Wanaofanya mazoezi ya mbio (jogging) hayana faida kiafya, ni matokeo ya matangazo ya biashara ya Nike

Wanaofanya mazoezi ya mbio (jogging) hayana faida kiafya, ni matokeo ya matangazo ya biashara ya Nike

Kuna mwanangu yuko BOA ameanza huo mchezo sasa ana mwaka wa 3 ila sura yake ukiifananisha na umri wake kimsingi mwana hana tofauti na mstaafu. Kipindi tunamaliza chuo alikuwa kijana mtanashati sana na kitambi cha kufutia simu kilikuwepo.

I do think he is overdoing it, maana unakimbia kilometre 15 kwa siku thats too much. Mi nafanya lifting kwa kiasi chake na kutembea tembea ndio sana. Thats enough for me as long as natoka jasho.
Wengi wamefanya kama sifa.
Kuna jamaa wanashindana eti leo nimekimbia km 40.

Mtu mwembamba huna shida yoyote unakimbia km 40 ili iweje.

Kuna kadada hadi sura umekuwa kama mbibi. Wakati alikuwa beautiful lady. Hajui kwa nini anafanya hayo.
 
Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani.
Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.

Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.

Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.

Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.

Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.

Haijengi afya, inaua afya.

Ni hayo tu.
Kweli, na za brand nyingine. Ila wa kwetu wanakimbia kazi za nje, za kufyeka, kulima bustani, gardening, kufagia na usafi wa nje kwa ujumla...
 
Nikifanyaga jogging napata matokeo chanya ya moja kwa moja. Hata shemeji yenu akiona performance imeanza kupungua hunihimiza nirudi kwenye jogging.
mazoezi nayaheshimu sana performance ilkuwa ovyo ila toka nianze squats pushaps na mengine mepes mepesi dah yaani napiga mashine mpaka najishangaa afu sichoki

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Mwili unahitaji mazoezi kidogo na kula chakula kistaarabu kwa kiwango,kuepuka alaji wa vyakula vya mafuta na wanga na unywaji wa vinywaji vya sukari kama soda,kuepuka kula vyakula ambavyo mmeng'e nyo wake unachelewa mfano nyama na kujikita kula mboga za majani na matunda.
NB
USIPOKULA CHAKULA KAMA DAWA UTAKULA DAWA KAMA CHAKULA.
 
Hata kuna doctor mmoja kule USA alisema breakfast ni scam iliwekwa na wauza soseji na madaktari lakini anasema kiafya hakuna madhara yoyote ku skip breakfast wazungu wanajua waafrika mazuzu wanaiga kila kitu.
Inawezekana breakfast ikawa scam kweli kwa sababu unalala tu unaamka na kuanza kula!
 
Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani. Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.

Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.

Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.

Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.

Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.

Haijengi afya, inaua afya.

Ni hayo tu.
Kabisa prof janabi alisema kobe hafanyi mazoezi kabisa anaishi miaka miasaba, jogging zinaleta magonjwa nyemelezi
 
kama kuvaa hereni kwa wanaume,wazungu walifanya hivyo kujulisha nani shoga unaetafuta shoga usipate tabu, tanzania sisi tumeiga tumeona kujiremba mzungu akija akiona mwanaume ana hereni anahamu nae mwafrica unakunja ngumi
 
Kuna mwanangu yuko BOA ameanza huo mchezo sasa ana mwaka wa 3 ila sura yake ukiifananisha na umri wake kimsingi mwana hana tofauti na mstaafu. Kipindi tunamaliza chuo alikuwa kijana mtanashati sana na kitambi cha kufutia simu kilikuwepo.

I do think he is overdoing it, maana unakimbia kilometre 15 kwa siku thats too much. Mi nafanya lifting kwa kiasi chake na kutembea tembea ndio sana. Thats enough for me as long as natoka jasho.
Huyo mzungu yupo sahihi, tatizo watu wanapenda kufanya mambo kwa kufuata mkumbo na kudhani ni fasheni. Kiasili mwili wa binadamu ni kwa ajili ya ku-sprint ma siyo Ku-jogg. Zoezi zuri ninla kutembea na ku-sprint mara moja moja.
 
Una akili za hovyo Sana za kushikiwa kwahio mzungu kusema NIKE ndio walianza kampeni ya Jogging ili wauze viatu kwahio Jogging inakuwa sio mazoezi tena na hayana faida kwenye mwili just because yalikuwa influenced na NIKE Hilo wauze viatu what kind of thinking is this??

Hii inamaana ikitokea mfano Bank Kama NMB ikaanzosha kampeni ya kuweka akiba ya kukufaa uzeeeni au baadae na kampeni ikashika moto watu wakawa wanaweka akiba So kwako hio akiba inakua haina faida Just because NMB walianzisha kampeni tu wapate faida kibaishara

Kuna mitano zaidi ya 100 naweza kuweka hapa Cha muhimu chakata ubongo wako kabla ya kuuitimisha jambo pia Mzungu anakufanya zwazwa Kama hivyo na wewe unakubali

JOGGING
Ni aina ya mazoezi yaliyo na faida kibao
1/Kuchoma mafuta
2/Kuimarisha misuri
3/Kuimarisha mfumo wa hewa
4/Kuimarisha mzunguuko wa damu
5/Body Speed and flexibility
6/Muscles Endurance
7/NK (I can list to 100 here)
You have been brainwashed to believe so, nenda kasome tena.
 
Back
Top Bottom