Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam ambao kila Rais wa Tanzania anatamani kukutana nao ni akina nani?

Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam ambao kila Rais wa Tanzania anatamani kukutana nao ni akina nani?

BARAZA LA WAZEE WA TANU 1954 - 1963
Mohamed Said

Mara tu baada ya kuundwa kwa TANU mwaka wa 1954 Baraza la Wazee wa TANU liliundwa katika makao makuu, New Stret Dar es Salaam.

Baraza hili lilikuwa na takriban wajumbe 170.
Ilikuwa ni kamati ya wazee wa mji wa Dar es Salaam na kitu kimoja ni kuwa wajumbe wake wote walikuwa Waislam.

Sheikh Suleiman Takadir ndiye alikuwa mwenyekiti wa kwanza wa Baraza la Wazee wa TANU.

Kamati kama hii iliundwa Tabora mwaka wa 1956, Mwenyekiti wake akia Mzee Fundi Muhindi mwanasiasa mkongwe, muasisi wa African Association Tabora mwaka wa 1945 na muasisi wa TANU mwaka wa 1954.

Kwa nini kamati hizi zilikuwa na wajumbe Waislam watupu?

Kleist Sykes katika mswada wake wa kitabu alioandika kabla ya kufariki mwaka wa 1949 anasema kuwa waasisi wa African Association (AA) mwaka wa 1929 wengi wao walikuwa Waislam na sababu ni kuwa Wakristo walikuwa wakikatazwa na Kanisa kujiingiza katika siasa.

Katika hali kama hii hata mwakilishi wa Waafrika alikuwa Father Gibbons kutoka MInaki Misheni hii yote ilikuwa katika juhudi ya kuwaweka Waafrika chini na kuwakaia kichwani.

Kleist alipoanza harakati za kuasisi AA waliojotokeza kumuunga mkono walikuwa jamaa zake wanamji kama yeye.

Hivi ndivyo ikaja kuwa mjini Dar es Salaam waasisi wa AA wengi wao wakawa jamaa zake wanamji kama yeye wanaojuana kwa miaka kama Mzee bin Sudi, Ibrahim Hamisi, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima, Suleiman Majisu, na wakajaungwa mkono na Cecil Matola Raikes Kusi, na Rawson Watts.

Hawa watatu wa mwisho walikuwa wageni mjini Dar es Salaam.

Hapa ndipo tunaweza kuanza kuangalia asili ya Baraza la Wazee wa Dar es Salaam ndani ya AA kisha TAA pale AA ilipobadili jina na kuitwa TAA.

Lakini ili kufika hapo inabidi uangalie taasisi nyingine ambayo iliundwa ndani ya AA mwaka wa 1933 na tujue sababu za kuundwa kwake.

Mwaka wa 1933 baada ya kifo cha aliyekuwa Rais wa AA Cecil Matola nafasi yake ikajazwa na Mzee bin Sudi.

Ikawa baadhi ya mambo ya Waislam kwenda serikalini yanapitishwa kupitia AA hili likaonekana ni tatizo kwani AA ilundwa kwa nia ya kuwaunganisha Waafrika wote wa Tanganyika bila ya kujali dini wala kabila zao.

Ndipo mwaka wa 1933 ikaundwa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika Mzee bin Sudi akiwa President na Mzee bin Sudi Secretary nafasi ambao pia walikuwa wamezishikilia katika AA.

Hii ndiyo ikawa sababu kubwa sana kwa siasa za za mji wa Dar es Salaam naharakati za kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika zikawa zimetawaliwa na Waislam.

Hii ndiyo sababu Baraza la Wazee wa TANU lilipokuja kuundwa mwaka wa 1954 wajumbe wa baraza zima karibu 170 wakajikuta watu wa imani moja.

Hawa ndiyo waliojulikana kama Baraza la Wazee wa TANU.
Baraza hili lilivunjwa mwaka wa 1963 kwa kutuhumiwa kuwa, ‘’linachanganya dini na siasa.’’

Wakati linavunjwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU alikuwa Mzee Iddi Tulio.

Makada wa ccm
 
Ninaomba yeyote anayewajua anieleweshe ili mimi na wengine wasioelewa kama mimi tuwafahamu Wazee hawa ambao kila kiongozi anapenda kukutana nao.

Natanguliza shukrani.
Wakati wa Hayati Rais Dkt. Magufuli Kiongozi wao alikuwa ni Mzee Joseph Butiku na Kesho akikosekana hapo Mlimani City naogelea kutoka Kunduchi ( Dar es Salaam ) hadi Chumbageni ( Zanzibar )
 
Wakati wa Hayati Rais Dkt. Magufuli Kiongozi wao alikuwa ni Mzee Joseph Butiku na Kesho akikosekana hapo Mlimani City naogelea kutoka Kunduchi ( Dar es Salaam ) hadi Chumbageni ( Zanzibar )
Yaani mtu wa kiabakari huko awe kiongozi wa Wazee wa DSM ! hii itakuwa sarakasi ya kishamba sana !
 
BARAZA LA WAZEE WA TANU 1954 - 1963
Mohamed Said

Mara tu baada ya kuundwa kwa TANU mwaka wa 1954 Baraza la Wazee wa TANU liliundwa katika makao makuu, New Stret Dar es Salaam.

Baraza hili lilikuwa na takriban wajumbe 170.
Ilikuwa ni kamati ya wazee wa mji wa Dar es Salaam na kitu kimoja ni kuwa wajumbe wake wote walikuwa Waislam.

Sheikh Suleiman Takadir ndiye alikuwa mwenyekiti wa kwanza wa Baraza la Wazee wa TANU.

Kamati kama hii iliundwa Tabora mwaka wa 1956, Mwenyekiti wake akia Mzee Fundi Muhindi mwanasiasa mkongwe, muasisi wa African Association Tabora mwaka wa 1945 na muasisi wa TANU mwaka wa 1954.

Kwa nini kamati hizi zilikuwa na wajumbe Waislam watupu?

Kleist Sykes katika mswada wake wa kitabu alioandika kabla ya kufariki mwaka wa 1949 anasema kuwa waasisi wa African Association (AA) mwaka wa 1929 wengi wao walikuwa Waislam na sababu ni kuwa Wakristo walikuwa wakikatazwa na Kanisa kujiingiza katika siasa.

Katika hali kama hii hata mwakilishi wa Waafrika alikuwa Father Gibbons kutoka MInaki Misheni hii yote ilikuwa katika juhudi ya kuwaweka Waafrika chini na kuwakaia kichwani.

Kleist alipoanza harakati za kuasisi AA waliojotokeza kumuunga mkono walikuwa jamaa zake wanamji kama yeye.

Hivi ndivyo ikaja kuwa mjini Dar es Salaam waasisi wa AA wengi wao wakawa jamaa zake wanamji kama yeye wanaojuana kwa miaka kama Mzee bin Sudi, Ibrahim Hamisi, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima, Suleiman Majisu, na wakajaungwa mkono na Cecil Matola Raikes Kusi, na Rawson Watts.

Hawa watatu wa mwisho walikuwa wageni mjini Dar es Salaam.

Hapa ndipo tunaweza kuanza kuangalia asili ya Baraza la Wazee wa Dar es Salaam ndani ya AA kisha TAA pale AA ilipobadili jina na kuitwa TAA.

Lakini ili kufika hapo inabidi uangalie taasisi nyingine ambayo iliundwa ndani ya AA mwaka wa 1933 na tujue sababu za kuundwa kwake.

Mwaka wa 1933 baada ya kifo cha aliyekuwa Rais wa AA Cecil Matola nafasi yake ikajazwa na Mzee bin Sudi.

Ikawa baadhi ya mambo ya Waislam kwenda serikalini yanapitishwa kupitia AA hili likaonekana ni tatizo kwani AA ilundwa kwa nia ya kuwaunganisha Waafrika wote wa Tanganyika bila ya kujali dini wala kabila zao.

Ndipo mwaka wa 1933 ikaundwa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika Mzee bin Sudi akiwa President na Mzee bin Sudi Secretary nafasi ambao pia walikuwa wamezishikilia katika AA.

Hii ndiyo ikawa sababu kubwa sana kwa siasa za za mji wa Dar es Salaam naharakati za kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika zikawa zimetawaliwa na Waislam.

Hii ndiyo sababu Baraza la Wazee wa TANU lilipokuja kuundwa mwaka wa 1954 wajumbe wa baraza zima karibu 170 wakajikuta watu wa imani moja.

Hawa ndiyo waliojulikana kama Baraza la Wazee wa TANU.
Baraza hili lilivunjwa mwaka wa 1963 kwa kutuhumiwa kuwa, ‘’linachanganya dini na siasa.’’

Wakati linavunjwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU alikuwa Mzee Iddi Tulio.
Asante sana mwamba
 
BARAZA LA WAZEE WA TANU 1954 - 1963
Mohamed Said

Mara tu baada ya kuundwa kwa TANU mwaka wa 1954 Baraza la Wazee wa TANU liliundwa katika makao makuu, New Stret Dar es Salaam.

Baraza hili lilikuwa na takriban wajumbe 170.
Ilikuwa ni kamati ya wazee wa mji wa Dar es Salaam na kitu kimoja ni kuwa wajumbe wake wote walikuwa Waislam.

Sheikh Suleiman Takadir ndiye alikuwa mwenyekiti wa kwanza wa Baraza la Wazee wa TANU.

Kamati kama hii iliundwa Tabora mwaka wa 1956, Mwenyekiti wake akia Mzee Fundi Muhindi mwanasiasa mkongwe, muasisi wa African Association Tabora mwaka wa 1945 na muasisi wa TANU mwaka wa 1954.

Kwa nini kamati hizi zilikuwa na wajumbe Waislam watupu?

Kleist Sykes katika mswada wake wa kitabu alioandika kabla ya kufariki mwaka wa 1949 anasema kuwa waasisi wa African Association (AA) mwaka wa 1929 wengi wao walikuwa Waislam na sababu ni kuwa Wakristo walikuwa wakikatazwa na Kanisa kujiingiza katika siasa.

Katika hali kama hii hata mwakilishi wa Waafrika alikuwa Father Gibbons kutoka MInaki Misheni hii yote ilikuwa katika juhudi ya kuwaweka Waafrika chini na kuwakaia kichwani.

Kleist alipoanza harakati za kuasisi AA waliojotokeza kumuunga mkono walikuwa jamaa zake wanamji kama yeye.

Hivi ndivyo ikaja kuwa mjini Dar es Salaam waasisi wa AA wengi wao wakawa jamaa zake wanamji kama yeye wanaojuana kwa miaka kama Mzee bin Sudi, Ibrahim Hamisi, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima, Suleiman Majisu, na wakajaungwa mkono na Cecil Matola Raikes Kusi, na Rawson Watts.

Hawa watatu wa mwisho walikuwa wageni mjini Dar es Salaam.

Hapa ndipo tunaweza kuanza kuangalia asili ya Baraza la Wazee wa Dar es Salaam ndani ya AA kisha TAA pale AA ilipobadili jina na kuitwa TAA.

Lakini ili kufika hapo inabidi uangalie taasisi nyingine ambayo iliundwa ndani ya AA mwaka wa 1933 na tujue sababu za kuundwa kwake.

Mwaka wa 1933 baada ya kifo cha aliyekuwa Rais wa AA Cecil Matola nafasi yake ikajazwa na Mzee bin Sudi.

Ikawa baadhi ya mambo ya Waislam kwenda serikalini yanapitishwa kupitia AA hili likaonekana ni tatizo kwani AA ilundwa kwa nia ya kuwaunganisha Waafrika wote wa Tanganyika bila ya kujali dini wala kabila zao.

Ndipo mwaka wa 1933 ikaundwa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika Mzee bin Sudi akiwa President na Mzee bin Sudi Secretary nafasi ambao pia walikuwa wamezishikilia katika AA.

Hii ndiyo ikawa sababu kubwa sana kwa siasa za za mji wa Dar es Salaam naharakati za kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika zikawa zimetawaliwa na Waislam.

Hii ndiyo sababu Baraza la Wazee wa TANU lilipokuja kuundwa mwaka wa 1954 wajumbe wa baraza zima karibu 170 wakajikuta watu wa imani moja.

Hawa ndiyo waliojulikana kama Baraza la Wazee wa TANU.
Baraza hili lilivunjwa mwaka wa 1963 kwa kutuhumiwa kuwa, ‘’linachanganya dini na siasa.’’

Wakati linavunjwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU alikuwa Mzee Iddi Tulio.

View attachment 1775796
Shukrani sana Mohamed Said
 
Enzi za Nyerere walikuwa ni wazee waliowapokea wapiganiaji wa uhuru na kuwaunga mkono kwenye harakati zao.

Ila kwasasa ni kundi tu la wazee ambalo kama Rais ana lolote la kuzungumza wanatafutwa, anazungumza na taifa kupitia kwao.

Hili linaweza kufanyika kwa kundi lolote.

Unaweza kuita waandishi wa habari, watoto yatima, wafanyabiashara, viongozi wa dini etc na ukazungumza na nchi kupitia kwao.

Wakati wa Magu aliwahi kuongea nao, vile vile na wazee wa Dodoma.

Sasa hivi Samia kwasababu ndio kwanza yupo madarakani ndio maana anakutana na makundi mbalimbali.

Jana akiwa Nairobi alikutana na Diaspora, na akasema akirudi atakutana na wafanyabiashara.

Hivyo binafsi sioni kama ni issue Rais ( hasa mpya ) au mwanasiasa anayetafuta kuungwa mkono kukutana na makundi mbalimbali ya kijamii.
Umeeleza vizuri
 
Desemba 17, 1919, Martin Kayamba na Ali bin Diwani waliitisha kikao cha watumishi wa umma wa kiafrika huko Tanga. Ndipo ilipofika mwezi machi,1922, kayamba akaanzisha chama cha wafanyakazi kilichoitwa Tanganyika Territory African Civil Servants Association (TTACSA), hiki ndicho chama cha kwanza cha kutetea wafanyakazi kwenye kurasa za historia ya Tanganyika. TTACSA ililenga kuwainua watanganyika wa kiafrika. Wanachama wake walikuwa watumishu wa umma, wasomi waliojifunza lugha ya kiimgereza, pamoja na wasio wasomi Yanajirudia?

Road to Independence TZ - Le Moyne
TTACSA -Tanganyika Territory African Civil Servants Association- formed and led by Martin Kayamba in 1922, educated in Britain; Wanted.
The Tanganyika African Association (TAA) was a Tanganyika Territory political association, formed in 1929. It was founded by civil servants including Ali Saidi, members of an earlier association called the Tanganyika Territory African Civil Service association. Tanganyika African Association | Project Gutenberg Self-Publishing - eBooks | Read eBooks online
Kutokana na wingi wa wenyeji wa Tanga kuwepo ktk ajira za 'kisomi' toka enzi za utawala wa serikali ya Jeremani ( mkoloni) hadi serikali ya Mwingereza wakaona 'kujazana' kwao ktk ajira basi wawafungue macho waTanganyika waanzishe Chama Cha Maslahi ya Wafanyakazi waAfrika (Wamatumb)i wote wa Tanganyika. Source : Historia ya mkoa wa Tanga

In 1922 the Tanganyika Territory African Civil Services Association, the first known modern African political organization, was formed with Tanga city as headquarters. The region surrounding Tanga formed an intergral part of Tanganyika in 1961, when it gained independence, and of Tanzania in 1964, when Tanganyika merged with Zanzibar. Source : Tanganyika (Tanzania): African Association, 1929-1948
 
The Nationalists

TANU (the Tanganyika African National Union)
, the political party which took Tanganyika to Independence in 1961, was only founded in 1954. But it had many antecedents. The Tanganyika Territory African Civil Service Association had been founded by Martin Kayamba in 1922, to bring together Muslim and Christian civil servants in Tanga, and in 1929 this had been reformed as the African Association, open to all Africans, with branches in all the major towns. The trade union movement developed in the docks in Dar es Salaam and Tanga, and unions were also created in the mines, on the railways and in the sisal plantations. A series of strikes demonstrated their power to challenge the colonial state ..... Read more : Source : The Story of Martin Kayamba (I)
 
By Martin Kayamba, 1935
The Tanganyika Territory African Civil Service Association had been founded by Martin Kayamba in 1922, to bring together Muslim and Christian civil servants in Tanga, and in 1929 this had been reformed as the African Association, open to all Africans, with branches in all the major towns
My Life and Work in East Africa

I was born on 2nd February, 1891, at Mbweni, Zanzibar. I am the first son of Hugh Peter Kayamba. He is one of the sons of Chief Mwelekwanyuma of Kilole, son of Kimweri Zanyumbai (Kimweri the Great) King of Wakilindi. The Wakilindi are a ruling clan, who ruled over the Wasambaa and other tribes in the coastal areas of Tanga prior to the German occupation of these countries. The first Mkilindi named Mbega came from the hills in the Handeni area. He was a famous hunter and through his hunting prowess and generosity was chosen by the Wasambaa to be their ruler. Chief Mwelekwanyuma was appointed by his father as Chief over the Wabondei and the Coastal section from Pangani to Vanga.
1620346942582.png



1620347301123.png

Source: TEN AFRICANS : MARGERY PERHAM : Free Download, Borrow, and Streaming : Internet Archive

READ MORE source : The Story of Martin Kayamba (I)

Page-105-pic-6-Hugh-Peter-Kayamba-Henry-Masibu2-179x300.jpg
M
Photo : Martin Kayamba’s father Hugh Peter Kayamba (left) and Henry Masibu (right). Photo courtesy of www.bloxhamschool.com
 
Wazee wa Dar es Salaam ni wale wenye kizazi cha walionzisha MWENGE WA UHURU.

kwa ufupi Rais yeyote atakaewazalau wazee hawa na atakae uzalau mwenge wa uhuru hawezi kubaki salama.

KILA FALME INA KINGA YAKE, UTARATIBU WAKE NA UTAMADUNI WAKE.

Ludi na ukasome uzi wa historia ya mwenge wa uhuru wanzilishi wake na historia yake. Halafu ndio utajua wazee wa dar ni kinanani kwenye Tanzania hii.
Waasisi wa Mungu wa CCM mwenge Nyamrunda ?
 
Ninaomba yeyote anayewajua anieleweshe ili mimi na wengine wasioelewa kama mimi tuwafahamu Wazee hawa ambao kila kiongozi anapenda kukutana nao.

Natanguliza shukrani.
Mzee Yusuf na wenzie.
 
Mmoja wapo wa wazee wa Daressalaam ambaye hataweza kukosa

2A56A7D1-31CB-4E2F-ABCE-03BADD3F6292.jpeg
 
Back
Top Bottom