4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
We waache tu ccm , watakuja pigwa na kitu kizito ,na hutokuja ona chawa, na makundi mangine yatapoteana yenyewe ,may be uchaguzi usifanyikeNoma sana !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We waache tu ccm , watakuja pigwa na kitu kizito ,na hutokuja ona chawa, na makundi mangine yatapoteana yenyewe ,may be uchaguzi usifanyikeNoma sana !
Kabisa yaaniWe waache tu ccm , watakuja pigwa na kitu kizito ,na hutokuja ona chawa, na makundi mangine yatapoteana yenyewe ,may be uchaguzi usifanyike
Mkuu naona umeweka picha kabisa ushawajua sisi haina haja yakudadavuaNimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT, Msanii duni wa filamu Jokate.
Taarifa zaidi zinaonesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini)
Sasa swali letu ni hili, wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana. Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao, tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais.
View attachment 2927375
Hii nchi kuna vituko sana, hapo kuna pesa zimeshachukuliwa na kuonekana loose point na tayari ndoani imeshaandaliwa kwa Jina la Samia Queen..sawa yote kheri tu, sisi walala hoi tutasema nini tena.Wewe ni mgeni kwenye hii nchi??
Hawa ni chawa wa Mama kama ilivyo wewe ni chawa wa Mwenyekiti.Nimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT, Msanii duni wa filamu Jokate.
Taarifa zaidi zinaonesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini)
Sasa swali letu ni hili, wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana. Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao, tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais.
View attachment 2927375
Mbowe akiwa m/kiti kwa miaka 100 itakuathiri vipi? Tuseme labda ndio imefanya sukari kuadimika/kupanda bei? Ndio imeleta mgao wa umeme? Mbowe ndiye amesababisha mashule kutokuwa na madarasa, madawati na vyoo? Mbowe ndiye amesababisha maisha duni kwa mapolisi, waalimu na watumishi wengine?Ingekuwa vyema ufuatilie na kuhoji Ruzuku za CHADEMA zinakwenda wapi mpaka chama kinakosa ofisi zenye hadhi ya chama chenye umri wa miaka zaidi ya 32.
Ungehoji ni kwanini Mbowe ameng'ang'ania uwenyekiti kwa miaka 20 sasa kana kwamba wanachama wengine ni manyumbu na mazuzu wasio na akili ambao hawawezi kuongoza chama isipokuwa yeye tu.
Hawa ni wale kimbelembele , wako walio nyumaMkuu naona umeweka picha kabisa ushawajua sisi haina haja yakudadavua
Hakuna tajiri ChawaHawa ni chawa wa Mama kama ilivyo wewe ni chawa wa Mwenyekiti.
Siku zote nyani haoni kun.......
Ahaaaa kumbe kuna walio nyuma ya paziaHawa ni wale kimbelembele , wako walio nyuma
Mbowe hana mambo ya kishambaAngalau wangekua mbowe Queens tungepongeza sana
"2020 hukuwa na uchaguzi hofu ilitanda kila nchi...watu wakauliwa na wakapata vilema kisha Jiwe na makamu wake wapite bila kupingwa kama vile Majaliwa nawe zake" Kinana(2024).Ingekuwa vyema ufuatilie na kuhoji Ruzuku za CHADEMA zinakwenda wapi mpaka chama kinakosa ofisi zenye hadhi ya chama chenye umri wa miaka zaidi ya 32.
Ungehoji ni kwanini Mbowe ameng'ang'ania uwenyekiti kwa miaka 20 sasa kana kwamba wanachama wengine ni manyumbu na mazuzu wasio na akili ambao hawawezi kuongoza chama isipokuwa yeye tu.
Mbowe ni kigando aka Ruba ,king'ang'anizi aka mkwe wa mwanzilishi wa chadema ,hatoki hata kwa rato 😂😂😂😂Nimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT, Msanii duni wa filamu Jokate.
Taarifa zaidi zinaonesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini)
Sasa swali letu ni hili, wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana. Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao, tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais.
View attachment 2927375
Nje ya madaMbowe ni kigando aka Ruba ,king'ang'anizi aka mkwe wa mwanzilishi wa chadema ,hatoki hata kwa rato 😂😂😂😂
Jambo la msingi Mbowe ni Ruba ,kigandoNje ya mada