yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
hahahahahahahahahahahahahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hayo Maendeleo yako wapi? Ajira zinapotea, mabenki yanashindwa kufanya kazi, elimu ndiyo hiyo imekuwa bora elimu, maisha yamekuwa ya hovyo kuliko wakati mwingine wowote. Sasa mnaongelea nchi gani? Na kwa nini chaguzi mnatumia mbinu chafu kama mnakubalika?dalili ya mvua ni mawingu na dalili ya upinzan kuptea yani chadema wameisha kufungasha vilivyo vya kwao na warudi walipo, watanzania wanataka maendeleo na siyo kamati za harusi na send off
Wimbi la wabunge wa Chadema kuhamia CCM, linaendelea.Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Mwikwabe Waitara, atangaza kuniuzulu CHADEMA na kuhamia CCM. Kajiuzulu nyadhifa zake zote ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Pashal na uwe muwazi pia kwa kusema hivi...'Wengi wa wabunge wa UPINZANI wanakimbia vyama vyao kutafuta huruma ya CCM ama kuelekea 2020 au kujitengenezea mazingira ya teuzi baada 2020....na hii yote inatokea baada ya asilimia kubwa ya upinzani kuona kabsa JPM hatanii juu ya maendeleo ya nchii.....na ukweli mwingne ni kwamba CCM UNDER JPM inapendwa kupita vipindi vyoteWimbi la wabunge wa Chadema kuhamia CCM, linaendelea.
Naendelea kusisitiza, wanaona mbali
P.
Kiona mbali wee PascoWimbi la wabunge wa Chadema kuhamia CCM, linaendelea.
Naendelea kusisitiza, wanaona mbali
P.
Mheshimiwa kiongozi wa maisha wa jamhuri ya watu wa Chadema mheshimiwa Kim Jong Un Mbowe MugabeMugabe Tulisha kuwa nae bongo
simwingine naye ni Mbowe
Usituvuruge
Lazima wakimbilie Huko ili waendeleze kupata hela kwani hakuna shuguli wanayoweza kuifanya zaidi ya Hiyo kupiga domo longolongo nyingi tu wanasiasa ndomana wanasiasa wakirudi uraiani huwa wana data,kwa style Hyo lazima waendekeze njaaaWimbi la wabunge wa Chadema kuhamia CCM, linaendelea.
Naendelea kusisitiza, wahamaji hawa wasibezwe, wanaona mbali!.
P.
Nimeipenda sana hiyo Hiiiiiiiiiiii hapo chini hahahahahahaKiona mbali wee Pasco
Yaan mkuu watu wanavyolia njaa huku mtaani bado unasema ccm inapendwaPashal na uwe muwazi pia kwa kusema hivi...'Wengi wa wabunge wa UPINZANI wanakimbia vyama vyao kutafuta huruma ya CCM ama kuelekea 2020 au kujitengenezea mazingira ya teuzi baada 2020....na hii yote inatokea baada ya asilimia kubwa ya upinzani kuona kabsa JPM hatanii juu ya maendeleo ya nchii.....na ukweli mwingne ni kwamba CCM UNDER JPM inapendwa kupita vipindi vyote