Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #101
Ndugu Chawa tafuta kazi ile mliyokula jana ndio futari ya mwisho , Masikini wakubwa nyie !Rais kutokuwa na makundi haimaanishi wengine wasiwe na Makundi ndio maana kasema kama Wana makundi ni wao.
Sasa watu wameunda kikundi Chao nyie mnapinga kama nani? Mnawalisha? Acheni upunguani fanyeni mambo ya chama chenu sio kutwa kucha mnahangaika na udaku