Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mishangazi ndiyo ma Queen?Nimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT, Msanii duni wa filamu Jokate.
Taarifa zaidi zinaonesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini)
Sasa swali letu ni hili, wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana. Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao, tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais.
Ukiacha Israel ,Ugerumani inafuata kwa watu wenye akili,Sasa tuseme kwakuwa Miekael alitawala Ugerumani kwa. miaka zaidi ya 20 basi Wagerumani walikosa akili.Watu wanataka"deliverrance na uumini wa kiongozi" na si show za ah, nimeng'atuka nimeng'atuka,mara talanta gaaa..Ingekuwa vyema ufuatilie na kuhoji Ruzuku za CHADEMA zinakwenda wapi mpaka chama kinakosa ofisi zenye hadhi ya chama chenye umri wa miaka zaidi ya 32.
Ungehoji ni kwanini Mbowe ameng'ang'ania uwenyekiti kwa miaka 20 sasa kana kwamba wanachama wengine ni manyumbu na mazuzu wasio na akili ambao hawawezi kuongoza chama isipokuwa yeye tu.
Njaaa mbaya SanaNimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT, Msanii duni wa filamu Jokate.
Taarifa zaidi zinaonesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini)
Sasa swali letu ni hili, wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana. Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao, tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais.
You must be stupid or something [emoji15].Ufipa na kongamano la mtwara vinaingiaje kwenye mada inayohusu Samia quins?Kwani hii pia inakuhusu ufipa?tuletee ripoti ya makongamano ya mtwara hii itakufaa zaidi!
Jf siyo Jukwaa la ChademaNyie hamna agenda zenu? Mna mipango ipi?
NYANYA CHUNGU queensUmri umeenda, kudanga kwa kivuli cha bongo movie hakulipi tena. Hivyo wanatafuta uteuzi.
Huo ni fitina wanatengeneza makundi ya kichawa ya kujikomba na kusababisha migawanyiko. Kuna wajinga wengine waliaanzisha walichoita eti Jukwaa ;a Walimu wazalendo Bashiru wakati huo akawapiga marufuku. Hawa nao wanaangalia udhaifu wa uongozi uliopo kuwa unataka sifa sanaNimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT, Msanii duni wa filamu Jokate.
Taarifa zaidi zinaonesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini)
Sasa swali letu ni hili, wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana. Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao, tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais.
Kwani nyie machadema mnateseka na vikundi vinavyomuunga mkono Samia Kwa nini? Mbona mnalalama kama Watoto wadogo?Nimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT, Msanii duni wa filamu Jokate.
Taarifa zaidi zinaonesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini)
Sasa swali letu ni hili, wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana. Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao, tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais.
Naona Hawa Machadema ni kama majinga hivi , yaani watu kuamua Kwa Raha zao Kuunda vikundi Cha kumpa shangwe Rais wao wanateseka na nini hasa? Kwa nini wasiunde vyao? Kwani wamekatazwa? Kuna kosa kufanya hivyo? Mbona Huwa Kuna Hadi Ile Kwaya ya Utumishi wa Umma ,JKT ambao Huwa wanatunga nyimbo za kutumbuiza Kwa kumsifia Rais sijawahi ona ni tatizo?
Rais kutokuwa na makundi haimaanishi wengine wasiwe na Makundi ndio maana kasema kama Wana makundi ni wao.