Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Wakuu habarini!
Leo mchana nilikuwa Kariakoo, sasa kilichonishtua ni kuona mitaa mingi imefungwa watu wanaabudu barabarani.
Mbaya zaidi hakuna ishara yeyote utaiona kwamba mtaa husiku umefungwa, mtu unatembea mpaka katikati ya mtaa then unakuta kamba, ukizunguka mtaa mwingine unakuta watu wako mbio mbio na mikeka yao.
Nilivyojaribu kudadisi kinachondelea nikaambiwa ni kawaida, tena siyo K.koo tu ni mpaka Posta!
Ninachojiuliza hawa jamaa kinachowashinda kujenga nyumba za ibada zenye nafasi ni kitu gani!? Hili la kukatisha shughuli za wengine kisa imani yako sidhani kama ni ustaarabu!
Leo mchana nilikuwa Kariakoo, sasa kilichonishtua ni kuona mitaa mingi imefungwa watu wanaabudu barabarani.
Mbaya zaidi hakuna ishara yeyote utaiona kwamba mtaa husiku umefungwa, mtu unatembea mpaka katikati ya mtaa then unakuta kamba, ukizunguka mtaa mwingine unakuta watu wako mbio mbio na mikeka yao.
Nilivyojaribu kudadisi kinachondelea nikaambiwa ni kawaida, tena siyo K.koo tu ni mpaka Posta!
Ninachojiuliza hawa jamaa kinachowashinda kujenga nyumba za ibada zenye nafasi ni kitu gani!? Hili la kukatisha shughuli za wengine kisa imani yako sidhani kama ni ustaarabu!