Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
mfano:kunyanyua vyuma vizitoNdo aina hiyo ya mazoezi yanayoua kama ulivyosema, kwa kifupi ume-underline.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mfano:kunyanyua vyuma vizitoNdo aina hiyo ya mazoezi yanayoua kama ulivyosema, kwa kifupi ume-underline.
😂😂 viewers mnakumbushwa kukimbia.Mimi nna swali moja tu...
UKIENDA KUFANYA JOGGING NI LAZIMA UPIGE PICHA NA KUTUMA STATUS/INSTA?
Ni kweli mkuu na hyo sio changamoto yangu bali 90% of Tanzania population are suffering from it.Huna uhakika wa msosi mkuu acha kuzunguka sana
Jamaa hajui kwamba kuna wazungu hawana akili kama wabongo tuuKwa hiyo akili zako zinakubaliana na huyo mzungu
Wazungu wanavyosapoti ushoga, wewe unakubaliana nao??
Yaani mtu apate madhara kisa anafanya jogging??
Ficha ujinga wako
Kuna wale waliingizwa mkenge kwenye mayai ya kware. List ni ndefuNi sawa na watumiaji wa mafuta ya wanyama na wale wa mafuta ya mbegu.
Ukifuatilia narratives unaona kuna ukweli mdogo sana kwa vita inayopigwa dhidi ya mafuta ya wanyama.
Ni vita ya kibiashara tu
Unajua mkia wa kondoo au huwa unausikia tu ?Jitahidi upate supu ya mkia wa kondoo isiyotiwa chumvi wala ndimu kwa wiki mara tatu. Itakusaidia.
Yan huwaga unanishngaza unajiandaa na full morale na kila kitu halafu mwisho wa siku unaghaili Shida ni nini lakini, sema kuna wazo nimegundua litakufaa nitakupa, hayo mafuta yataisha ila kwa nidham.Mwalimu ukienda kukimbia this wkend usiniache
Na mm nikate mafuta ya tumboni 😃 Certified Hater
Watu wako strategic sana na biashara zao.Kuna wale waliingizwa mkenge kwenye mayai ya kware. List ni ndefu
Ukikasikiliza haka kababu hata huduma ile kwa shemeji utasubiri kakuchoree magraph.
Ninaujua.Unajua mkia wa kondoo au huwa unausikia tu ?
Utaweza kula supu yake?Ninaujua.
Uvivu tu, hamna kingine.Yan huwaga unanishngaza unajiandaa na full morale na kila kitu halafu mwisho wa siku unaghaili Shida ni nini lakini, sema kuna wazo nimegundua litakufaa nitakupa, hayo mafuta yataisha ila kwa nidham.
Lengo lako tujue umekutana na MZUNGU online leo.Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani.
Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.
Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.
Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.
Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.
Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.
Haijengi afya, inaua afya.
Ni hayo tu.
Hahahhah sifa😂😂 viewers mnakumbushwa kukimbia.
Sichukui mtu wa hivi baki na mafuta yako.. Yani unatoka jogging unakuja kupumzikia kwenye Chips na peps daily.. Kama trainer na hela yako Narudisha sitaki dharauUvivu tu, hamna kingine.
Ndo ujitahidi unibebe na ilo wazo tafadhali lisihusishe kuacha kula chips 🤣🤣
Usinifanyie hivyo mwalimu 😆😋😘Sichukui mtu wa hivi baki na mafuta yako.. Yani unatoka jogging unakuja kupumzikia kwenye Chips na peps daily.. Kama trainer na hela yako Narudisha sitaki dharau