KERO Wanaofunga barabara ili kuabudu wako juu ya sheria?

KERO Wanaofunga barabara ili kuabudu wako juu ya sheria?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kuna mmoja kwenye ndege kaanza kusali kwenye corridor hapo hapo. Abiria wacha wapanick wakajua ndo anataka kulipua pipa huko huko angani
Hawa jamaa sijui vipi,siku kazini jamaa kaacha kitengo chake yuko chooni kabinuka.
Nikamshtua oyaah wateja wanasubiri huko.
"Kashtuka"sawa boss nakuja
nikamwambia ndo utoe hivyo virago vyako twende.
maana alikua kabongöa jasho linamtoka viatu kavua.
Kuuliza naambiwa ndo hivyohivyo daily anapotea nusu saa anarudi.
 
Hawa jamaa sijui vipi,siku kazini jamaa kaacha kitengo chake yuko chooni kabinuka.
Nikamshtua oyaah wateja wanasubiri huko.
"Kashtuka"sawa boss nakuja
nikamwambia ndo utoe hivyo virago vyako twende.
maana alikua kabongöa jasho linamtoka viatu kavua.
Kuuliza naambiwa ndo hivyohivyo daily anapotea nusu saa anarudi.
KWa hiyo mkuu kwa kuwa wewe ni boss wake na unachukia imani yake ukaamua umkurupue?? Na kabisa unajiona una busara ya kuwa boss?? Basi mwambie abadilishe dini ili aendelee kuwa chini yako na kukusikiliza.

WAkati anaswali hukuweza kumhandle huyo mteja au ndio wale maboss tuma tuma? Eyes on Hands off?
 
KWa hiyo mkuu kwa kuwa wewe ni boss wake na unachukia imani yake ukaamua umkurupue?? Na kabisa unajiona una busara ya kuwa boss?? Basi mwambie abadilishe dini ili aendelee kuwa chini yako na kukusikiliza.

WAkati anaswali hukuweza kumhandle huyo mteja au ndio wale maboss tuma tuma? Eyes on Hands off?
Hallo kila mtu na kitengo chake.
Ntamudumia vipi huyo mteja wakati yeye huko anaswali na ndio ana maelezo yote.
Mwenyewe nilikua busy mda huo ntaanza vipi kufanya kazi yake?
 
Wakuu habarini!

Leo mchana nilikuwa Kariakoo, sasa kilichonishtua ni kuona mitaa mingi imefungwa watu wanaabudu barabarani.

Mbaya zaidi hakuna ishara yeyote utaiona kwamba mtaa husiku umefungwa, mtu unatembea mpaka katikati ya mtaa then unakuta kamba, ukizunguka mtaa mwingine unakuta watu wako mbio mbio na mikeka yao.

Nilivyojaribu kudadisi kinachondelea nikaambiwa ni kawaida, tena siyo K.koo tu ni mpaka Posta!

Ninachojiuliza hawa jamaa kinachowashinda kujenga nyumba za ibada zenye nafasi ni kitu gani!? Hili la kukatisha shughuli za wengine kisa imani yako sidhani kama ni ustaarabu!
It's a matter of Tolerance, hawasali siku nzima.
 
Wakuu habarini!

Leo mchana nilikuwa Kariakoo, sasa kilichonishtua ni kuona mitaa mingi imefungwa watu wanaabudu barabarani.

Mbaya zaidi hakuna ishara yeyote utaiona kwamba mtaa husiku umefungwa, mtu unatembea mpaka katikati ya mtaa then unakuta kamba, ukizunguka mtaa mwingine unakuta watu wako mbio mbio na mikeka yao.

Nilivyojaribu kudadisi kinachondelea nikaambiwa ni kawaida, tena siyo K.koo tu ni mpaka Posta!

Ninachojiuliza hawa jamaa kinachowashinda kujenga nyumba za ibada zenye nafasi ni kitu gani!? Hili la kukatisha shughuli za wengine kisa imani yako sidhani kama ni ustaarabu!
Ni uhuni tu
 
Haiwezi kuwa kawaida, ni kukosa ustaarabu...kama msikiti umejaa rudi nyumbani! Huu ujinga huwezi kuukuta London wala NewYork!
....hatuna standard, kama machinga wanavyobana njia au kuifunga kabisa kwa kutandaza bidhaa zao njiani.
 
Sema itatokea siku yatotokea majanga maana mda mwngn yanasababisha foleni maana Kuna mda magari yanatokea huku bara bara ya mataa ya big bon.

Yanakuja kutokea msikiti wa Idrisa (tandamti) yanapandisha kupitia msikiti wa Madina sasa kukipigwa pin pale panakua na foleni sana
Majanga gani yatatokea? Huo utaratibu haujaanza jana wala leo upo miaka na miaka na hakuna majanga yeyote anayotokea na ndo maana serikali ipo kimya ni utaratibu ambao umezoeleka. Acheni watu waabudu. Kama mtu anakereka asipite ilo eneo atafute njia nyingine njia ziko nyingi!
 
Haiwezi kuwa kawaida, ni kukosa ustaarabu...kama msikiti umejaa rudi nyumbani! Huu ujinga huwezi kuukuta London wala NewYork!
Umeshasema London hapa sio London. Kwavile London hakuna na hapa isiwepo? Au kwavile London ipo na hapa iwepo? Kama ndo ivyo London wanatetea ushoga na mashoga wana haki zao, kwahiyo na Tanzania pia tuwape nafasi mashoga? Hii ni Tanzania na kila nchi ina taratibu zake na mazoea yake, unakereka usipite hiyo njia au hamia London!
 
Haya mambo yapo miaka yote labda kama ni mgeni Dar es salaam, hakuna Rais anaweza tumia nguvu zake kwenye mambo ya kiimani kama hakuna hatari kubwa kwao, ndio maana wakati wa JPM watu waliuana kugombania mafuta ya Mwamposa na bado Mwamposa akaachwa maana hakuna haja kuhoji jambo la kiimani kama halina madhara kwenye usalama wa nchi
Wanaolalamika humu wengi wao ni wakuja wameanza kuyaona leo haya
 
Hakuna haja ya kuwalaumu waumini,hapo wa kulaumiwa ni watu wa Mipango Miji,hivi nyie mnaosafiri kwenda Dubai kwani wanafunga mitaa kama Kariakoo!? Cha msigi hapa sio lawama bali ni kupata suluhisho
 
Wakuu habarini!

Leo mchana nilikuwa Kariakoo, sasa kilichonishtua ni kuona mitaa mingi imefungwa watu wanaabudu barabarani.

Mbaya zaidi hakuna ishara yeyote utaiona kwamba mtaa husiku umefungwa, mtu unatembea mpaka katikati ya mtaa then unakuta kamba, ukizunguka mtaa mwingine unakuta watu wako mbio mbio na mikeka yao.

Nilivyojaribu kudadisi kinachondelea nikaambiwa ni kawaida, tena siyo K.koo tu ni mpaka Posta!

Ninachojiuliza hawa jamaa kinachowashinda kujenga nyumba za ibada zenye nafasi ni kitu gani!? Hili la kukatisha shughuli za wengine kisa imani yako sidhani kama ni ustaarabu!
Serikali iingie kwa miguu miwili kabisa hii itaenda mbali kama wasipo ingilia
 
Back
Top Bottom