The Hot Crystapen
Member
- Apr 26, 2019
- 47
- 80
Mitano tenaWATU wanaofanyakazi ya kupamba kumbi za starehe, kusherehesha (Ma-MC), wapishi wa sherehe na wapiga picha, watatakiwa kulipa ada na ushuru.
Ni baada ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema jijini Mwanza, kupitisha sheria ndogo za ada na ushuri ambazo tayari zimepata baraka za Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi).
Barua iliyosainiwa na Emmanuel Kaponoke, Afisa Utamaduni wa halmashauri hiyo ya tarehe 15 Januari 2021 kwenda kwa walengwa, inabainisha ada hizo.
Washereheshaji (MC) watapaswa kulipa Sh.50,000 kwa sherehe moja huku wapambaji kumbi za burudani/sherehe watalipa Sh.30,000.
Wamiliki wa kumbi, unaochukua watu kati ya 100-200 ni Sh.50,000 kwa siku, ukumbi unaochukua watu kati ya 201-500 atalipa Sh.100,000.
Wapishi wa vyakula kwa siku moja ya tukio atapaswa kulipa Sh.30,000 na wapiga picha za video na mnato watapaswa kulipa Sh.30,000 huku muziki ikiwa ni Sh.30,000
“Kamwe, mmiliki wa ukumbi asiruhusu sherehe kufanyika ndani ya ukumbi wake bila kibali cha halmashauri,” inaeleza sehemu ya barua hiyo
“Ikumbukwe, ada hii ni kwa ajili ya kubali cha halmashauri tu na si gharama ya kukodi ukumbi.”
Ngoja ni ufunge wangu mdomo, wazazi wangu wananipenda mno🤐🤐🤐🤐WATU wanaofanyakazi ya kupamba kumbi za starehe, kusherehesha (Ma-MC), wapishi wa sherehe na wapiga picha, watatakiwa kulipa ada na ushuru.
Ni baada ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema jijini Mwanza, kupitisha sheria ndogo za ada na ushuri ambazo tayari zimepata baraka za Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi).
Barua iliyosainiwa na Emmanuel Kaponoke, Afisa Utamaduni wa halmashauri hiyo ya tarehe 15 Januari 2021 kwenda kwa walengwa, inabainisha ada hizo.
Washereheshaji (MC) watapaswa kulipa Sh.50,000 kwa sherehe moja huku wapambaji kumbi za burudani/sherehe watalipa Sh.30,000.
Wamiliki wa kumbi, unaochukua watu kati ya 100-200 ni Sh.50,000 kwa siku, ukumbi unaochukua watu kati ya 201-500 atalipa Sh.100,000.
Wapishi wa vyakula kwa siku moja ya tukio atapaswa kulipa Sh.30,000 na wapiga picha za video na mnato watapaswa kulipa Sh.30,000 huku muziki ikiwa ni Sh.30,000
“Kamwe, mmiliki wa ukumbi asiruhusu sherehe kufanyika ndani ya ukumbi wake bila kibali cha halmashauri,” inaeleza sehemu ya barua hiyo
“Ikumbukwe, ada hii ni kwa ajili ya kubali cha halmashauri tu na si gharama ya kukodi ukumbi.”
Anapika bure maa na yake Nini?Na itakuwaje kama ma-MC wanajitolea bure?
Au wapishi wanapika bure?
Hapa ukienda mahakamani unawashinda kirahisi hawa maboya.
La sivyo kila anayepika au kufanya kazi ya u-MC awe analipwa(aingize kipato).
Mwisho,Nina wasiwasi na elimu za viongozi watu hasa madiwani.
Ahahahah na walibeba mabango ya mitano tenaHuko Sengerema si ndio Usukumani walikopigia CCM kura nyingi? Acha wawakamue hadi watoke kinyesi.
Watachuka na hii, hebu acha kuongeza ushauri maana watachukua kama ilivyoWaongezee na hii....
-kila chombo Cha usafiri kitakayoshiriki Kwenye msafara wa maharusi
- gari = 50,000
-bajaji= 30,000
-pikipiki= 20,000
-baskeli= 10,000
Kodi kwa maendeleoDu!! hatariii hata wapika ubwabwa
Yaani bila kodi hakuna maendeleoUna reference ya unayoongea,au unatumia intuition?
Kwa hiyo hata wakianzisha kodi ya ndoa utakubali?Vibaraka wa kijani mna simple minds sana.Yaani bila kodi hakuna maendeleo
Mkuu kodi ipo kwa mtu anaepata kipatoKwa hiyo hata wakianzisha kodi ya ndoa utakubali?Vibaraka wa kijani mna simple minds sana.
Mkuu mimi napiga kazi ya kilimo cha mboga mboga na mahindi ya kuchomaAcha kuongea pumba wewe..au umekaa kwa shemeji ndio unaongea pumba hivyo.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wanyonge wanaendelea kuliwa tunda kimasihara!CCM haina tofauti na Nguruwe!
Umekaririshwa sana.Mianya gani iliyozibwa wakati wakubwa zenu wanapiga madili tu?Kwa elimu yako unadhani watu wakilipishwa kodi hovyohovyo wataendelea na hizo biashara au miradi wanayofanya.Mkuu kodi ipo kwa mtu anaepata kipato
Kwani kwenye ndoa kuna kipato??
Tumia akili basi wewe mpiga dili
Yaani lazima waumie tu maana mianya ya wapiga dili imeziba imeziba kabisa
Wala hulimi mbogamboga,kazi yako ni kulamba miguu watawala,hata Kama wanakosea.Mkuu mimi napiga kazi ya kilimo cha mboga mboga na mahindi ya kuchoma
Nalipa kodi zote
Sina shida na serikali kabisa
Kama wewe ni mpiga dili lazima muumie maana sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
Mkuu karibu RuvuWala hulimi mbogamboga,kazi yako ni kulamba miguu watawala,hata Kama wanakosea.
Mkuu mwezi Dec tulikusanya kodi ya sh trillion mbiliUmekaririshwa sana.Mianya gani iliyozibwa wakati wakubwa zenu wanapiga madili tu?Kwa elimu yako unadhani watu wakilipishwa kodi hovyohovyo wataendelea na hizo biashara au miradi wanayofanya.
Obvious wataacha,then what follows:
Wao pamoja na serikali watapungukiwa mapato,mwisho wake ni mdororo wa kiuchumi.Sema mnaongea ili mpate vyeo au ili mlinde vyeo vyenu.
Lakini I'm sure kabla ya 2023 kila kitu kitakuwa sawa.Vipofu wataona na wajinga wataelewa.
Matangazo ya mtaani kupitia maspika makubwa itabidi walipie kodi piaTukikusanya kias kisitosheleze basi.
Vi carry (kirikuu) vya kubeba vyombo vya muziki wajiandae 30000
Wabeba mapambo pikipiki ya miguu mitatu 20000
Wabeba camera za picha za mnato na jongefu (bodaboda)5000.
Mpk makasi tawatoke miaka hii.