Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] pole sana mkuujanabi muongo kuliko waongo, mimi maisha yangu nakula mlo mmoja tu saa kumi na moja jioni basi lakini bado nina kitambi na nina presha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] pole sana mkuujanabi muongo kuliko waongo, mimi maisha yangu nakula mlo mmoja tu saa kumi na moja jioni basi lakini bado nina kitambi na nina presha
Alitakiwa atumie mafuta gani ?Tatizo siyo kula mlo mmoja, tatizo ni unakula nini katika huo mlo wako mmoja? Unatumia Sukari, Ngano iliyokobolewa na ya Kisasa? Mafuta ya kupikia ya aina gani unayotumia? Unafanya mazoezi na mazoezi ya aina gani? Je unakunywa Pombe? Unakula sana Cabs? Sasa kabla hujamlaumu Janabi jiangalie wewe kwanza.
Asante sana. Mema yakufuate popote uendapo.Umeandika Ujinga
Siku mzungu akimwambia kuinama lazima atamkubalia tuKwahiyo mzungu ndio amekwambia kwamba hayana faida?
Mbona wacheza mpira awazeeki haraka?ukizidisha unazeeka
Sasa we endekeza supu na chapati kisha unabugia kiepe na pepsi daily halafu jifananishe na kobe.Hahahaha
Hahahahahah angalia sura ya Ronaldo ya mwaka 2007 kisha lete majibu leo anafananaje 🤣🤣🤣Mbona wacheza mpira awazeeki haraka?
Usisahau kuchukua namba arifWaache wafanye jogging, jioni nakaa zangu pale kwa Sunda barabara ya kuelekea Ngaramtoni ya juu kuna wadada na mijimama inafanya mazoezi ya kuonesha chupppi zao na kutingisha mitako yao ,tunasuuza macho
Au akamwangalie KipchogeHahahahahah angalia sura ya Ronaldo ya mwaka 2007 kisha lete majibu leo anafananaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kumbe ndo manake askari wengi wamekomaa sura!!!!!!!!!!!!!!!Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani. Unaweza kukuta mmoja mmoja au kikundi.
Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.
Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.
Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.
Wengi wa joggeres waliokubuhu wanasura za Kichovu, kizee na zisizo na nuru. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.
Haijengi afya, inaua afya.
Ni hayo tu.
Ushauri:
The safiest exercise in the world is Walking.
According to how an Idiot level of understanding thingsNonesense
Si unamuona kipchonge alivyozeekaAu akamwangalie Kipchoge