Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Utafiti wangu mdogo nilioufanya nimegundua, watu wanaojua matumizi ya hela akaunti zao zinasoma hela ndogo ndogo tu; kama elfu kumi, ishirini au hamsini na haizidi laki; ila kwa wale wasiojua matumizi ya pesa akaunti zao zimenona, zinaweza kusoma kuanzia milioni nakuendelea.
Hii inatafsiri, wasiojua matumizi ya pesa wao ukusanya pesa na kuzilundika kwenye akaunti zao; ila wanaojua kutumia pesa, pesa ikiingia lazima iende kwenye mzunguko na kusababisha akaunti zao kuwa tupu.
Kama unabisha, njoo tubishane
Hii inatafsiri, wasiojua matumizi ya pesa wao ukusanya pesa na kuzilundika kwenye akaunti zao; ila wanaojua kutumia pesa, pesa ikiingia lazima iende kwenye mzunguko na kusababisha akaunti zao kuwa tupu.
Kama unabisha, njoo tubishane