Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #101
Ndugu Chawa tafuta kazi ile mliyokula jana ndio futari ya mwisho , Masikini wakubwa nyie !Rais kutokuwa na makundi haimaanishi wengine wasiwe na Makundi ndio maana kasema kama Wana makundi ni wao.
Sasa watu wameunda kikundi Chao nyie mnapinga kama nani? Mnawalisha? Acheni upunguani fanyeni mambo ya chama chenu sio kutwa kucha mnahangaika na udaku
Watu wamejiundia kundi la Samia nyie mnahangaika,huoni kwamba ni upumbavu?Ndugu Chawa tafuta kazi ile mliyokula jana ndio futari ya mwisho , Masikini wakubwa nyie !
Erythrocyte una wivu sana, si uunde kikundi cha Mbowe Queens hapo bavicha na nyie mtunge wimboNimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT, Msanii duni wa filamu Jokate.
Taarifa zaidi zinaonesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini)
Sasa swali letu ni hili, wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana. Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao, tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais.
Mkuu , Mbowe siyo Rais wa NchiErythrocyte una wivu sana, si uunde kikundi cha Mbowe Queens hapo bavicha na nyie mtunge wimbo
🚮Ingekuwa vyema ufuatilie na kuhoji Ruzuku za CHADEMA zinakwenda wapi mpaka chama kinakosa ofisi zenye hadhi ya chama chenye umri wa miaka zaidi ya 32.
Ungehoji ni kwanini Mbowe ameng'ang'ania uwenyekiti kwa miaka 20 sasa kana kwamba wanachama wengine ni manyumbu na mazuzu wasio na akili ambao hawawezi kuongoza chama isipokuwa yeye tu.
Wao full kujikomba na hakuna kitu Mheshimiwa anapenda kama kusifiwa.Nimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT, Msanii duni wa filamu Jokate.
Taarifa zaidi zinaonesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini)
Sasa swali letu ni hili, wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana. Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao, tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais.