Wanaoishi karibu na bahari kuchukua tahadhari kutokana na uwezekano wa kutokea Tsunami katika Bahari ya Hindi leo jioni

Wanaoishi karibu na bahari kuchukua tahadhari kutokana na uwezekano wa kutokea Tsunami katika Bahari ya Hindi leo jioni

Kama umeelewa hili tangazo nisaidie, wanamaanisha itatoke lini? Maana sio muda unaotarajiwa hili suala kutokea
Hivi huko TMA mna uhakika kuna Mageologisti wazoefu au kuna wanafunzi wa Fied wanjifunza kufanya kazi..
Maana Imekuwa kama Ofisi ya Ramli ya Taifa Sasa!
Zamani tuliiamni sana ila kwa sasa naona imekuwa Too much..
Walivyoona Elnino haitakuwepo tena sasa wameona ni bora waje na Utabiri mwingi ilimradi tu tusiishi kwa Raha tuishi kwa Mashaka mashaka ndo furaha yao..
Sasa leo wanasema kuna Tsunami Dah haaya bhna ..

View attachment 2785593

Haya yamekuja baada ya Biteko kuwekwa kuwa NWM 😀😀(kdn
 
Hivi huko TMA mna uhakika kuna Mageologisti wazoefu au kuna wanafunzi wa Fied wanjifunza kufanya kazi..
Maana Imekuwa kama Ofisi ya Ramli ya Taifa Sasa!
Zamani tuliiamni sana ila kwa sasa naona imekuwa Too much..
Walivyoona Elnino haitakuwepo tena sasa wameona ni bora waje na Utabiri mwingi ilimradi tu tusiishi kwa Raha tuishi kwa Mashaka mashaka ndo furaha yao..
Sasa leo wanasema kuna Tsunami Dah haaya bhna ..

View attachment 2785593

Haya yamekuja baada ya Biteko kuwekwa kuwa NWM [emoji3][emoji3](kdn)

Duu,baada ya kushuhudia ya Bukoba?
 
Hivi huko TMA mna uhakika kuna Mageologisti wazoefu au kuna wanafunzi wa Fied wanjifunza kufanya kazi..
Maana Imekuwa kama Ofisi ya Ramli ya Taifa Sasa!
Zamani tuliiamni sana ila kwa sasa naona imekuwa Too much..
Walivyoona Elnino haitakuwepo tena sasa wameona ni bora waje na Utabiri mwingi ilimradi tu tusiishi kwa Raha tuishi kwa Mashaka mashaka ndo furaha yao..
Sasa leo wanasema kuna Tsunami Dah haaya bhna ..

View attachment 2785593

Haya yamekuja baada ya Biteko kuwekwa kuwa NWM 😀😀(kdn)
Nadhani ni vizuri watupe darasa kwa uchache kwamba, tahadhari ipi tuchukue, je tuondoke mikoa ya Pwani kwa kipindi fulani au tahadhari ipi tuchukue maana Tsunami mziki wake hatari.
 

Attachments

  • 20231018_172814.jpg
    20231018_172814.jpg
    92.9 KB · Views: 1
Mbona sielewi ni vipi mikoa ya pwani ya bara ichukue tahadhari (jambo ambalo ni jema kabisa) ilhali visiwani hasa Zenji, pemba na Mafia ambako ndio kumezungukwa na maji kusiwe na angalizo wakati ni kilomita chache kutoka pwani ya TZ bara, au mie ndio sijaelewa vizuri hii tsunami inakujaje?
 
Nadhani ni vizuri watupe darasa kwa uchache kwamba, tahadhari ipi tuchukue, je tuondoke mikoa ya Pwani kwa kipindi fulani au tahadhari ipi tuchukue maana Tsunami mziki wake hatari.
Sasa Dar utawapeleka Wapi 😀😀 watu wako ~8mil
Tanga ~3Mil
Unawapeleka wapi 😀😀😀
 
Mbona sielewi ni vipi mikoa ya pwani ya bara ichukue tahadhari (jambo ambalo ni jema kabisa) ilhali visiwani hasa Zenji, pemba na Mafia ambako ndio kumezungukwa na maji kusiwe na angalizo wakati ni kilomita chache kutoka pwani ya TZ bara, au mie ndio sijaelewa vizuri hii tsunami inakujaje?
Tangazo lao halielewki
 
Back
Top Bottom