Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavuta bange?Wewe ni MNYONGE
Utupishe
Huwa nafarijika nikikutana na muumini ambaye hatumii mihemko ya dini kuhoji mambo fulani. Ubarikiwe.Mimi ni muislamu ila ninashawishika kureasoning na wewe. Hoja yako ina mashiko sana!
1. Tujitahidi kuongeza majengo ya kuabudia katika maeneo ya posta na kariakoo.
2. Kwa kuwa maeneo hayo yanajaa sana watu wajaribu kwenda mbali zaidi kama bakwata kinondoni na maeneo mengine ya karibu na kkoo na posta, tena kwenda mbali zaidi kuabudu ni thawabu zaidi.
3. Waumini wajitahidi kuwahi ili kuepuka kuswali nje.
Mwisho bandiko lako lina mashiko ila title yako ni kama unatukebehi flani hivi... uliposema hawa wa dini ya haki ina maana wapo juu ya sheria? Hapo ndipo unapoattract matusi na majibu ya jazba kwa wasio kuwa wavumilivu. Ungeweza kuiweka vizuri na ukaeleweka vizuri sana.
Mkuu, umeandika ujinga. Mnatukuza violence wenyewe badae vijana wenu wakianza kujilipua mnamlaumu Mmarekani.Tatizo tunauweza ubabe halafu nyinyi ni mafisi
Maana mkileta za kuleta hata sisi kumi tu tuliamsha
Sababu mnaonekana jinsi mnavyoyanyaswa na polisi watano wanazima maandamano yenu
Sisi tunaletewa battalion nzima na bado tunaacha majivu
Hii ipo nchi nzima. Nafikiri ushauri unaoweza kumpa ni awe mvumilivu tu maana hawaswali siku nzima.MKuu kama Dar pamekushinda kwanini usirudi nyumbani?
You're being islamophobic brother, Huwezi kulinganisha london na Tanzania kwasababu percentage ya waislamu uingeleza ni ndogo mno sio kama Tanzania, hata huko uingeleza kuna shughuli za kidini zinazopelekea pia barabara kufungwa. We must learn to peacefully co-exist with each others huwezi kusema kero kwa kitu cha dakika kadhaa tu Mbona watu hupishwa kufanya maandamano, barabara hufungwa kwaajili ya misafara ya viongozi, mikutano na mihadhara mingine hata nyie Christians pia huwa naonaga sana wahubiri wanasimama njiani kutanganza dini na watu wanajaa tunakosa pa kupita ila hakuna anayecomplain kwasababu hii ni nchi yetu soteHaiwezi kuwa kawaida, ni kukosa ustaarabu...kama msikiti umejaa rudi nyumbani! Huu ujinga huwezi kuukuta London wala NewYork!
Nyie ndio wale ambao hamjawahi kutoka nje ya jiji. Mpo kwenye comfort zone. Ungekua umetembea usingetoa comment kama hii maana huu utaratibu upo karibu nchi nzima.Wanaolalamika humu wengi wao ni wakuja wameanza kuyaona leo haya
Hii ipo nchi nzima. Nafikiri ushauri unaoweza kumpa ni awe mvumilivu tu maana hawaswali siku nzima.
Walewale, huu utaratibu upo karibu nchi nzima.Wabaolalamika hiyo Dar ni wakuja, rudini makwenu, muislamu mahali popote palipo pasafi anaweza kusali na imekua hivyo kwa dar na miji mingine hasa kwa sala zinazohusisha watu wengi, huo ni utamaduni ukishindwa hama wewe waache watu na mambo yao
We umeelewa comment yangu kweli au umekimbilia kucomment tu?Nyie ndio wale ambao hamjawahi kutoka nje ya jiji. Mpo kwenye comfort zone. Ungekua umetembea usingetoa comment kama hii maana huu utaratibu upo karibu nchi nzima.
Ndio maana sometimes tunawatukana mbovu mambulula kama nyinyi, na hii inaonyesha wazi wazi wewe ni mporipori na huna exposure na unaendeshwa na ulukole maviHaiwezi kuwa kawaida, ni kukosa ustaarabu...kama msikiti umejaa rudi nyumbani! Huu ujinga huwezi kuukuta London wala NewYork!
Yule naye sala yake badala ya thawabu amepata dhambi ... Haitakiwi vile kwa alikuwa na uwezo wa kusali akiwa amekaa kwenye kiti chake .. miongozo ipo wazi kabisaKuna mmoja kwenye ndege kaanza kusali kwenye corridor hapo hapo. Abiria wacha wapanick wakajua ndo anataka kulipua pipa huko huko angani
Wajenge nyumba za kuabudia za maghorofawatu wengi wa posta na kkoo hawaishi maeneo hayo, kwahiyo hata ujenge jengo gani huwezi kujua idadi kamili ya waumini, kumbuka hayo maeneo yana wafanyabiashara na wateja, kwahiyo kwa ijumaa tuvumiliane tu hakuna jinsi ila siku za kawaida huwezi kukuta hilo jambo
Ndio mfunge barabara?Wabaolalamika hiyo Dar ni wakuja, rudini makwenu, muislamu mahali popote palipo pasafi anaweza kusali na imekua hivyo kwa dar na miji mingine hasa kwa sala zinazohusisha watu wengi, huo ni utamaduni ukishindwa hama wewe waache watu na mambo yao
Ndio tunafunga tuNdio mfunge barabara?