalamika kwamba wanafanya mazoezi/jogging lakini kitambi hakiishi.
JOGGING ni full body exercises hai assist a specific body part ni ngumu kuondoa kitambi bali itakipunguza tu kwa asilia ndogo, kitambi ni mazoezi ya ABS Cross-Cutting
 
JOGGING ni full body exercises hai assist a specific body part ni ngumu kuondoa kitambi bali itakipunguza tu kwa asilia ndogo, kitambi ni mazoezi ya ABS Cross-Cutting
Watu hatujui tu, moja ya mistake vijana tunaifanya ni kupuuzia mazoezi hasa ya jogging,,

Unakuta hata pumzi ya kitandani inakata, unadhani unaupungufu wa nguvu za kiume kumbe ni mazoezi na kula vizuri umekosa...
 
Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani.
Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.

Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.

Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.

Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.

Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.

Haijengi afya, inaua afya.

Ni hayo tu.
Huyo mzungu kakudanganya!
 
Sio kweli. Mimi ni mwanamazoezi muda mrefu. Haipiti siku lazima nipige sikwata,sifanyi joging japo ni sawa na joging. Ksbb ya mazoezi makali ikanisababishia bawasili,ikabidi nipumzike mazoezi ili nitafute tiba kwanza. Huu muda ambao nimepumzika ndio nimegundua mazoezi ni muhimu sana. Ndani ya muda mfupi nimeongezeka mwili haraka,hapo na uzito umeongezeka. Na kuna vitu nilikuwa nanyanyau kama ubua,lakini nikaanza kuviona vizito.
Japo sijapata tiba vizuri ya hiyo bawasili,lakini imenibidi nirudi kwenye mazoezi kwa kuibia ibia
 
Watu mbona mnatokwa povu bila kuona content Ya mwandishi!? Kwanza amesema jogging walipromote Nike ili wauze vifaa vya michezo. Tuanzie hapo kwanza kuna anayebisha kuhusu hilo!? Jambo pili mwandishi amesema aina yetu Ya maisha ni jogging tosha.. Kuna haja gani Ya kukimbia km 6 wakati hata ungetembea km 1 inatosha kiafya!? Wanaokimbia wenyewe wanajua Kwa nini wanakimbia!? Hivi mnawaona wanavyojikomaza wanaofanya jogging bila Kujua Kwa nini wanafanya! Mtu anaenda ku-jogging leaders club lkn anatokea jangwani Kwa mguu au Kwa baiskeli.. Sasa huyo ana haja gani Ya kukimbia si anajiua bure!? Jamii forum Ya sasa sijui hata imekumbwa na nini.. Naona km ujinga umetamalaki. Hakuna mijadala Ya kujadili hoja
 
Watu mbona mnatokwa povu bila kuona content Ya mwandishi!? Kwanza amesema jogging walipromote Nike ili wauze vifaa vya michezo. Tuanzie hapo kwanza kuna anayebisha kuhusu hilo!? Jambo pili mwandishi amesema aina yetu Ya maisha ni jogging tosha.. Kuna haja gani Ya kukimbia km 6 wakati hata ungetembea km 1 inatosha kiafya!? Wanaokimbia wenyewe wanajua Kwa nini wanakimbia!? Hivi mnawaona wanavyojikomaza wanaofanya jogging bila Kujua Kwa nini wanafanya! Mtu anaenda ku-jogging leaders club lkn anatokea jangwani Kwa mguu au Kwa baiskeli.. Sasa huyo ana haja gani Ya kukimbia si anajiua bure!? Jamii forum Ya sasa sijui hata imekumbwa na nini.. Naona km ujinga umetamalaki. Hakuna mijadala Ya kujadili hoja
Naunga mkono hoja
 
Sio kweli. Mimi ni mwanamazoezi muda mrefu. Haipiti siku lazima nipige sikwata,sifanyi joging japo ni sawa na joging. Ksbb ya mazoezi makali ikanisababishia bawasili,ikabidi nipumzike mazoezi ili nitafute tiba kwanza. Huu muda ambao nimepumzika ndio nimegundua mazoezi ni muhimu sana. Ndani ya muda mfupi nimeongezeka mwili haraka,hapo na uzito umeongezeka. Na kuna vitu nilikuwa nanyanyau kama ubua,lakini nikaanza kuviona vizito.
Japo sijapata tiba vizuri ya hiyo bawasili,lakini imenibidi nirudi kwenye mazoezi kwa kuibia ibia
Sawa mkuu, Lakini pole kwa ugonjwa.
 
Watu mbona mnatokwa povu bila kuona content Ya mwandishi!? Kwanza amesema jogging walipromote Nike ili wauze vifaa vya michezo. Tuanzie hapo kwanza kuna anayebisha kuhusu hilo!? Jambo pili mwandishi amesema aina yetu Ya maisha ni jogging tosha.. Kuna haja gani Ya kukimbia km 6 wakati hata ungetembea km 1 inatosha kiafya!? Wanaokimbia wenyewe wanajua Kwa nini wanakimbia!? Hivi mnawaona wanavyojikomaza wanaofanya jogging bila Kujua Kwa nini wanafanya! Mtu anaenda ku-jogging leaders club lkn anatokea jangwani Kwa mguu au Kwa baiskeli.. Sasa huyo ana haja gani Ya kukimbia si anajiua bure!? Jamii forum Ya sasa sijui hata imekumbwa na nini.. Naona km ujinga umetamalaki. Hakuna mijadala Ya kujadili hoja
Umenena vyema
 
Watu mbona mnatokwa povu bila kuona content Ya mwandishi!? Kwanza amesema jogging walipromote Nike ili wauze vifaa vya michezo. Tuanzie hapo kwanza kuna anayebisha kuhusu hilo!? Jambo pili mwandishi amesema aina yetu Ya maisha ni jogging tosha.. Kuna haja gani Ya kukimbia km 6 wakati hata ungetembea km 1 inatosha kiafya!? Wanaokimbia wenyewe wanajua Kwa nini wanakimbia!? Hivi mnawaona wanavyojikomaza wanaofanya jogging bila Kujua Kwa nini wanafanya! Mtu anaenda ku-jogging leaders club lkn anatokea jangwani Kwa mguu au Kwa baiskeli.. Sasa huyo ana haja gani Ya kukimbia si anajiua bure!? Jamii forum Ya sasa sijui hata imekumbwa na nini.. Naona km ujinga umetamalaki. Hakuna mijadala Ya kujadili hoja
Nike ndio walianzisha hii mambo ya kutangaza biashara zao kupitia Joggin ni muda mrefu watu wa Adidas walikua wanapinga hizo mambo kwa kwa kuwa zimeanzishwa na wahasimu wao kwenye biashara mazoezi haya madhara kwa binadamu ni vile jamii ya sasa hivi wamekua wavivu kufanya mazoezi ndio maana unaona wanakuja na hoja zao ili mradi kuwapumbaza na wanajua wapo watakaokubaliana nao...toka lini mazoezi yakawa na madhara kwa binadamu sisi wengine toka tunakua mpaka leo hii ni mwendo wa Mazoezi tu leo hii nije nimsikilize mtu aseme mazoezi sio Afya daah sio kila kitu unachokiona unatakiwa kukiokota...
 
Back
Top Bottom