Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muda wa swala haukusubiri Wewe , swala ina wakati wake na kuswali pamoja ni jambo lenye baraka kubwa kuliko kujitenga kama nyama za mishikakiHaiwezi kuwa kawaida, ni kukosa ustaarabu...kama msikiti umejaa rudi nyumbani! Huu ujinga huwezi kuukuta London wala NewYork!
sawa muhudumu mimi siwezi kubishaNdio
Naam😂😂 Ila ww jamaa
ni suala la sserikali za mitaa kuweka utaratibu ili kupunguza maafa, kuwe na ishara kuwa njia hii imefungwa kwa muda wakimaliza magari na watu waendelee kupitaSema itatokea siku yatotokea majanga maana mda mwngn yanasababisha foleni maana Kuna mda magari yanatokea huku bara bara ya mataa ya big bon...yanakuja kutokea msikiti wa Idrisa (tandamti) yanapandisha kupitia msikiti wa Madina sasa kukipigwa pin pale panakua na foleni sana
Hii ni serikali yao, hata wakikutemea mate wewe shukuru tu uondokeWakuu habarini!
Leo mchana nilikuwa kariakoo, sasa kilichonishtua ni kuona mitaa mingi imefungwa watu wanaabudu barabarani...
QURAN 40:40Nani kakwambia qur an ilishuka? Muhammad anasema qur an ni daftari lake, unajua kazi ya daftari? Mwisho kabisa allah alikuwa mwehu sana aisee daah.
Haya mambo yapo miaka yote labda kama ni mgeni Dar es salaam, hakuna Rais anaweza tumia nguvu zake kwenye mambo ya kiimani kama hakuna hatari kubwa kwao, ndio maana wakati wa JPM watu waliuana kugombania mafuta ya Mwamposa na bado Mwamposa akaachwa maana hakuna haja kuhoji jambo la kiimani kama halina madhara kwenye usalama wa nchiHii ni serikali yao, hata wakikutemea mate wewe shukuru tu uondoke
Nilidhan ww mwenyeji DSM. Hio mbona kawaida sana kkoo, na wakazi wengi mitaa hio ni waislamWakuu habarini!
Leo mchana nilikuwa kariakoo, sasa kilichonishtua ni kuona mitaa mingi imefungwa watu wanaabudu barabarani...
sasa kupasuliwa waarabu na hiki tunachojadili kuna uhusiano gani?Mbona wazungu na waizirael wanapasua waarabu kama mayai huko..acheni kutuchimba mkwara.
chaiWakuu habarini!
Leo mchana nilikuwa kariakoo, sasa kilichonishtua ni kuona mitaa mingi imefungwa watu wanaabudu barabarani.
Mbaya zaidi hakuna ishara yeyote utaiona kwmba mtaa husiku umefungwa, mtu unatembea mpaka katikati ya mtaa then unakuta kamba, ukizinguka mtaa mwingine unakuta watu wako mbio mbio na mikeka yao.
Nilivyojaribu kudadisi kinachiendea nikaambiwa ni kawaida, tena siyo kkoo tu ni mpaka Posta!
Ninachojiuliza hawa jamaa kinachowashinda kujenga nyumba za ibada zenye nafasi ni kitu gani!? Hili la kukatisha shughuli za wengine kisa imani yako sidhani kama ni ustaarabu!
Chai ndio ninichai
Wewe unajua?Chai ndio nini
Rudi ujibu kibabe au hujui maana ya Juhudi aka Jihad