Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 2,212
- 4,808
Una akili za hovyo Sana za kushikiwa kwahio mzungu kusema NIKE ndio walianza kampeni ya Jogging ili wauze viatu kwahio Jogging inakuwa sio mazoezi tena na hayana faida kwenye mwili just because yalikuwa influenced na NIKE Hilo wauze viatu what kind of thinking is this??
Hii inamaana ikitokea mfano Bank Kama NMB ikaanzosha kampeni ya kuweka akiba ya kukufaa uzeeeni au baadae na kampeni ikashika moto watu wakawa wanaweka akiba So kwako hio akiba inakua haina faida Just because NMB walianzisha kampeni tu wapate faida kibaishara
Kuna mitano zaidi ya 100 naweza kuweka hapa Cha muhimu chakata ubongo wako kabla ya kuuitimisha jambo pia Mzungu anakufanya zwazwa Kama hivyo na wewe unakubali
JOGGING
Ni aina ya mazoezi yaliyo na faida kibao
1/Kuchoma mafuta
2/Kuimarisha misuri
3/Kuimarisha mfumo wa hewa
4/Kuimarisha mzunguuko wa damu
5/Body Speed and flexibility
6/Muscles Endurance
7/NK (I can list to 100 here)
Hii inamaana ikitokea mfano Bank Kama NMB ikaanzosha kampeni ya kuweka akiba ya kukufaa uzeeeni au baadae na kampeni ikashika moto watu wakawa wanaweka akiba So kwako hio akiba inakua haina faida Just because NMB walianzisha kampeni tu wapate faida kibaishara
Kuna mitano zaidi ya 100 naweza kuweka hapa Cha muhimu chakata ubongo wako kabla ya kuuitimisha jambo pia Mzungu anakufanya zwazwa Kama hivyo na wewe unakubali
JOGGING
Ni aina ya mazoezi yaliyo na faida kibao
1/Kuchoma mafuta
2/Kuimarisha misuri
3/Kuimarisha mfumo wa hewa
4/Kuimarisha mzunguuko wa damu
5/Body Speed and flexibility
6/Muscles Endurance
7/NK (I can list to 100 here)